jahazi la clouds fm na sakata la kulawitiwa wanafunzi IFM sasa ni kama comedy

jahazi la clouds fm na sakata la kulawitiwa wanafunzi IFM sasa ni kama comedy

nani kawatuma msikilize?

Wakati mwingine upo kwenye daladala na wamefungulia hiyo radio unafanyaje?Siku moja natoka kazini wanamsema mwalimu wao wa shule ya msingi mhimbili eti alikuwa habadilishi nguo ni full umbea na dhihaka.Ningekuwa kwangu ningebadilisha lakini kwenye daladala huwezi.
 
Vibaka wa kigamboni wamejiundia bylaws ukikosa laptop unachapika!
 
Back
Top Bottom