1. Sauti ya wengi ni sauti ya Mungu:
2. Kipi kina thamani kuliko maisha ya binadamu hata mmoja tu, yakiokolewa?
3. Ndiyo maana imeandikwa: "ni furaha kuu mbinguni, mwenye dhambi mmoja akitubu."
4. Kwamba maisha ya wasio na hatia si kitu wala si lolote kwa Natenyahu?
5. Anataka suluhu ipi huyu?
6. Kwa hakika aondoke sasa akafie mbali huko, Binyamin Natenyahu!
7. Mapatano ya Israel na HAMAS na kuondoka kwa m-sayuni huyu mwenye itikiadi zisizokubalika, ni sasa!
2. Kipi kina thamani kuliko maisha ya binadamu hata mmoja tu, yakiokolewa?
3. Ndiyo maana imeandikwa: "ni furaha kuu mbinguni, mwenye dhambi mmoja akitubu."
4. Kwamba maisha ya wasio na hatia si kitu wala si lolote kwa Natenyahu?
5. Anataka suluhu ipi huyu?
6. Kwa hakika aondoke sasa akafie mbali huko, Binyamin Natenyahu!
7. Mapatano ya Israel na HAMAS na kuondoka kwa m-sayuni huyu mwenye itikiadi zisizokubalika, ni sasa!