Jaji aliyetoa hukumu ya Sabaya tutapataje CV yake? Anasifika Kwa uadilifu ofisini kwake na machoni pa jamii?

Jaji aliyetoa hukumu ya Sabaya tutapataje CV yake? Anasifika Kwa uadilifu ofisini kwake na machoni pa jamii?

kifupi kirefu

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2018
Posts
539
Reaction score
3,507
Mataifa mengi hupinga dhuruma Kwa kuwafichua wadhulumati, hupinga Rushwa Kwa kuwafichua Wala Rushwa na kufichua wasio waadilifu Kwa kufichua historia yao ya utendaji

Haitoshi kuheshimu hukumu ya Mahakama inatosha kuitafsiri hukumu hiyo kulingana na matendo ya Mtuhumiwa yaliyoonekana Kwa macho. Pamoja na technicalities zote lakini mtuhumiwa Sabaya alikiri Mbele ya mahakama kwamba alitenda aliyoyatenda Kwa kutumwa na mkubwa wake.

Hii maana yake Nini, hakuna ubishi kwamba alitenda na Kwa mazingira haya hukumu haiwezi kujikita kwenye technicalities Kwa sababu mtuhumiwa anakiri kutenda aliyotuhumiwa nayo. Hoja hapa ni je Mhe. Jaji alipoona mtuhumiwa amekiri alidhani ni nani mwingine anapaswa kuthibitisha vinginevyo? Kwanini Mhe. Jaji asituambie mkuu wa wilaya akitumwa kuua na bosi wake Hii inakuwa Ina immunity?

Niombe Kwa utata huu tupate cv ya jaji huyu itatusaidia kujua ni muadilifu au maelekezo kutoka juu.
 
Sabaya hakuwahi kukiri kutumwa na bosi wake kuua,hayo ni maneno yako mkuu
Screenshot_20220507-145757.png
 
Mataifa mengi upinga dhuluma Kwa kuwaficgua wadhulumati, upinga Rushwa Kwa kuwafichua Wala Rushwa na kufichua wasio waadilifu Kwa kufichua historia yao ya utendaji

Haitoshi kuheshimu hukumu ya Mahakama inatosha kuitafsiri hukumu hiyo kulingana na matendo ya Mtuhumiwa yaliyoonekana Kwa macho. Pamoja na technicalities zote lakini mtuhumiwa Sabaya alikiri Mbele ya mahakama kwamba alitenda aliyoyatenda Kwa kutumwa na mkubwa wake. Hii maana yake Nini, hakuna ubishi kwamba alitenda na Kwa mazingira haya hukumu haiwezi kujikita kwenye technicalities Kwa sababu mtuhumiwa anakiri kutenda aliyotuhumiwa nayo. Hoja hapa ni je Mhe. Jaji alipoona mtuhumiwa amekiri alidhani ni nani mwingine anapaswa kuthibitisha vinginevyo? Kwanini Mhe. Jaji asituambie mkuu wa wilaya akitumwa kuua na bosi wake Hii inakuwa Ina immunity?

Niombe Kwa utata huu tupate cv ya jaji huyu itatusaidia kujua ni muadilifu au maelekezo kutoka juu.
Pole yako sana

Nenda Arusha IJC pale masijala wa wazi kaulize CV yake utapata
 
Hivi unajua hata maana ya cv au unauliza tu.
 
Mataifa mengi upinga dhuluma Kwa kuwaficgua wadhulumati, upinga Rushwa Kwa kuwafichua Wala Rushwa na kufichua wasio waadilifu Kwa kufichua historia yao ya utendaji

Haitoshi kuheshimu hukumu ya Mahakama inatosha kuitafsiri hukumu hiyo kulingana na matendo ya Mtuhumiwa yaliyoonekana Kwa macho. Pamoja na technicalities zote lakini mtuhumiwa Sabaya alikiri Mbele ya mahakama kwamba alitenda aliyoyatenda Kwa kutumwa na mkubwa wake. Hii maana yake Nini, hakuna ubishi kwamba alitenda na Kwa mazingira haya hukumu haiwezi kujikita kwenye technicalities Kwa sababu mtuhumiwa anakiri kutenda aliyotuhumiwa nayo. Hoja hapa ni je Mhe. Jaji alipoona mtuhumiwa amekiri alidhani ni nani mwingine anapaswa kuthibitisha vinginevyo? Kwanini Mhe. Jaji asituambie mkuu wa wilaya akitumwa kuua na bosi wake Hii inakuwa Ina immunity?

Niombe Kwa utata huu tupate cv ya jaji huyu itatusaidia kujua ni muadilifu au maelekezo kutoka juu.
Maelekezo kutoka juu hakuna uadilifu hapo.
 
Fuatilia mwenendo wa kesi ulivyokuwa usitulishe matangopori,Sabaya alisema alikuwa anatekeleza yale aliyotumwa na JPM kama ni kupora,kuua,kubaka,kulawiti,kupiga yote hayo aliyatekeleza kwa idhini ya Jpm.
Unadhani sikufuatilia hiyo habari !!!,basically niletee hapa ushahidi kwamba Sabaya alikiri kutumwa kuua, Nina hoja kubwa Sana ambayo hujaielewa
Watakuja walionielewa wakusaidie.kwa kifupi mleta Uzi kamlisha Maneno Sabaya,Sabaya hakuwahi kukiri kutumwa kuua Bali alijibu kwamba Kuna baadhi ya tuhuma zake alizitelekeza kutokana na kupewa amri na "mamlaka ya uteuzi" Kama alivoiita ila hajawahi kuwa specific kwamba alitumwa kuua,kubaka na Rais,hayo ni maoni yenu nyie
 
Mataifa mengi upinga dhuluma Kwa kuwaficgua wadhulumati, upinga Rushwa Kwa kuwafichua Wala Rushwa na kufichua wasio waadilifu Kwa kufichua historia yao ya utendaji

Haitoshi kuheshimu hukumu ya Mahakama inatosha kuitafsiri hukumu hiyo kulingana na matendo ya Mtuhumiwa yaliyoonekana Kwa macho. Pamoja na technicalities zote lakini mtuhumiwa Sabaya alikiri Mbele ya mahakama kwamba alitenda aliyoyatenda Kwa kutumwa na mkubwa wake. Hii maana yake Nini, hakuna ubishi kwamba alitenda na Kwa mazingira haya hukumu haiwezi kujikita kwenye technicalities Kwa sababu mtuhumiwa anakiri kutenda aliyotuhumiwa nayo. Hoja hapa ni je Mhe. Jaji alipoona mtuhumiwa amekiri alidhani ni nani mwingine anapaswa kuthibitisha vinginevyo? Kwanini Mhe. Jaji asituambie mkuu wa wilaya akitumwa kuua na bosi wake Hii inakuwa Ina immunity?

Niombe Kwa utata huu tupate cv ya jaji huyu itatusaidia kujua ni muadilifu au maelekezo kutoka juu.
Nafasi ya kukata rufaa ipo, nenda Mahakama ya Rufaa
 
Sheria huwa ina kanuni moja inayoitumia

"Political matters are not justiciable".

Mtafute wakili wenu kibatala atawafafanulia.
 
Sabaya hakuwahi kukiri kutumwa na bosi wake kua,hayo ni maneno yako mkuu
Kama jambo hulijui ni Bora ukae kimya. Halafu inaonekana hukufuatilia mwenendo wa kesi.
Aliyetumia madaraka vibaya ni yule aliyemtuma sabaya ndo maana haikuwa rahisi kumshtaki wakati ule anafanya huo "uhalifu".

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Kama jambo hulijui ni Bora ukae kimya. Halafu inaonekana hukufuatilia mwenendo wa kesi.
Aliyetumia madaraka vibaya ni yule aliyemtuma sabaya ndo maana haikuwa rahisi kumshtaki wakati ule anafanya huo "uhalifu".

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Mbona mnakurupuka kujibu comment yangu alafu mnajidai mnajua wakati hamjui chochote, nimefuatilia kesi yote hiyo,Sabaya hakusema alitumwa na Rais kuua na kubaka Kama mnavotaka kutuaminisha hapa
Yeye alijibu kwa baadhi ya matendo yake mfano kwenda kukusanya Kodi na kukamata wahujumu uchumi,alitumwa na mamlaka ya teuzi ila nyie mnataka kumlisha maneno kwamba alisema vingine
Since comment chochote Tena kwenye huu Uzi,bakini na mnavojua
 
Unadhani sikufuatilia hiyo habari !!!,basically niletee hapa ushahidi kwamba Sabaya alikiri kutumwa kuua, Nina hoja kubwa Sana ambayo hujaielewa
Watakuja walionielewa wakusaidie.kwa kifupi mleta Uzi kamlisha Maneno Sabaya,Sabaya hakuwahi kukiri kutumwa kuua Bali alijibu kwamba Kuna baadhi ya tuhuma zake alizitelekeza kutokana na kupewa amri na "mamlaka ya uteuzi" Kama alivoiita ila hajawahi kuwa specific kwamba alitumwa kuua,kubaka na Rais,hayo ni maoni yenu nyie
Mkuu, aliwataja Rais na Waziri wa Fedha... Hakusema mamlaka.
 
Nchi hii hakuna haki kabisa, jambawazi kama sabaya na matendo yote yale maovu anaachiwa?
Kubaka! tena wake za watu!
Kukata watu wasikio!
Kupora watu mali zao hadharani!
Huyu anatakiwa sasa ahukumiwe mitaani na wananchi wenye hasira kali kama vibaka wengine!
 
Mataifa mengi hupinga dhuruma Kwa kuwafichua wadhulumati, hupinga Rushwa Kwa kuwafichua Wala Rushwa na kufichua wasio waadilifu Kwa kufichua historia yao ya utendaji

Haitoshi kuheshimu hukumu ya Mahakama inatosha kuitafsiri hukumu hiyo kulingana na matendo ya Mtuhumiwa yaliyoonekana Kwa macho. Pamoja na technicalities zote lakini mtuhumiwa Sabaya alikiri Mbele ya mahakama kwamba alitenda aliyoyatenda Kwa kutumwa na mkubwa wake.

Hii maana yake Nini, hakuna ubishi kwamba alitenda na Kwa mazingira haya hukumu haiwezi kujikita kwenye technicalities Kwa sababu mtuhumiwa anakiri kutenda aliyotuhumiwa nayo. Hoja hapa ni je Mhe. Jaji alipoona mtuhumiwa amekiri alidhani ni nani mwingine anapaswa kuthibitisha vinginevyo? Kwanini Mhe. Jaji asituambie mkuu wa wilaya akitumwa kuua na bosi wake Hii inakuwa Ina immunity?

Niombe Kwa utata huu tupate cv ya jaji huyu itatusaidia kujua ni muadilifu au maelekezo kutoka juu.
Huyu Jaji ana asili ya Rwanda/Burundi, wazazi wake walikaa kambi za huko Mkoa wa rukwa, baadae akawa mbeba mikoba wa mwanasheria mkuu(Katibu), nadhani alichomeka jina lake kwenye majina yaliyopelekwa kwa Rais. Hana historia yoyote ile katika fani ya sheria zaidi ya kubeba mabegi ya mwanasheria mkuu wa serikali
 
Back
Top Bottom