Hizi Za JumaNjoo kwenye mahakama za mtu mweusi sasa,
Yaani wao wangemsagia meno aliyeiahitaki serikali
By Rostam AHii ndiyo Raha ya mahakama za Nchi zinazojitambua.Tofauti na Tanzania ambazo hakimu hupigiwa simu na kuelekezwa namna ya kuiamua
Halafu Juma ni profesa wa sheria ila huyu utakuta na degree 1 tuHizi Za Juma
Islamist huyo; yupo hapo kutekeleza Agenda za KaallahJaji Ali wa Federal Court ya huko Marekani ameondoa amri ya kuzuia misaada iliyowekwa na Trump mpaka kesi mbalimbali zilizofunguliwa na makundi mbalimbali ya watu zitakaposikilizwa na kutolewa hukumu.
MAGA wamelalamika sana wakisema inawezekana vipi Jaji muhamiaji ambaye ni DEI, Mwarabu na Muislamu anataka kumpanda kichwani rais wao kipenzi Trump!
Bado haijajulikana kama serikali ya Trump itatekeleza amri hii au itaipuuza.
View attachment 3236382
View attachment 3236383
View attachment 3236386
Ngoja Kash Patel achukue mamlaka ya FBI watamkomeshaJaji Ali wa Federal Court ya huko Marekani ameondoa amri ya kuzuia misaada iliyowekwa na Trump mpaka kesi mbalimbali zilizofunguliwa na makundi mbalimbali ya watu zitakaposikilizwa na kutolewa hukumu.
MAGA wamelalamika sana wakisema inawezekana vipi Jaji muhamiaji ambaye ni DEI, Mwarabu na Muislamu anataka kumpanda kichwani rais wao kipenzi Trump!
Bado haijajulikana kama serikali ya Trump itatekeleza amri hii au itaipuuza.
View attachment 3236382
View attachment 3236383
View attachment 3236386
Hapo hata senti tano, hairudishwi, kinachofata ni redundancy la wafanyakazi balozi zote duniani,Jaji Ali wa Federal Court ya huko Marekani ameondoa amri ya kuzuia misaada iliyowekwa na Trump mpaka kesi mbalimbali zilizofunguliwa na makundi mbalimbali ya watu zitakaposikilizwa na kutolewa hukumu.
MAGA wamelalamika sana wakisema inawezekana vipi Jaji muhamiaji ambaye ni DEI, Mwarabu na Muislamu anataka kumpanda kichwani rais wao kipenzi Trump!
Bado haijajulikana kama serikali ya Trump itatekeleza amri hii au itaipuuza.
View attachment 3236382
View attachment 3236383
View attachment 3236386
Kwani Tanzania kuna mahakama si ni Kangaroo 🦘 Courts ndizo zimejaa hapa. Sasa kumnyima Slaa dhamana maana yake nini kwa mashitaka hayo ya kubumba utafikiri ameua mtu. Nchi za hovyo sana hizi.Sawa
Ila Mahakama Ya Juma Ijifunze Hapo
*************************************
Donald Trump Naye Atakaza Tena Ama