Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Jaji Ali wa Federal Court ya huko Marekani ameondoa amri ya kuzuia misaada iliyowekwa na Trump mpaka kesi mbalimbali zilizofunguliwa na makundi mbalimbali ya watu zitakaposikilizwa na kutolewa hukumu.
MAGA wamelalamika sana wakisema inawezekana vipi Jaji muhamiaji ambaye ni DEI, Mwarabu na Muislamu anataka kumpanda kichwani rais wao kipenzi Trump!
Bado haijajulikana kama serikali ya Trump itatekeleza amri hii au itaipuuza.
MAGA wamelalamika sana wakisema inawezekana vipi Jaji muhamiaji ambaye ni DEI, Mwarabu na Muislamu anataka kumpanda kichwani rais wao kipenzi Trump!
Bado haijajulikana kama serikali ya Trump itatekeleza amri hii au itaipuuza.