Jaji Bomani umenena:CCM waachane na wazo la Serikali 2

Jaji Bomani umenena:CCM waachane na wazo la Serikali 2

wewe kichwa chako lazima kitakuwa na wadududu, sio bure! serikalh 3 ni maoni ya wananchi, sio maoni ya warioba, dr slaa, mbowe, bomani, wala mama yako! wanachosema warioba na bomani ni photocopy ya maoni ya wananchi. tatizo kuna watu wanajitoa akili eti wanasame 'haya ni maoni ya warioba'! what a confusion and insanity![/QUOTE]

- Kaka pole sana maana umeandika na mapovu sana, kaka Mchakato ni maoni ya kila mtu na vyama pia nia vyama tu na viongozi wa vyama ndio wanaweza kusimama na kusema wanawawakilisha wanachama wao kwenye kuwasemea maoni yao, Warioba na Bomani sio Viongozi waliochaguliwa na mwananchi hata mmoja kuwaongelea, wanachotakiwa ni kusema tu maoni yao kama Wananchi,

- Kadri wanavyozidi kusema sema kama Bomani, ndio wanatuonyesha kwamba kuna kitu wanakipika huwa ninajiuliza sana hivi hawa Viongozi wetu wa zamani wa Siasa na Taifa wana washauri wa aina gani? Bomani unawezaje at this stage kusimama na kudai CCM lazima ikubali maoni ya Warioba ya Serikali Tatu kwa sababu ni wananchi ndio waliodai wakati Serikali ya CCM ndiye in the first place iliyoamua kwamba kuwepo na mapendekezo ya marekebisho ya katiba?

- So hapa anajisema mwenye yaani Bomani kwamba yeye na WArioba lao ni moja, angesema maoni yake tu angejisaidia sana kuliko kujitoa kama alivyofanya ameharibu sana maana sasa wote tunajua kwamba na yeye na Warioba ni kitu kimoja wanataka kutumia kila njia kuweka Serikali tatu, naomba kuwafahamisha kwamba haaitatokea!!

LE Mutuz

Mkuu, haya ni maoni ya wananchi--sio maoni ya wa Warioba wala Bomani. Mbona unakuwa mgumu wa kuelewa? Unapomtaja Warioba kwamba ndiye anaitaka serikali 3 una maana gani hasa? Alichokifanya Warioba na Tume yake, ni kukusanya maoni ya wananchi na hatimaye kuja ku-present maoni ya wananchi (kama alivyoyakusanya). Sasa inakuwaje mtu aliyekusanya maoni umwambie kwamba hayo ni maoni yake badala ya kusema kwamba hayo ni maoni ya wananchi? Mbona hueleweki wewe ndugu yangu, au unajitoa akili kwa makususudi? Hivi leo hii ukienda kukusanya takwimu kuhusu wanafunzi waliotiwa mimba na walimu wao, siku ukija ku-present matokeo ya utafiti itasemekana kwamba wewe (mkusanya takwimu) ndiye uliyewatia mimba wanafunzi au wewe utakuwa ni mkusanya takwimu tu? Sasa iweje leo Warioba akusanye maoni ya wananchi ikaonekana wananchi wanataka serikali 3, halafu uje useme kwamba serikali 3 ni maoni ya Warioba? Are you really serious or just joking?
 
Moja ya sababu uchwara ambayo magamba wanadai kukosa katiba hii mpya ni kwamba kuwa na serikali tatu ni njia mojawapo ya kuvunjika Muungano.....sasa kama wanajali Muungano, kwa nini sasa wasidai serikali moja tuu,,ya Muungano na tusiwe na serikali ya mapinduzi na Tanganyika na hapo undugu ndio utakuwa
Vile vile na waziwazi kabisa wa ZNZ wameshasema hawahitaji huu Muungano wa serikali mbili... wanataka serikali 3...sasa huoni nyie akina Nape,Le Mutuz,Komba etc mnashindwa kuwaelewa wananchi na kwenda kinyme cha matakwa ya wananchi ni udikteta
 
- Kichwa cha maji huwa kinajisema chenyewe kaka, huyu bomani ni mnafiki asingekuwa angesema enzi za MWalimu, wale wote ambao hawakusema then wanyamaze wamuchaie Kasaka Njelu aseme!1

Le Mutuz

Hivi ukiwa CCM lazima uwe bingwa wa matusi? Unamtukana Mzee Bomani utdhani hujazaliwa na Mzee Malecela aliyewambiaga wasafiri wa "TRC"...Go to hell...! Mtera mnakulaga nini mpaka vichwa vyenu vijae matusi hivyo au unapata kozi toka kwa mbunge wako! Tukanana na saizi yako wako wengi tu humu jamvini lakini siyo wazee kama hawa-laana unajitafutia!
 
Back
Top Bottom