Mtoa mada ni mkabila nenda Burundi au Rwanda ,vyuo vya kata vinaharibu watu .Safi sana
Ukisimama nchali, Ukikaa nchali, Ukichutama nchali
Mnyakyusa huyo, Hao hawana aibu kabisa
Imbombo Ngafu na Ingafu kweli
Imekula kwenu CDM na ACT
Naongea haya sio kwa kutania, Mpira umeisha kabla ya ratiba ya uchaguzi kutangazwa
Miaka hiyo unaweza kutana na mtu toka Mbeya amerudia darasa la saba zaidi ya mara nne kwa majina tofauti tofauti ili afaulu Mtihani ajiunge na Sekondari, Hii ni bila aibu
Wanyakyusa hawana aibu wao wanaita Soni
Utaambiwa mpira ni goli tano kwa Sifuri hata kama hukushiriki na hata kama Timu haijaingia uwanjani
Mambo ya Tume huru ya uchaguzi hayo
All in all, Naunga mkono uteuzi huu kwa gundi na misumari
Probability ya ccm kushinda ni 3/4 ya kura zitakazohesabiwa
Wengine mtagawana 1/4 ya kura zilizobaki
Nimepata nguvu mpya ya kuandika vizuri report yangu ya PhD hapa Dodoma baada ya huu uteuzi
Yule member mleta habari za Chadema Eryth...... huyu mnyakyusa wanatoka wote Mbeya, Sasa atamtukana ndugu yake ambaye wanatoka kijiji kimoja au atawaunga mkono wachaga
Duh! na umesema kuwa unamalizia kuandika report ya phd .... Mifumo yetu ya elimu inatatizo sehemuSafi sana
Ukisimama nchali, Ukikaa nchali, Ukichutama nchali
Mnyakyusa huyo, Hao hawana aibu kabisa
Imbombo Ngafu na Ingafu kweli
Imekula kwenu CDM na ACT
Naongea haya sio kwa kutania, Mpira umeisha kabla ya ratiba ya uchaguzi kutangazwa
Miaka hiyo unaweza kutana na mtu toka Mbeya amerudia darasa la saba zaidi ya mara nne kwa majina tofauti tofauti ili afaulu Mtihani ajiunge na Sekondari, Hii ni bila aibu
Wanyakyusa hawana aibu wao wanaita Soni
Utaambiwa mpira ni goli tano kwa Sifuri hata kama hukushiriki na hata kama Timu haijaingia uwanjani
Mambo ya Tume huru ya uchaguzi hayo
All in all, Naunga mkono uteuzi huu kwa gundi na misumari
Probability ya ccm kushinda ni 3/4 ya kura zitakazohesabiwa
Wengine mtagawana 1/4 ya kura zilizobaki
Nimepata nguvu mpya ya kuandika vizuri report yangu ya PhD hapa Dodoma baada ya huu uteuzi
Yule member mleta habari za Chadema Eryth...... huyu mnyakyusa wanatoka wote Mbeya, Sasa atamtukana ndugu yake ambaye wanatoka kijiji kimoja au atawaunga mkono wachaga