Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kitu kinachoitwa karma ni kitu vibaya sana!, karma haina Mswalie Mtume!.Kwa Wageni wa hapa Jf ama pia kwa wenyeji Wasahaulifu, Jaji Utamwa ndiye aliyeendesha Kesi ya Zitto Kabwe dhidi ya Chadema, ya Kupinga kufutwa uanachama kwa tuhuma za Usaliti akishirikiana na Kitila Mkumbo na Mamluki wengine.
Tunamuomba Mwenyezi Mungu kuipumzisha Roho ya Jaji Utamwa Amina.
R.I.PHii ndio Taarifa iliyotolewa leo 2/1/2023 na EATV, kwamba Mh Utamwa ambaye alikuwa Jaji wa Mahakama Kuu kanda ya Iringa, amefariki Jijini Dar es Salaam leo tarehe 2 January 2023.
Kwa Wageni wa hapa Jf ama pia kwa wenyeji Wasahaulifu, Jaji Utamwa ndiye aliyeendesha Kesi ya Zitto Kabwe dhidi ya Chadema, ya Kupinga kufutwa uanachama kwa tuhuma za Usaliti akishirikiana na Kitila Mkumbo na Mamluki wengine.
Tunamuomba Mwenyezi Mungu kuipumzisha Roho ya Jaji Utamwa mahali inapostahili, Amina.
Kwani CCM hamtaki watu wazuri? kaa nao huko hukoKitu kinachoitwa karma ni kitu vibaya sana!, karma haina Mswalie Mtume!.
Ni kweli Jaji huyu aliiendesha kesi ya Zitto, na Zitto akashindwa kwa legal technicalities za a defective plant.
Tutende haki jameni, karma is real na kifo cha karma, kipo!.
- Zitto, Prof. Kitila Mkumbo na Samson Mwigamba, waliandaa wanaka wa mabadiliko wa kuunda kitu kinachoitwa "a winning coalition", ili team hiyo ishide uongozi wa Chadema.
- Wakiwa kwenye kikao cha CC Arusha, Mwigamba akawa ana leak info za kikao na kupost JF.
- Yule Chalii wa Arachuga, akamdukua na kumdakua, akampokonya ngamizi mpakato na kumshushia kipigo cha mbwa mwizi.
- Kwenye ngamizi hiyo ndio wakaukuta huo waraka wa mabadiliko with coded names, waka decode na kuitisha ile CC kangaroo court yao na kuwatimua wote watatu.
- Kwa mujibu wa katiba ya Chadema, Zitto ambaye ni NKM, mamlaka yake ya nidhamu ni Baraza Kuu na rufaa ni mikutano mkuu!, CC ya Chadema ilipata wapi mamlaka kumtimua Zitto, mwisho wa uwezo wa CC ni kunsimamisha tuu na kumpatia mashitaka take kwa maandishi, kisha unaitisha mamlaka yake ya nidhamu!. Huku kutimuana kikangaroo kuna I cost sana Chadema, na sio kuwa hawakuambiwa... Opinion: Kung'atuka Kwa Zitto, CHADEMA, Msishangilie, Mkajisahau, Jiandaeni kwa "Karma!", wote waliohusika na kadhia hii, karma iliwashughikia!.
- Chadema hawakomi!, the same same scenario inajirudia kwa Halima Mdee, huyu ni Mwenyekiti wa Bawacha, mamlaka yake ya nidhamu ni Baraza Kuu, CC ya Chadema imepata wapi mamlaka kumfuta uanachama?.
- There was an excuse ya ukata kushindwa kuitisha kikao cha Baraza Kuu!, Mungu si Athumani, mara Mungu bariki, nanii kawapa pesa za kuitisha Baraza Kuu, ambayo ndio mamlaka halali ya nidhamu ya Halima!, kwanini shauri hili halikupelekwa?.
- Makamanda walioigharimia CHADEMA kwa machozi, jasho na damu, leo ni wakuitwa wasaliti? Karma Haitawaacha salama, itawatandika tu
View attachment 2467424
RIP Jaji Utamwa!.
P
Una kinyongo sana wewe mwanamkeHii ndio Taarifa iliyotolewa leo 2/1/2023 na EATV, kwamba Mh Utamwa ambaye alikuwa Jaji wa Mahakama Kuu kanda ya Iringa, amefariki Jijini Dar es Salaam leo tarehe 2 January 2023.
Kwa Wageni wa hapa Jf ama pia kwa wenyeji Wasahaulifu, Jaji Utamwa ndiye aliyeendesha Kesi ya Zitto Kabwe dhidi ya Chadema, ya Kupinga kufutwa uanachama kwa tuhuma za Usaliti akishirikiana na Kitila Mkumbo na Mamluki wengine.
Tunamuomba Mwenyezi Mungu kuipumzisha Roho ya Jaji Utamwa mahali inapostahili, Amina.
Hii ndio Taarifa iliyotolewa leo 2/1/2023 na EATV, kwamba Mh Utamwa ambaye alikuwa Jaji wa Mahakama Kuu kanda ya Iringa, amefariki Jijini Dar es Salaam leo tarehe 2 January 2023.
Kwa Wageni wa hapa Jf ama pia kwa wenyeji Wasahaulifu, Jaji Utamwa ndiye aliyeendesha Kesi ya Zitto Kabwe dhidi ya Chadema, ya Kupinga kufutwa uanachama kwa tuhuma za Usaliti akishirikiana na Kitila Mkumbo na Mamluki wengine.
Tunamuomba Mwenyezi Mungu kuipumzisha Roho ya Jaji Utamwa mahali inapostahili, Amina.
Asante mkuuJudge Dk. John Harold Kulimba Utamwa ni mmooja wa majaji wa Mahakama Kuu waliosikiliza kesi nyingi., RIP Judge J.H.K Utamwa.
Moja ya kesi tajwa ni :
IN THE HIGH COURT OF TANZANIA AT DAR ES SALAAM, CIVIL CASE NO. 270 OF 2013
HON. ZITO ZUBERI KABWE (MP)......................APPLICANT
VERSUS.
1. THE BOARD OF TRUSTEES, CHAMA CHA DEMOCRASIANA MAENDELEO................................................1st RESPONDENT
2. THE GENERAL SECRETARY CHAMA CHA DEMOCRASIA NA MAENDELEO......................................................2nd RESPONDENT
REASONS FOR THE ORDER. 02/01/& 03/01/2014. Utamwa, J. On the 2nd January, 2014 I made an order (herein called the order) over ruling the preliminary objection (PO) which had been raised by the two respondents, the Board of Trustees, Chama cha Democrasia naMaendeleo and the General Secretary Chama cha Democrasia naMaendeleo (first and second respondent respectively) against the chamber application filed by the applicant, Hon. Zito Zuberi Kabwe ....
As to the third-point of law, Mr. Lisu learned counsel for the respondents essentially argued that, this court, does not have jurisdiction to entertain this matter being a matter related to a disciplinary proceedings conducted by a political party against its member, unless there was an allegation of breach of natural justice in the process, which is not the case according to the affidavit.
He argued further that, the applicant in his affidavit admits that there is an appellate process and he is pursuing the same. He cannot thus do so and come to court at the same time.
He also argued that political parties are voluntary groups for parties to join or to pull out as per article 20 (1) of the Constitution.
He equated political parties to religious institutions and submitted that courts of this land have held that they do not have jurisdiction to entertain religious disputes, he cited the cases of Amani Mwenegoha,Secretary General E.L.C.T v. The Registered Trustees of theLutheran Church in Tanzania and 3 others, High Court Misc.Civil Cause No. 8 of 2005, at Dar es salaam (unreported) and Simon Maregesi and 2 others v. Fr. Wojciech Koscielniak andanother, High Court Civil Revision No. 7 of 2005, at Mwanza(unreported) to fortify his fight.
He said, the legal principle should apply mutatis mutandis to political bodies like CHADEMA. Mr. Msando essentially replied that this is not a point of PO in law because it requires evidence to prove whether principles .....
natural justice have been complied with in the process of disciplinary proceedings. He differentiated religious bodies from political parties.
In his rejoinder Mr. Lisu reiterated his submissions in chief.The issue here is whether or not this is a pure point of law for*a PO. As rightly contended by Mr. Lisu learned counsel, a point of PO must be a pure point of law. The court in considering whether the raised concern is a actually a point of PO in law must consider the pleadings or the affidavit in the matter at hand, he argued. However, it is also the law that a point of PO must be a point which will not attract parties to give evidence in its proof as rightly submitted by Mr. Msando. This is a trite stance of the law, see Mukisa Biscuit Manufacturing Company Ltd. v. W est End DistributorsLtd. (1969) EA 696 and the recent CAT’s ruling in Karata Ernest andothers v. Attorney General, TCA Civil Revision, No.10 o f 2010,at Dar es salaam (unreported).
In the matter at hand however, there is a serious dispute between the parties in respect of the fact that principles of natural justice are being observed by the respondents in the process of the said disciplinary proceedings against the applicant.
Under paragraph 18 of the affidavit for example, the applicant complains that the failure by the second respondent to furnish him with a copy of the proceedings and reasons for the decision of the Central Committee has denied him ......
an opportunity to appeal to the Governing Council. He also states that the second respondent’s failure to prepare a report to be submitted to the Governing Council within 14 days from the decision of the Central Committee has denied him an opportunity to be heard by the Governing Council. This disputed fact needs evidential proof. The point raised by Mr. Lisu learned counsel for the respondents cannot thus be considered as a point of PO properly so called in law. For these reasons I answered the issue posed above negatively.__"5
These are the reasons that moved me to discard all the three points of the PO, expunge paragraphs 25 and 27 of the affidavit and consequently overrule the PO in its entirety
Signed
JHK. UTAMWA. JUDGE
02/01/2014.
Source :
THE CITIZEN - The case dated back to 2013
Kigoma MP Zitto Kabwe (CHADEMA) has rarely been out of the news during the last few months.
In early March, the High Court in Dar es Salaam ruled in favour of CHADEMA, in a long-running dispute between Kabwe and the party. The judge also ordered Zitto to pay CHADEMA’s costs.
The case dated back to 2013, when Kabwe brought a case against the CHADEMA Board of Trustees and its Secretary General Willbroad Slaa, which asked the Court to bar CHADEMA’s Central Committee from deliberating on or determining his membership of the party until his appeal was determined by the governing council of the party.
As the verdict was announced Kabwe, in his capacity as Chairman of the National Assembly’s Public Accounts Committee, said “As you can see, I am still in a full position as an MP and am still the Chairman of the Committee”. The MP seemed concerned by the court ruling to strip him of CHADEMA membership but he termed it a surprise, saying he was used to such challenges in building his political career. He said that his politics were based on issues and not on people.
CHADEMA’s founder and former Finance Minister Edwin Mtei said he welcomed the final settling of Kabwe’s long running stand-off over his membership of the party. He had admired him because he was aggressive but later realised he was too ambitious and no longer interested in CHADEMA’s collective strength. Mtei dismissed fears that CHADEMA could suffer as a consequence although he had admitted that Kabwe still enjoyed a popular following.
CHADEMA lawyer Tundu Lissu told reporters that the party was preparing a bill of costs for the Registrar of the judiciary to ensure that Kabwe paid all the costs incurred during the case at the High Court. Lissu added that Kabwe was one of Tanzania’s most powerful politicians on matters of national interest and was dedicated and hardworking. However, he was also an undisciplined figure who had made it his mission to stop the increasing popularity of CHADEMA.
Kabwe then resigned from CHADEMA and from parliament, and joined the newly created party ‘Alliance for Change and Transparency’ (ACT)). He became leader of this party and thus obtained a platform in time for the next election, even though many people feel that Tanzania already has too many parties – over 20. It is not clear how much damage he has done to the prospects of CHADEMA, but it could be considerable
Eee bhana eeee !!!Jaji Utamwa ndiye aliyesajili/kuidhinisha hukumu ya TEGETA ESCROW mabilioni yakachotwa.
Kilichokukasirisha nini ?Unajaza Savers za jf bure tu,sasa kulikua na haja gani kuleta hii kesi yote hapa?
Hadi leo bado unalia Zitto kutimuliwa Chadema , Aiseee !!! Nimeamini ule Mkakati wa JK ulikuwa na msululu mrefu sana ! miongoni mwao walikuwemo waandishi wa bahasha za khaki ! unaambiwa hata walinzi wa Riziwan ndio walikuwa pia walinzi wa Zitto , Hakika Chadema ina nguvu sana , maana iliishinda serikali na mamluki kibao yaani !!Kitu kinachoitwa karma ni kitu vibaya sana!, karma haina Mswalie Mtume!.
Ni kweli Jaji huyu aliiendesha kesi ya Zitto, na Zitto akashindwa kwa legal technicalities za a defective plant.
Tutende haki jameni, karma is real na kifo cha karma, kipo!.
- Zitto, Prof. Kitila Mkumbo na Samson Mwigamba, waliandaa wanaka wa mabadiliko wa kuunda kitu kinachoitwa "a winning coalition", ili team hiyo ishide uongozi wa Chadema.
- Wakiwa kwenye kikao cha CC Arusha, Mwigamba akawa ana leak info za kikao na kupost JF.
- Yule Chalii wa Arachuga, akamdukua na kumdakua, akampokonya ngamizi mpakato na kumshushia kipigo cha mbwa mwizi.
- Kwenye ngamizi hiyo ndio wakaukuta huo waraka wa mabadiliko with coded names, waka decode na kuitisha ile CC kangaroo court yao na kuwatimua wote watatu.
- Kwa mujibu wa katiba ya Chadema, Zitto ambaye ni NKM, mamlaka yake ya nidhamu ni Baraza Kuu na rufaa ni mikutano mkuu!, CC ya Chadema ilipata wapi mamlaka kumtimua Zitto, mwisho wa uwezo wa CC ni kunsimamisha tuu na kumpatia mashitaka take kwa maandishi, kisha unaitisha mamlaka yake ya nidhamu!. Huku kutimuana kikangaroo kuna I cost sana Chadema, na sio kuwa hawakuambiwa... Opinion: Kung'atuka Kwa Zitto, CHADEMA, Msishangilie, Mkajisahau, Jiandaeni kwa "Karma!", wote waliohusika na kadhia hii, karma iliwashughikia!.
- Chadema hawakomi!, the same same scenario inajirudia kwa Halima Mdee, huyu ni Mwenyekiti wa Bawacha, mamlaka yake ya nidhamu ni Baraza Kuu, CC ya Chadema imepata wapi mamlaka kumfuta uanachama?.
- There was an excuse ya ukata kushindwa kuitisha kikao cha Baraza Kuu!, Mungu si Athumani, mara Mungu bariki, nanii kawapa pesa za kuitisha Baraza Kuu, ambayo ndio mamlaka halali ya nidhamu ya Halima!, kwanini shauri hili halikupelekwa?.
- Makamanda walioigharimia CHADEMA kwa machozi, jasho na damu, leo ni wakuitwa wasaliti? Karma Haitawaacha salama, itawatandika tu
View attachment 2467424
RIP Jaji Utamwa!.
P
Hawa ni tayari, wasiwasi wangu ni karma, ndio maana nimewashauri CHADEMA kubalini matokeo na m-survive, or shupazeni shingo. You go to hell 6ft under Hao Makamanda 19 ni mashujaa, kuendelea Ubunge waoKwani CCM hamtaki watu wazuri? kaa nao huko huko
Duh...!, kumbe huyu ni KE!, ghafla nimeanza kumpenda!.Una kinyongo sana wewe mwanamke
Lakini Zitto alikuwa na tuhuma nyingine za kushirikiana na serikali kukihujumu chama.Kitu kinachoitwa karma ni kitu vibaya sana!, karma haina Mswalie Mtume!.
Ni kweli Jaji huyu aliiendesha kesi ya Zitto, na Zitto akashindwa kwa legal technicalities za a defective plant.
Tutende haki jameni, karma is real na kifo cha karma, kipo!.
- Zitto, Prof. Kitila Mkumbo na Samson Mwigamba, waliandaa wanaka wa mabadiliko wa kuunda kitu kinachoitwa "a winning coalition", ili team hiyo ishide uongozi wa Chadema.
- Wakiwa kwenye kikao cha CC Arusha, Mwigamba akawa ana leak info za kikao na kupost JF.
- Yule Chalii wa Arachuga, akamdukua na kumdakua, akampokonya ngamizi mpakato na kumshushia kipigo cha mbwa mwizi.
- Kwenye ngamizi hiyo ndio wakaukuta huo waraka wa mabadiliko with coded names, waka decode na kuitisha ile CC kangaroo court yao na kuwatimua wote watatu.
- Kwa mujibu wa katiba ya Chadema, Zitto ambaye ni NKM, mamlaka yake ya nidhamu ni Baraza Kuu na rufaa ni mikutano mkuu!, CC ya Chadema ilipata wapi mamlaka kumtimua Zitto, mwisho wa uwezo wa CC ni kunsimamisha tuu na kumpatia mashitaka take kwa maandishi, kisha unaitisha mamlaka yake ya nidhamu!. Huku kutimuana kikangaroo kuna I cost sana Chadema, na sio kuwa hawakuambiwa... Opinion: Kung'atuka Kwa Zitto, CHADEMA, Msishangilie, Mkajisahau, Jiandaeni kwa "Karma!", wote waliohusika na kadhia hii, karma iliwashughikia!.
- Chadema hawakomi!, the same same scenario inajirudia kwa Halima Mdee, huyu ni Mwenyekiti wa Bawacha, mamlaka yake ya nidhamu ni Baraza Kuu, CC ya Chadema imepata wapi mamlaka kumfuta uanachama?.
- There was an excuse ya ukata kushindwa kuitisha kikao cha Baraza Kuu!, Mungu si Athumani, mara Mungu bariki, nanii kawapa pesa za kuitisha Baraza Kuu, ambayo ndio mamlaka halali ya nidhamu ya Halima!, kwanini shauri hili halikupelekwa?.
- Makamanda walioigharimia CHADEMA kwa machozi, jasho na damu, leo ni wakuitwa wasaliti? Karma Haitawaacha salama, itawatandika tu
View attachment 2467424
RIP Jaji Utamwa!.
P
Mwambie ataje ibara za katiba ya CDM zilizokiukwa,Kwani CCM hamtaki watu wazuri? kaa nao huko huko
Wana ushujaa Gani hao Covid 19? Watu wamejipeleka wenyewe Time Ili wapate ubunge wa Viti MaalumHawa ni tayari, wasiwasi wangu ni karma, ndio maana nimewashauri CHADEMA kubalini matokeo na m-survive, or shupazeni shingo. You go to hell 6ft under Hao Makamanda 19 ni mashujaa, kuendelea Ubunge wao
Kiukweli mshukuruni sana huyu Mama!.
P
Huyo Mwanaccm ulitegemea aandikeje ?Wana ushujaa Gani hao Covid 19? Watu wamejipeleka wenyewe Time Ili wapate ubunge wa Viti Maalum
Silii na Zitto kutimuliwa Chadema, mimi ni mpenda haki, ila pia ni mtu mwenye huruma sana, naumia jinsi Chadema inavyowatenda visivyo wanachama wake!, angalia nilianza lini Uamuzi wa CHADEMA dhidi ya madiwani: "A Big Mistake!", nikaja Wito: CHADEMA Watendeeni Haki Wanachama Wenu Ili Kuwatendea Haki Watanzania 2015! nikaja la Kafulila, la Zitto, na hili la kina Mdee!. Ni bahati mbaya sana no one in Chadema keeps tracks ya nani amefanya nini kitakacho msababishia a bad karma, na nini kinakuja kumtokea!, I do!. Hivyo naihurumia sana Chadema for suffering the consequences of it's own silly mistakes!Hadi leo bado unalia Zitto kutimuliwa Chadema , Aiseee !!!
Ni kweli enzi nikiwa mwandishi wa newsroom, hizo bahasha, nimezikunja sana na hata humu nimelitoa hili somo, Waandishi wa Habari na Bahasha: Sio Kila Bahasha ni Rushwa, kuanzia 2003 mpaka leo 2023, ni miaka 20 ya Uandishi wa habari wa kujitegemea kwa kujitolea!, hivyo sipokei bahasha!.Nimeamini ule Mkakati wa JK ulikuwa na msululu mrefu sana ! miongoni mwao walikuwemo waandishi wa bahasha za khaki !
Duh!, hili sikuwahi kulijua!, kumbe watoto wa rais siku hizi wana walinzi!. Riz nimesoma nae UDSM dingi wake akiwa rais wa JMT, sikuwahi muona ana ulinzi!. Zitto ndio kabisa tuna kuwa nae mpaka usiku wa manene viwanjani, kama hapa Kichaa mmoja, anaweweseka sana juu ya Zitto, kamtungia uongo, umebuma, Zitto tuko nae hapa Dodoma, sijawahi muona na ulinzi !.unaambiwa hata walinzi wa Riziwan ndio walikuwa pia walinzi wa Zitto ,
Kwenye hili, nakukubalia, tena ile 2015 Chadema ndio ilishida uchaguzi ule ukafanyika udhalimu, ikapokwa Elections 2015 - Kama Hii ni Kweli, Then, Serikali Yetu ni Serikali Dhalimu?, Haramu?. Hukumu ya Karma ii Juu Yake!Hakika Chadema ina nguvu sana , maana iliishinda serikali na mamluki kibao yaani !!
KabisaMwambie ataje ibara za katiba ya CDM zilizokiukwa,
Kaa nao huko huko CCM hakuna cha karma ni upuuzi mtupuHawa ni tayari, wasiwasi wangu ni karma, ndio maana nimewashauri CHADEMA kubalini matokeo na m-survive, or shupazeni shingo. You go to hell 6ft under Hao Makamanda 19 ni mashujaa, kuendelea Ubunge wao
Kiukweli mshukuruni sana huyu Mama!.
P
Mkuu Mzalendo Uchwara , serikali is a very powerful thing, ikimhitaji mtu yoyote, inampata, mzalendo yoyote wa kweli wa taifa hili, ni lazima awe mkweli toka ndani ya nafasi yake na kwa taifa lake, hivyo ana wajibu wa kushirikiana na serikali kuhakikisha nchi ni salama, amani, utulivu na ustawi, akibaini hapo alipo, kuna mambo ya uhalifu yanapangwa, akiyanyamazia, yeye anakuwa ni accessory before the fact or after the fact. Tena hii movie ya ugaidi wa Chadema kupanga vitendo vya uhalifu kudhuru watu, the expozee ilianzia humu humu jf na aliye iibus hiyo expozee is none other than mwana JF huyu On Star TV: Zitto, Nchemba na Mtatiro ktk mjadala wa kutathmini ya Siasa Tanzania 2012, na kwa taarifa yako wala sio Zitto tuu!, CHADEMA Kuna Kirusi! Je, Unajua kirusi hiki ni Nani?! Na The Motive Behind? na vingine VIP na hata nanilii naye pia!.Lakini Zitto alikuwa na tuhuma nyingine za kushirikiana na serikali kukihujumu chama.
Kwa Zitto siwalaumu CDM, jamaa ni mtu wa kutumika. Unfortunately hata mwenyekiti wa sasa anatia wasiwasi.