Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijaelewa kwa nini Mhe. Jaji ametoa hukumu mbili tofauti kwa facts zinazofananaiaKwamba Jaji Tiganga kalitupa pingamizi kesi ya Mbowe na aliwahi kutoa hukumu hii:
View attachment 2005284
View attachment 2005286
Kuna nini kilichobakia?
View attachment 2005287
Pamoja na kumshtakia Mungu, huyu Jaji aombwe kujitoa.
Watajitoa wangapi? tumeshajua hawa jamaa hawafanyi kazi kwa kutumia taaluma zao, wanafanya kazi kwa kupokea maelekezo toka wanapopajua, hata akija jaji mwingine mchezo utabakia huu huu.
Naona kilichobaki sasa hivi tuendelee kuwatazama na maigizo yao, tuwatazame tu mpaka watakapofikia mwisho wao, baada ya hapo ndio ijulikane hatua itakayofuata kama ni kukata rufaa mahakama ya rufani.
Naamini majaji wa mahakama ya rufani kuwa kwao watatu kwenye kuamua shauri kutasaidia kidogo kutenda haki kwa watuhumiwa, siamini kama wote kwa pamoja wataweza kuhongwa na jamhuri ili watoe maamuzi ya kuwabeba wao, tofauti na hawa "singles" wa mahakama kuu wanaolinda mikate yao.
Hapana Jaji siyo Muongo, ila Hasemi ukweli.Huyu jaji pia ni muongo kama alivyo sema wakili mallya?
Kapewa maelekezo akichomolewa hapo atafanya kazi gani mkuu?Kwamba Jaji Tiganga kalitupilia mbali pingamizi kesi ya Mbowe na aliwahi kutoa hukumu hii:
View attachment 2005284
View attachment 2005286
Kuna nini kilichobakia?
View attachment 2005287
Pamoja na kumshtakia Mungu, huyu Jaji aombwe kujitoa.
Ni mtu wa hovyo snHapana Jaji siyo Muongo, ila Hasemi ukweli.
mbowe ni muhalifu kama walivyo wahalifu wengine.
na atashughulikiwa kwa mujibu wa sheria kama walivyo wahalifu wengine.
hakuna ulinganifu kati ya kesi hiyo na pingamizi ktk kesi ya mbowe.Mada umeweza japo kuielewa lakini?
Hii kesi ilianzia mahakama ya mwanzo kijijini Buhongwa kabla tu hujaingia jijini Mwanza. Mshitakiwa alishikwa ugoni; aidha, alikuwa ameiba ng'ombe. Wasukuma na Wataturu kuibiana ngombe ni jambo la kawaida, kutembea na waume za watu pia ni common. Ugaidi si jambo la kawaida, ulitaka aachiwe kwa kusema wamemkamata Kilimanjaro City badala ya Moshi eti ni kosa gaidi aachiwe huru. Watanzania hawataelewa. Hata ile ya malipo kupitua tigo kwenda kwa gaidi mnaitetea, eti siri ya mteja: hiyo nayo Watanzania hatuelewi.Kwamba Jaji Tiganga kalitupilia mbali pingamizi kesi ya Mbowe na aliwahi kutoa hukumu hii:
View attachment 2005284
View attachment 2005286
Kuna nini kilichobakia?
View attachment 2005287
Pamoja na kumshtakia Mungu, huyu Jaji aombwe kujitoa.
Wewe LGF mzee wa rainbow flag. Lesbian n Gay FlagHii kesi ilianzia mahakama ya mwanzo kijijini Buhongwa kabla tu hujaingia jijini Mwanza. Mshitakiwa alishikwa ugoni; aidha, alikuwa ameiba ng'ombe. Wasukuma na Wataturu kuibiana ngombe ni jambo la kawaida, kutembea na waume za watu pia ni common. Ugaidi si jambo la kawaida, ulitaka aachiwe kwa kusema wamemkamata Kilimanjaro City badala ya Moshi eti ni kosa gaidi aachiwe huru. Watanzania hawataelewa. Hata ile ya malipo kupitua tigo kwenda kwa gaidi mnaitetea, eti siri ya mteja: hiyo nayo Watanzania hatuelewi.
Hii kesi ilianzia mahakama ya mwanzo kijijini Buhongwa kabla tu hujaingia jijini Mwanza. Mshitakiwa alishikwa ugoni; aidha, alikuwa ameiba ng'ombe. Wasukuma na Wataturu kuibiana ngombe ni jambo la kawaida, kutembea na waume za watu pia ni common. Ugaidi si jambo la kawaida, ulitaka aachiwe kwa kusema wamemkamata Kilimanjaro City badala ya Moshi eti ni kosa gaidi aachiwe huru. Watanzania hawataelewa. Hata ile ya malipo kupitua tigo kwenda kwa gaidi mnaitetea, eti siri ya mteja: hiyo nayo Watanzania hatuelewi.