Jaji kesi ya Mbowe na hukumu kinzani

Jaji kesi ya Mbowe na hukumu kinzani

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Kwamba Jaji Tiganga kalitupilia mbali pingamizi kesi ya Mbowe na aliwahi kutoa hukumu hii:

IMG_20211110_090249_175.jpg


IMG_20211110_090313_255.jpg


Kuna nini kilichobakia?

IMG_20211110_090602_953.jpg


Pamoja na kumshtakia Mungu, huyu Jaji aombwe kujitoa.
 
Watajitoa wangapi? tumeshajua hawa jamaa hawafanyi kazi kwa kutumia taaluma zao, wanafanya kazi kwa kupokea maelekezo toka wanapopajua, hata akija jaji mwingine mchezo utabakia huu huu.

Naona kilichobaki sasa hivi tuendelee kuwatazama na maigizo yao, tuwatazame tu mpaka watakapofikia mwisho wao, baada ya hapo ndio ijulikane hatua itakayofuata kama ni kukata rufaa mahakama ya rufani.

Naamini majaji wa mahakama ya rufani kuwa kwao watatu kwenye kuamua shauri kutasaidia kidogo kutenda haki kwa watuhumiwa, siamini kama wote kwa pamoja wataweza kuhongwa na jamhuri ili watoe maamuzi ya kuwabeba wao, tofauti na hawa "singles" wa mahakama kuu wanaolinda mikate yao.
 
Hii kesi iendeshwa na majaji toka nje ya nchi. Hawa majaji wateule wa mheshimiwa hawatendi haki wanafuata maagizo kutoka kwa aliyewateua
 
Watajitoa wangapi? tumeshajua hawa jamaa hawafanyi kazi kwa kutumia taaluma zao, wanafanya kazi kwa kupokea maelekezo toka wanapopajua, hata akija jaji mwingine mchezo utabakia huu huu.

Naona kilichobaki sasa hivi tuendelee kuwatazama na maigizo yao, tuwatazame tu mpaka watakapofikia mwisho wao, baada ya hapo ndio ijulikane hatua itakayofuata kama ni kukata rufaa mahakama ya rufani.

Naamini majaji wa mahakama ya rufani kuwa kwao watatu kwenye kuamua shauri kutasaidia kidogo kutenda haki kwa watuhumiwa, siamini kama wote kwa pamoja wataweza kuhongwa na jamhuri ili watoe maamuzi ya kuwabeba wao, tofauti na hawa "singles" wa mahakama kuu wanaolinda mikate yao.
OIP.xpgLyaA1e8EWiiplFTXckgHaEX
 
Huyu jaji pia ni muongo kama alivyo sema wakili mallya?
 
Tupo nyuma sana sisi katika masuala ya justice, mbaya zaidi katiba yetu inaruhusu mhimili wa dola kuingilia mihimili mingine, mhimili wa Mahakana na Bunge una maingilino makubwa na dola kitu ambacho ni hatari sana kwa ustawi wa taifa huru. Watu mil 60 hatuwezi kuwa na fikra sawa, sasa watawala wanatutaka tuwe hivyo.

Mbowe leo akituma wapambe wake kwamba anaachana na siasa kesi leo hii hii inafutwa believe me.
 
mbowe ni muhalifu kama walivyo wahalifu wengine.
na atashughulikiwa kwa mujibu wa sheria kama walivyo wahalifu wengine.
 
Mada umeweza japo kuielewa lakini?
hakuna ulinganifu kati ya kesi hiyo na pingamizi ktk kesi ya mbowe.
hizo ni kesi mbili zenye mazingira tofauti kabisaa.
Jaji ktk kesi ya mbowe kafanunua vyema sana, hadi Kibatala mwenyewe amempigia saluti, yaani kibatala katosheka na karidhika kwa hoja alizo zitoa Jaji kwa kutoa mifano ya kesi kadhaa zilizo amuliwa.


sheria ni hoja zenye mashiko, sio blaaablaaa.
 
Kwa maoni yangu Mbowe angeachana na kesi,aache mahakama ihukumu inavyoona ni sahihi. Kwa sababu hata akija kukata rufaa bado itachukua muda mrefu mpaka mahakama ya rufani kuja kukaa
 
Kwamba Jaji Tiganga kalitupilia mbali pingamizi kesi ya Mbowe na aliwahi kutoa hukumu hii:

View attachment 2005284

View attachment 2005286

Kuna nini kilichobakia?

View attachment 2005287

Pamoja na kumshtakia Mungu, huyu Jaji aombwe kujitoa.
Hii kesi ilianzia mahakama ya mwanzo kijijini Buhongwa kabla tu hujaingia jijini Mwanza. Mshitakiwa alishikwa ugoni; aidha, alikuwa ameiba ng'ombe. Wasukuma na Wataturu kuibiana ngombe ni jambo la kawaida, kutembea na waume za watu pia ni common. Ugaidi si jambo la kawaida, ulitaka aachiwe kwa kusema wamemkamata Kilimanjaro City badala ya Moshi eti ni kosa gaidi aachiwe huru. Watanzania hawataelewa. Hata ile ya malipo kupitua tigo kwenda kwa gaidi mnaitetea, eti siri ya mteja: hiyo nayo Watanzania hatuelewi.
 
Hii kesi ilianzia mahakama ya mwanzo kijijini Buhongwa kabla tu hujaingia jijini Mwanza. Mshitakiwa alishikwa ugoni; aidha, alikuwa ameiba ng'ombe. Wasukuma na Wataturu kuibiana ngombe ni jambo la kawaida, kutembea na waume za watu pia ni common. Ugaidi si jambo la kawaida, ulitaka aachiwe kwa kusema wamemkamata Kilimanjaro City badala ya Moshi eti ni kosa gaidi aachiwe huru. Watanzania hawataelewa. Hata ile ya malipo kupitua tigo kwenda kwa gaidi mnaitetea, eti siri ya mteja: hiyo nayo Watanzania hatuelewi.
Wewe LGF mzee wa rainbow flag. Lesbian n Gay Flag
 
Hii kesi ilianzia mahakama ya mwanzo kijijini Buhongwa kabla tu hujaingia jijini Mwanza. Mshitakiwa alishikwa ugoni; aidha, alikuwa ameiba ng'ombe. Wasukuma na Wataturu kuibiana ngombe ni jambo la kawaida, kutembea na waume za watu pia ni common. Ugaidi si jambo la kawaida, ulitaka aachiwe kwa kusema wamemkamata Kilimanjaro City badala ya Moshi eti ni kosa gaidi aachiwe huru. Watanzania hawataelewa. Hata ile ya malipo kupitua tigo kwenda kwa gaidi mnaitetea, eti siri ya mteja: hiyo nayo Watanzania hatuelewi.

Kwani mijitu inayojulikana mnajificha?

IMG_20211110_120054_374.jpg
 
Back
Top Bottom