Jaji M.C. Othman Jaji Mkuu mpya wa Tanzania

Jaji M.C. Othman Jaji Mkuu mpya wa Tanzania

Mohamed Chande was serving as Chief of Prosecutions at the Office of the Prosecutor of International Criminal Tribunal for Rwanda.
Tanzanian citizen with a background of East-African, Swiss and British cultures, a lifetime international exposure, an academic background in Legal Affairs and Humanitarian Affairs, a working experience as Member of the Bar Association, world-wide Humanitarian activities as Civil Servant, speaks English, French, Arabic and Malaysian, with an understanding of German. Withdrew some years ago to accept various Government functions. Former Judge, Prosecutor to the International Court of Justice, Attorney-General and Prosecutor-General, Judge to the Supreme Court, he presently is a senior Advisor on Human Rights to the UN.
CV imetulia, I hope na utendaji pia umetulia
 
sijawahi kusikia Jaji ambaye ni Kilaza..........heshima mbele kwa Majaji
 
Thanks..... I think now we are talking the same language mipaka yake.........., Serikali separate na Mahakama separate. Sasa unapokuwa na Ndugu yako kwenye Usalama wa Taifa........ na Mwingine kwenye Judiciary hiyo mipaka inaishia wapi..... Do you want to tell me beyond reasonable doubt kwamba hapa hakuna anything wrong?????

Mkuu nadhani wote tunazielewa terminology za kisheria ila tunabishana tu katika uteuzi wa ndugu wawili sehemu mbili. Jibu la swali lako liko katika nini kazi za DG wa Usalama wa Taifa na kazi za Chief Justice wa Tanzania. Ikiwa kuna uwezekano wakawasiliana na kufanya kazi pamoja naweza kukubaliana na wewe. Lakini hawa wako far apart mkuu mmoja yuko katika mahakama mwengine yupo katika idara nyeti ya serikali sasa niambie conflict of interest inatoka wapi? Hebu nifafanulie pengine mie silioni!
 
Ikiwa kuna uwezekano wakawasiliana na kufanya kazi pamoja naweza kukubaliana na wewe.

Ndio mkuu issue iko kwenye kuwasiliana na kufanya kazi pamoja (now hawa Jamaa being ndugu) huoni kwamba kaka mtu anaweza akainfluence decision za mwingine au vice versa..?????
 
Hujui function za TISS ndio maana unaona na kudhani hizo idara zinaingiliana.

Kama unazijua functions za TISS na unaona zinaingiliana na za idara ya CJ, basi zitaje.

Wapi ilikuwa imeandikwa kwamba TISS ituchagulie rais watanzania? Did not they do it?
 
Lakini wakristu kuna mawaziri 33 vs 17 vipi mbona JK hana imani na waislamu kwenye mambo uwaziri?

I hope umejumlisha na idadi yote ya baraza la wawakilishi. Hawa nao wanatumia resources za Tanzania maana Tanzania ni moja licha ya vikorombwezo vya maneno ya kisiasa
 
Ndio mkuu issue iko kwenye kuwasiliana na kufanya kazi pamoja (now hawa Jamaa being ndugu) huoni kwamba kaka mtu anaweza akainfluence decision za mwingine au vice versa..?????

Hizo ni hearsay mkuu maana kuna mipaka ya kazi na wanaongozwa kwa mujibu wa utaratibu wa kazi sasa sijui labda avunje sheria naweza kukubaliana na wewe but this purely speculation mkuu tuwaachie wafanye kazi tusiwahukumu pasina hatia.
 
Hizo ni hearsay mkuu maana kuna mipaka ya kazi na wanaongozwa kwa mujibu wa utaratibu wa kazi sasa sijui labda avunje sheria naweza kukubaliana na wewe but this purely speculation mkuu tuwaachie wafanye kazi tusiwahukumu pasina hatia.

People break the law....... Huo ni ubinadamu...... sasa hili kuepuka hilo Tanzania inabidi tuanze kuangalia kwenye ngazi zote watu ambao wapo madarakani hawana uhusiano wa karibu ambao unaweza lead to corruption... (its like a scenario polisi anakushika alafu baba yake ndio anayekuhumu... am sure unajua where am coming from with this)
 
Hongera zake anaonekana anafaa kwa post hiyo!
 
Nimeipitia naona kama Role ya DG wa TISS ni ushauri hebu cheki Par 10 (1)-(3):-

10.- (I) Subject to the powers of the President and the directions of
the Minister in respect of any matter under this Act, the Director-General
shall have the command, control, direction, general superintendence
and management of the Service and all matters connected with it.

(2) Subject to any orders issued by the President and unless the Minister
directs otherwise in writing in relation to any matter, all orders and
instructions to the Service which are required to give effect to the decisions
and to carry out the policies and directions of the Government
shall be issued by or through the Director-General.

3. In the discharge of his functions under this Act the Director-General
may make administrative, financial operational or other form of
regulations, subject to approval by the Minister.


tukisema Mkwere mdini mnakataa,udini na kikwete ni mtu na binamu,lakini utamgarimu sana.
 
Vzr, sasa tukubaliane kwamba hakutakuwa na conflict of interest baina ya DG wa TISS na CJ eti kwa sababu ni Ndugu, hizo ni fikra za kusadikika. Tuwaache hawa wateule wafanye kazi wamsaidie Rais ukizingatia kila mmoja anaendesha Idara/taasisi isiongiliana na mwenzie kulingana na Sheria zilizoziunda taasisi hizo.
Tunabishana na kilaza mmoja ambaye hajui hata maana ya confict of interest! Tunapoteza muda wetu bure. Haya ni matokeo ya system mbaya ya elimu ya Tz... watu wanasomea kushinda mtihani....
 
tukisema Mkwere mdini mnakataa,udini na kikwete ni mtu na binamu,lakini utamgarimu sana.

Hapa sasa ndio kuna conflict of interest Je unaweza kutwambia kwa ufasaha zaidi mkuu vp JK na CJ Chande ndugu?
 
Nina wasiwasi kama CCM wamemwonea choyo huyu jamaa na sasa wanatafuta njia ya kumtelekeza ! Ila sasa ndio yupo kwenye mtihani mkubwa maana Tz kumejaa urojo na mbatata.
 
Ifike mahala tuache kutia nyongo kila jambo linalofanywa na watawala. Nimesoma kwa makini wasifu wa Jaji Mkuu mpya Othman Chande. Inajitokeza waziwazi kwamba huyu ni mtu mwenye wasifu na sifa za juu kabisa katika maswala ya sheria na mahakama. Ana uzoefu wa hali ya juu kitaifa na kimataifa. Mamlaka ya uteuzi wangekuwa ni wajinga kama wangemuacha kwa sababu tu kaka yake ni Mkurugenzi Mkuu wa TISS. Tony Blair na Gordon Brown waliwahi kuwateua mtu na mdogo wake kuwa katika baraza la mawaziri. Juzijuzi Chama cha Labour kiliwapitisha mtu na kakake kugombea nafasi ya Kiongozi wa labour.

Ni ujuha na ujinga kumteua mtu kwa sababu ya dini, udugu, ukabila, n.k. Vilevile ni ujuha na ujinga wa kutisha kuacha kumteua mtu kwa sababu tu ndugu yake alishatangulia huko serikalini hata kama ana sifa. Haya mambo ya ku-balance kidini, kikabila, kidugu, kikanda na kimokoa ndiyo yanaletekeza mijitu mingine kuteuliwa kuwa mawaziri hata kama haina sifa ili wateuzi waonekane walizingatia mgawanyo wa kimkoa, kidini, kikabila, n.k. Kama mtu ana sifa basi ateuliwa, na kama hakuna mtu mwenye sifa kwa nafasi husika kutoka hiyo dini au kabila au mkoa basi na iwe hivyo. Si lazima kila dini au mkoa uwakilishwe katika nafasi za uteuzi.

Othman Chande, chapa kazi. Una nafasi ya kujitengenezea legacy ya pekee kwa kutoa msukumo muhimu ili hatimaye nchi yetu iwe na Katiba Mpya yenye kuzingatia misingi ya demokrasia na haki za binadamu.
Hakuna shaka yeyote kuwa anafaa... wala mambo ya udini mimi sijayaona, na wala sidhani kuwa busara rais anapoteua mtu aangaliye balance ya mikoa au undugu. Issue ni kuwa hizi positions za hawa jamaa ni sensitive sana na zina mwingiliano wa kimaslahi. Na mifano uliyotoa ni irrelevant ya hawa jamaa!
 
..mbona wako kwenye mihimili tofauti ya utawala.

..na pia tayari CJ Chande alikuwa kwenye court of appeals. sasa hizi conflict of interests zitakuwepo kwasababu tu amepanda cheo?

..so far sina matatizo na uteuzi huu. unless mtu aje hapa atueleze kuhusu legal philosophy ya CJ Chande, au atuonesha hukumu alizopata kutoa kama zina matatizo.

..wenzetu wanapojadili teuzi za majaji huchunguza HUKUMU walizotoa, OPINIONS zilizoko ktk maandishi ya mhusika.
 
JFK_and_Bobby.jpeg


FJK na nduguye RFK
 
Back
Top Bottom