Jaji M.C. Othman Jaji Mkuu mpya wa Tanzania

Jaji M.C. Othman Jaji Mkuu mpya wa Tanzania

Mpaka sasa mimi sijaona mgongano wa kimaslahi ulio moja kwa moja. Endapo ikatokea hapo mbeleni kukawa na shauri linalowahusisha wote wawili kwa ukaribu basi jaji Chande atatakuwa kuji-recuse kutoka kwenye hilo shauri ili kuepuka huo mgongano wa kimaslahi.

Kwa hiyo mimi hadi hivi sasa ningependa kujua zaidi judicial philosophy yake na opinion alizokwisha andika. Kuna anayejua hayo?
 
Sidhani kuna kitu cha kubishania hapa! ..wenzetu wanapojadili teuzi za majaji huchunguza HUKUMU walizotoa, OPINIONS zilizoko ktk maandishi ya mhusika. Hiyo dini sijui inaingiaje hapa, labda kama aliyemteua ndo awe na ajenda yake siri ambayo hata hivyo hatuwezi kuithibitisha hapa. Cha muhimu hapa ni huyu jamaa kuwa independent kwenye maamuzi ya kama CJ bila kuogopa pressure za the big men in power kama alivyofanya mtangulizi wake kwenye kesi ya katiba!
 
hongera zake, na cha msingi afanye kazi nzuri bila upendeleo
 
Three Tipped for Chief Justice Post

Dec, 20, 2010

DAR ES SALAAM

With barely a week before Chief Justice Augustino Ramadhani leaves office, the search for his successor has reportedly been narrowed down to three names, from whom President Jakaya Kikwete will pick the new holder of the top judicial position.

The Citizen on Sunday established that the three are 58-year-old Mr Justice Mohamed Othman Chande, Mr Justice Bernard Luanda, 57, and Mr Justice Steven Bwana, 61. One of them will most likely land the top job, barring a surprise from the President, whose prerogative it is to appoint the holder of that office.

Mr Justice Ramadhani, who has attained the official retirement age of 65, was appointed CJ in 2007. He will officially be bade farewell in Dar es Salaam on Friday. Impeccable government sources told The Citizen on Sun day that the next CJ would be sworn in on December 27.

People close to the screening process to fill the post, whose hold automatically becomes the head of the Court of Appeal, said there was strong lobbying from outside the judicial circles for one of the possible candidates. Sources said Mr Justice Chande was highly tipped to replace Chief Justice Ramadhani.

Traditionally, it is the outgoing CJ, who recommends three people for appointment from amongst judges of the Court of Appeal to the President, who, in consultation with the National Intelligence and Security Service (TISS), makes his pick.

Insiders said that this time around, there was evident lobbying for the position, with different groups advancing various reasons, including age, and health status, in lobbying for the candidate of their choice.

Mr Justice Chande is currently a senior adviser to the United Nations on Human Rights. As a former chief of the International Criminal Tribunal for Rwanda (ICTR) Prosecutions and ex-prosecutor of East Timor's UN administration, he boasts rich international experience and exposure in the management of judicial affairs.

He is also said to enjoy good relations with some influential personalities in government. Mr Justice Chande is a younger brother of the current TISS director, Mr Rashid Othman.

Sources said judges Luanda and Bwana enjoy the backing of most of their colleagues in the Judiciary, have excellent credentials and track records, boosting their chances of catching President Kikwete's eye.

Mr Justice Luanda, who started his career as a resident magistrate in 1975, became the registrar of the Court of Appeal in 1997, during the reign of Chief Justice Francis Nyalali. He is said to have enormous experience in management.

He worked as a coordinator at the Judicial Institute at the Institute of Development and Management (IDM) at Mzumbe for eight years from 1990, before he became the registrar, was later appointed judge of the High Court and after a while, promoted to the Court of Appeal.

He is praised for steering Judiciary well, as the registrar at a time when there was little in terms of allocation of funds from the government.

He is currently the regional vice-president for the Commonwealth Magistrates and Judges Association (CMJA) for East, Central and Southern Africa.

He is described by his peers as hard-working and is liked by many, reportedly for not aligning himself to rival groups within the Judiciary. "His record is good. He has a clean sheet and is also a good researcher. Most of the other judges view him as a man who can overhaul the Judiciary, which is struggling to restore its reputation that has been tainted by corruption allegations," one of the sources said.

Mr Justice Bwana is also said to possess the qualifications needed for the post of CJ. He started his career as a junior judicial officer and later attained a PhD in law. He has also a reputation as a hard-working professional, who abhors delays in making decisions. Judge Bwarna is said to have won the confidence of the outgoing CJ.

He served as a judge of the Supreme Court of the Seychelles for five years from 1994, in a judicial exchange programme with Tanzania, but was later recalled.

Judge Bwana has been a judge of the Court of Appeal since 2008. He graduated from the University of Dar es Salaam and with a bachelor of law degree in 1974. He obtained his master's degree in Law in 1988, in Rome, and a PhD in 1992, also from Italy.

Gender

There has been talk of the possibility of picking a woman Chief Justice, who would be first to hold the position in the country's history.

One of the most respected judges in Tanzania, Lady Justice Eusebia Munuo, is said to have been widely tipped for the post before the centre of attention shifted when other considerations took centre stage.

Judge Munuo is a founding member of Tanzania Women Judges Association (TWJA). She is also the president-elect of the International Association of Women Judges (IAWJ). She is said credited with the capability of handling complex matters in the Judiciary.

She joined the Judiciary in 1970, as a magistrate, and worked her way up through the ranks. She was appointed judge of the High Court in 1987, a position she occupied until the end of August 2002, when she was elevated to the Court of Appeal

Lady Justice Munuo has distinguished herself with an impeccable career during her 30 years in the judicial service. Earlier, there was a speculation that the President could extend her tenure that reportedly expires next year and pick her for the CJ's post.

Source: Sunday Citizen

What happened to the special considerations to womens, which we saw on the issue of the speaker of the parliament. No more womens who deserves high post anymore?
 
Ifike mahala tuache kutia nyongo kila jambo linalofanywa na watawala. Nimesoma kwa makini wasifu wa Jaji Mkuu mpya Othman Chande. Inajitokeza waziwazi kwamba huyu ni mtu mwenye wasifu na sifa za juu kabisa katika maswala ya sheria na mahakama. Ana uzoefu wa hali ya juu kitaifa na kimataifa. Mamlaka ya uteuzi wangekuwa ni wajinga kama wangemuacha kwa sababu tu kaka yake ni Mkurugenzi Mkuu wa TISS. Tony Blair na Gordon Brown waliwahi kuwateua mtu na mdogo wake kuwa katika baraza la mawaziri. Juzijuzi Chama cha Labour kiliwapitisha mtu na kakake kugombea nafasi ya Kiongozi wa labour.

Ni ujuha na ujinga kumteua mtu kwa sababu ya dini, udugu, ukabila, n.k. Vilevile ni ujuha na ujinga wa kutisha kuacha kumteua mtu kwa sababu tu ndugu yake alishatangulia huko serikalini hata kama ana sifa. Haya mambo ya ku-balance kidini, kikabila, kidugu, kikanda na kimokoa ndiyo yanaletekeza mijitu mingine kuteuliwa kuwa mawaziri hata kama haina sifa ili wateuzi waonekane walizingatia mgawanyo wa kimkoa, kidini, kikabila, n.k. Kama mtu ana sifa basi ateuliwa, na kama hakuna mtu mwenye sifa kwa nafasi husika kutoka hiyo dini au kabila au mkoa basi na iwe hivyo. Si lazima kila dini au mkoa uwakilishwe katika nafasi za uteuzi.

Othman Chande, chapa kazi. Una nafasi ya kujitengenezea legacy ya pekee kwa kutoa msukumo muhimu ili hatimaye nchi yetu iwe na Katiba Mpya yenye kuzingatia misingi ya demokrasia na haki za binadamu.

nakuunga mkono asilimia zote
 
Nakumbuka wakati niko sekondari nilikuwa na special interest with African American history na literature. Nadhani hii ilichangiwa zaidi na kwenda kwangu pale USIS (maelezo sasa hivi) baadae ilipohamia kule PUGEOT HOUSE. Katika kusoma kwangu among my favorites alikewa Malcolm X ambaye quote yake ni ninayoipenda ni aliposema kuwa TOMORROW BELONGS TO THOSE WHO PREPARE FOR IT TODAY lakini pia bila kumsahau WEB DU BOIS lakini nilisoma kitabu kilichoandikwa na FREDRICK DOUGLASS ambaye alisema..."TO UNDERSTAND, A MAN MUST STAND UNDER." Kwa maneno mengine ni kuwa only by considering all the hardships a man has overcome in life, hivi ndivyo Douglass alivyokuwa anaamini, so can the rest of us judge him fairly. ivyo jaji Othman hana tofauuti katika hili.

Mimi ninamfahamu Jaji Othman and i fail to understand kwa nini uteuzi wake uwe issue nzito tena katika ukumbi huu wa the so called EXPERTS and GREAT THINKERS


Anyone who knows Judge Othman should by now realize that reputation was everything to him the work of art he had sculpted, the summit he had climbed, the treasure he had stored up from years of public service. Jaji Othman ninavyomjua mimi has often spoke of his life and reputation as one and the same. It really concerns me kuwa hakuna aliyekuja na any constructive criticism of his intellectual work as the learned au mtu aliyebobea kwenye fani yake.



Huyu Jaji wetu mpya, like most who rise to power, he had toiled for years in anonymity serving others of higher station. I just wanna tell you one thing, endeleeni kumtukana na kumkejeli as much as you want lakini mkae mkijua kuwa huyu jaji mkuumpya is not for turning. Ndio ni Muislam na kama kuna mtu hapendi then he hilo ni shairi lake. Lakini kwenye Tanzania iliyojaa maskini ya leo hii na pia Tanzania ambayo its common waislam kuambwa kuwa HAWAJASOMA lets just say kuwa hizi baseless accusations if anything zitamsaidia in an important way, by underscoring the fact that he carried along with him the aspirations of the 'under-educated' Muslims in Tanzania.


Hapa once again JK na team yake imeweza kuwathinitishia kuwa you dont have to be born into privilege ndio utafanikiwa. Hii pia ni kkuwaonyesha wanaolalamika kuwa its possible for a MSWAHILI na MUSILAM kuwa Jaji Mkuu Tanzania ni possible tena Jaji ambaye miaka ypte yake ya utumishi amekuwa akitoa huduma bila kujali MKRISTO au dini nyingine yoyote ile. As a nation we should be proud kuwa we are moving on from petty politics na kuangalia mbele. If anything appointment ya Jaji Othman ni culmination of his life and his struggles.
 
Mkwere mdini na atuendleza forever

Kipimo cha utendaji wa mtu kiwe ndo kigezo cha uteuzi, wtz tukianza kuangalia udini au upendeleo hatutafika.
Je upendeleo umeanza leo.Mwl enzi zake alizungukwa na karibu ndugu zake k.m tulikuwa na katibu mkuu Timothy Apiyo toka Musoma, Butiku,Msuguri,Twalipo,n.k mbona hilo hatukuliona?

Tukikumbatia udini tutajikuta tunaogopa kuwapa watu madaraka wanaositahili. kipimo chetu kiwe utendaji wa mtu.
Tatizo analolipata Kikwete ni pale tu anapo shindwa kuongoza nchi kama rais, hilo limewapa wasiwasi wananchi wengi kwani kwa mtizamo wangu nadhani baadhi ya wananchi walio wengi wameanza kukosa imani na yeye.

Mimi naimani kuwa wapo wakristu wazuri na waislam wazuri ambao wanastahili kuaminiwa.Bwana Othman tumwangalie kiutendaji
hicho ndo kiwe kigezo chetu.
Swala la kuwa mdogo wa Rashid Othman, naamini kuwa hata mimi ningekuwa Rashid ningempa kipaumbele ndugu yangu kwanza kabla ya mtu yeyote mwingine ilimradi anauwezo.

Jambo tu ambalo tunaweza kumtaka Rais ni kuhakikisha kuwa hatuchagulii watu kwa misingi ya urafiki,hata kama hawana uwezo
jambo ambalo watz wameliona sana kwa bwana Kikwete kama tutakuwa wakweli.
Jambo jingine ambalo tunahitaji tulione kwake ni kulinda katiba hata kama bado ina mapungufu,
 
What is there more kindly than the feeling between host and guest? Wacha tumuone na yeye, tumpe nafasi.
 
But one man who is duly qualified with local and international experience cannot be denied a chance to serve his country just because his brother is the head of the intelligence services. Have you considered that the man was already serving in the Court of Appeal as a Justice of Appeal. This means that he has had to deal with seminal cases and his record does not really require the words of this brother! You people think in very linear terms, that might be the issue. Not even one of you has asked which judgements he has delivered throughout his distinguished career (inorder to determine his legal expertise and level of intergrity) instead all you see is his first name, his religion... yani waswahili ndio maana hatuendelei nakwambieni... Wote humu wanafikiria aah muislamu basi freshi au muislamu aah JK mdini.. Hakuna kunagalia 'merit'.... Mungu anahusiana vipi na Judicial system ya Tanzania ambayo inamatatizo mbali mbali...hakuna dini inayoruhusu rushwa, ukosefu wa haki, urasimu wakijinga, na hayo ndio matatizo ya Mahakama Tanzania... haendi madraas huyu au kanisani kuubiri...Anaenda kuwasaidia watanzania kupata haki zaidi.... mpimeni kwa vigezo husika... TUACHE MAWAZO FINYU..


Tanzania ni MOJA.

KK



Kwakwel naomba nikubaliane na wewe na kupingana pia na wewe, nakubaliana kwamba haina maana kuanza kuona uteuzi ni mbovu sbb huyu mtu ni muslim,na kwa mtu anaye furahi mkiristo au muislam kupata uteuzi ana akili mbovu mana kama si ndugu yako huyo mtu hawez kukusaidia lolote. Mana akiwa muislam na wewe ni muislam haina maana ndo ukikutana nae njian atakupa hela,kwaiyo suala hapa tuangalie sifa zake.

Ila naomba kukupinga kua suala la boss wa usalama wa taifa kua kaka yake halina vigezo napingana na wewe maana kila mtu anajua rais hawez fanya uteuzi wowote bila kupata ushauri wa usalama wa taifa,sasa kma ktk mchakato huo wa uteuzi huyu boss wa usalama mdogo wake yupo kati wanao wania unazan huyo boss atasema nani ateuliwe?kwel jamaa CV yake imeshiba ila me naona kaka yake amechangia kumpa iyo post mdg wake
 
Kipimo cha utendaji wa mtu kiwe ndo kigezo cha uteuzi, wtz tukianza kuangalia udini au upendeleo hatutafika.
Je upendeleo umeanza leo.Mwl enzi zake alizungukwa na karibu ndugu zake k.m tulikuwa na katibu mkuu Timothy Apiyo toka Musoma, Butiku,Msuguri,Twalipo,n.k mbona hilo hatukuliona?

Tukikumbatia udini tutajikuta tunaogopa kuwapa watu madaraka wanaositahili. kipimo chetu kiwe utendaji wa mtu.
Tatizo analolipata Kikwete ni pale tu anapo shindwa kuongoza nchi kama rais, hilo limewapa wasiwasi wananchi wengi kwani kwa mtizamo wangu nadhani baadhi ya wananchi walio wengi wameanza kukosa imani na yeye.

Mimi naimani kuwa wapo wakristu wazuri na waislam wazuri ambao wanastahili kuaminiwa.Bwana Othman tumwangalie kiutendaji
hicho ndo kiwe kigezo chetu.
Swala la kuwa mdogo wa Rashid Othman, naamini kuwa hata mimi ningekuwa Rashid ningempa kipaumbele ndugu yangu kwanza kabla ya mtu yeyote mwingine ilimradi anauwezo.

Jambo tu ambalo tunaweza kumtaka Rais ni kuhakikisha kuwa hatuchagulii watu kwa misingi ya urafiki,hata kama hawana uwezo
jambo ambalo watz wameliona sana kwa bwana Kikwete kama tutakuwa wakweli.
Jambo jingine ambalo tunahitaji tulione kwake ni kulinda katiba hata kama bado ina mapungufu,
Kahinda,
Twalipo alikuwa Mtanga. Ni hilo tu. Na Apiyo Mjaluo. Lakini nadhani kwa sisi tunaotoka Mara tunajumlishwaga kama kabila moja ingawa tuna makabila 23. Ni hayo tu.
 
Katika maisha yangu nimekaa na wabongo sana na kufatilia habari za nyumbani nimeona nimeona muna matatizo ila tatizo lenu moja kubwa munapenda kuzungumza pita kiasi bila ya vitendo na kufikiria hilo jinchi lenu hata ashuke yesu basi haliendelei kwa kuzungumza upumbavu mara mbara,mara mzanzibari,mara mukiristo,mara muislamu duh aisee nyie ni noma sisi wenye asilii ya tz mpaka munatuogopesha hata kuja kutembea kwa ujinga wenu mwingi acheni upuuzi wa udini na ukabila kuweni wastaarabu na wawazi zaidi kwa kuangalia utendaji wa kazi

We huna karatasi ndo mana huwez kurudi,ila sijaona sbb ya kututusi namna iyo aise,ingawa kwel tuna judge mambo kwa kuangalia vitu visivyo kua na maana ila huwez kututusi ivyo,we endelea kubeba box huko si tunajenga nchi huku
 
UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
DIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS

Telephone: 255-22-2114512, 2116539
E-mail: press@ikulu.go.tz
Website: www.mawasilianoikulu.go.tz
Fax: 255-22-2113425




PRESIDENT'S OFFICE,
THE STATE HOUSE,
P.O. BOX 9120,
DAR ES SALAAM.
Tanzania.



TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

Rais Jakaya Mrisho Kikwete, amemteua Jaji Mohamed Chande Othman kuwa Jaji Mkuu wa Tanzania, kuanzia tarehe 28 DIsemba, 2010.

Jaji Othman anachukua nafasi ya Jaji Augustino Ramadhani anayestaafu kwa mujibu wa sheria tarehe 27 DIsemba, 2010.

Kwa sasa Jaji Othman ni Jaji wa Mahakama ya Rufaa na pia ni mtaalamu binafsi juu ya hali ya Haki za Binadamu huko Kusini mwa Sudan, hadi mwezi Agosti 2011.
Jaji Othman alizaliwa tarehe 1 Januari, 1952, ana shahada ya kwanza ya Sheria (LLB) ya Chuo Kikuu cha Dar-Es-Salaam na Shahada ya Uzamili (MA) kutoka katika Chuo Kikuu cha Webster, Geneva-Uswisi.

Amewahi kuwa Makamu wa Mwendesha Mashtaka wa Mahakama ya Rwanda huko Arusha na amewahi kushika nafasi sawa na Mwanasheria Mkuu wa Serikali huko Timor Mashariki.

Jaji Othman pia, amewahi kufanya kazi ndani na nje ya nchi katika Mashirika mbalimbali ya Kitaifa na Kimataifa kama vile Mpango wa Maendeleo wa Umoja wa Mataifa (UNDP) na Shirika la Msalaba Mwekundu.

Jaji Othman ataapishwa kesho tarehe 27 Disemba, 2010 katika viwanja vya Ikulu saa 4:00 asubuhi.

Imetolewa na Premi Kibanga,
Mwandishi wa Habari wa Rais Msaidizi
Ikulu
Dar es Salaam
26 Disemba, 2010


wanaJF,
Ninyi kweli ni great thinkers,
nimepitia thread hii na kupitia hii hapa chini. Nimese mumeniacha hoi. Double-standard for anyone to see!!keep it up!

Yesterday 07:43 PM #1
The Informer
user-offline.png

Senior Member
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
Join DateMon Jun 2010Posts61Thanks22Thanked 165 Times in 31 PostsRep Power21


Did you find this post helpful? |
icon1.png
Dk. Mwele Malecela ateuliwa Mkurugenzi Mkuu mpya wa NIMR


Rais Jakaya Kikwete amemteuwa Dk. Mwele Malecela kuwa Mkurugenzi Mkuu mpya wa National Institute for Medical Research (NIMR) iliyo chini ya Wizara ya Afya. Dk. Mwele alikuwa ni mtafiti mkuu wa NIMR na amekuwa akikaimu nafasi ya Mkurugenzi Mkuu kwa muda. Ni kijana na mwanamke wa kwanza kuiongoza NIMR. Huyu mama ni kichwa sana na anaweza sana kazi. JK huwa anafanya mapupu mengi sana kwenye uteuzi wake ila hapa kafanya kweli.

Source: channel ten news bulletin leo 7pm​
 
Uteuzi huu una harafu kali ya udini....alipomteua justice Ramadhan alijua ni mzee na hata kaa sana......sasa huyu ni kijana atakaa miaka 7..........au kwa lugha nyingine atamzidi JK kwa miaka miwili................................

lengo ni kuhakikisha mapingamizi dhidi ya sheria mpya ya mahakama ya kadhi yanatupiliwa mbali chini ya uongozi wa Chief Justice Othmani.............again JK is simply disgusting..............................
yaani mlitaka awe mkatoliki?
 
Wakristu badala ya kupiga kelele you better brace for impact! OIC na Kadhi hazikwepeki kwa vyovyote vile. Anzeni kuzoea. Ila kinachouma zaidi ni kuwa Top four za Tanzania (Bila kugusa Zanzibar) yupo mtu mmoja mkristu anayeweza kukaimu urais (speaker ana makinda). Usalama wa Taifa (Muislam), Wizara ya mambo ya ndani (usalam ni Mwislam), Mahakama (Mwislam), Urais (Mwislam). Kwa nini JK hana imani na Wakristu kwenye mambo ya Usalama?
nyerere alisema tutizame utendaji wake tusiangalie udini wake.
 
Nonda,

Hawako hapa kuficha double standards wako kazini kuchafua kila abdul...ndio JF
 
shida kubwa hapa we rutashubanuyma ni udini wako. pale viongozi wako waliposema huyu ni chaguo la mungu uliwajibu lolote.? uteuzi huo ni mzuri chuki zako si za upendo ni chuki mbaya kabisa.
 
Back
Top Bottom