Nimenukuu kutoka mtandao wa -----------forum: "Taarifa zilizotufikia kutoka vyanzo vya kuaminika ndani ya Chadema zinasema,Jaji Robert Makaramba ndiye aliyeandaa kesi ya Zitto Kabwe dhidi ya baraza la wadhamini na katibu mkuu wa Chadema.Hayo yalipatikana katika mawasiliano yaliyonaswa kati ya wakili Albart Msando anayemtetea Zitto na Jaji Makaramba.kwa mujibu wa taarifa hiyo hata usikilizwaji wa kesi hii umekuwa wa kasi kutokana na hatua hiyo ya Jaji kuwa mshiriki wa mdai na serikali kuwa nyuma ya kesi hiyo" TAFAKARINI
Pole sana. Ila mliposhinda kesi zenu mlipongeza na kusifi uwezo wa mahakama. Au umesahau ule usemi kuwa Sheria ni Msumeno? Au ulikuwa unaimba tu shuleni?Tanzania haina mahakama..ni upuuzi mtupu.m
Kumbe zinatoka Chadema propaganda,ebu tuondelee huu upuuziNimenukuu kutoka mtandao wa -----------forum: "Taarifa zilizotufikia kutoka vyanzo vya kuaminika ndani ya Chadema zinasema,Jaji Robert Makaramba ndiye aliyeandaa kesi ya Zitto Kabwe dhidi ya baraza la wadhamini na katibu mkuu wa Chadema.Hayo yalipatikana katika mawasiliano yaliyonaswa kati ya wakili Albart Msando anayemtetea Zitto na Jaji Makaramba.kwa mujibu wa taarifa hiyo hata usikilizwaji wa kesi hii umekuwa wa kasi kutokana na hatua hiyo ya Jaji kuwa mshiriki wa mdai na serikali kuwa nyuma ya kesi hiyo" TAFAKARINI
alivyoshinda lema Arusha mkasema jaji ametenda Haki mkishindwa Jaji amependelea,Naona mmeanza kurusharusha miguu soon mtakata roho.
alivyoshinda lema Arusha mkasema jaji ametenda Haki mkishindwa Jaji amependelea,Naona mmeanza kurusharusha miguu soon mtakata roho.
moderator potezea hii post kumtuhumu jaji kwa ushahidi hewa akilivalia njuga kwa kushushiwa hadhi jamii forum inaweza pata matatizo
Tanzania haina mahakama..ni upuuzi mtupu.m
Sijui kwanini wanakuwa na wivu---- forum do nini mod acheni ujinga kwani mwana.halisiiforum ni tusi acheni ushamba iv Google wakazuia neno Facebook au jamiiforuns au Twitter wakazuia Facebook acheni wifu wakijinga .