Eddo Sambai
JF-Expert Member
- Aug 1, 2013
- 2,377
- 1,861
moderator potezea hii post kumtuhumu jaji kwa ushahidi hewa akilivalia njuga kwa kushushiwa hadhi jamii forum inaweza pata matatizo
Acha uwoga wewe,Kama mnategemea Buku7 ili muishi hapa mjini nakushauri utafute ajira ingine au njoo kwangu nikupe ajira maana msichana wangu wa kazi amefaulu na anaendelea na masomo yake ya sekondari.
Watu wazima mnashinda jf kwa kutegemea ujira wa buku7?