Jaji Manento: Rais apunguziwe mamlaka uteuzi wa Majaji

Angetakiwa awe anayashauri hayo wakati akiwa jaji.

Anyway wazo zuri.

Mwisho angetakiwa kusema kuwa tume ya haki jinai ipo kupumbaza watanzania na kuchelewesha katiba mpya

serekali ya ajabu sana hiii
Sasa unataka atoe mawazo yake kama vile ni yako, we toa ya kwako
 
Tunaomba hiyo ripoti tuipitie na sisi
 
kiukweli, wengi walioteuliwa kwa mamlaka ya moja kwa moja ya rais, ni vilaza sana. wengine anawatoa huko kwenye waalimu wa sheria ambao hawana uzoefu wowote kupractice sheria, wakija mahakamani wanatusumbua kweli kwasababu hawana uelewa wa practice, wanajua theory tu. kuna baadhi ya majaji tukiwataja hapa hadi wanatia huruma wakati nje ya ujaji kwenye theory huko walikuwa vizuri sana. ila mahakamani hadi wanasaidiwa na makarani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…