Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni mtumishi wa maabara?Corona imekatili maisha ya mja wa mnyeezi mngu.
Kwa hiyo kwetu imepunguza kasi na nchi zingine inaendelea kutembeza moto?Acha nikikumbuka April - May ilipukutisha watu balaa.
Ondoa alama ya kuulizaWewe ni mtumishi wa maabara?
Kwetu inatandika kimya kimya!!Kwa hiyo kwetu imepunguza kasi na nchi zingine inaendelea kutembeza moto?
Mzee ana kasri lake Rombo la maana. Pia alikua mtu poa sana asiye na makuu. Nimewahi kukaa naye kwa muda wa siku nzima katika moja ya mashamba yake ya ndizi huko ushagoo kula mbuzi na kunywa Mbege. Mungu amrehemu. Wacha tusubirie siku ya mazishi tumzike mzee wetu.Kama hakujenga na mjane alikuwa maza hausi soon watahamishwa kutoka nyumba za serikali waje tubanane nao uswaz
Unapata faida gani kupotosha umma?Corona imekatili maisha ya mja wa mnyeezi mngu.
Kuna watu wamejipanga kujibu ikiwa depotivo la Corona itahusishwa.
Unapata faida gani kupotosha umma?
Tunaisihi sana corona inapolia denge ikimkwida isimwachie mpaka kimba limeshuka.Apumzike kwa amani mh. Jaji.
Ila kwa hakika angepata nafasi, waraka huu ulikuwa unamhusu:
Kutoka kwa wahanga watarajiwa wa Covid-19
Mmoja mmoja hadi pale hodi itakapomfikia malangoni kwake.
Ndiye ulipima sample za huyo profesaOndoa alama ya kuuliza