johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Kamishna wa Tume ya uchaguzi NEC Mhe. Jaji Mihayo amewataka Wasimamizi wa Uchaguzi kuwashirikisha Viongozi wa Vyama vya Siasa pale inapostahili kufanya hivyo ili uchaguzi uweze kuwa Huru na Haki.
Kadhalika Jaji Mihayo amewaasa wasimamizi hao kutopokea maagizo kutoka kwa Viongozi wa Serikali yatakayopelekea kuvuruga Uchaguzi.
Jaji Mihayo alikuwa mkoani Geita kutoa semina kwa Wasimamizi wa Uchaguzi Mkuu wa October, 2020.
Chanzo: ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Kadhalika Jaji Mihayo amewaasa wasimamizi hao kutopokea maagizo kutoka kwa Viongozi wa Serikali yatakayopelekea kuvuruga Uchaguzi.
Jaji Mihayo alikuwa mkoani Geita kutoa semina kwa Wasimamizi wa Uchaguzi Mkuu wa October, 2020.
Chanzo: ITV habari
Maendeleo hayana vyama!