Regia Mtema
R I P
- Nov 21, 2009
- 2,970
- 866
Huyu ndiye kiongozi tunayemtaka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bibi Ntilie,
Hata mimi nafahamu angalau kwa kidogo kwamba kama kuna watumishi watatu WASAFI nchini basi jaji AR. atakuwepo ... ninalokataa ni hili hapa.
1. Hilo jengo liliokuwa linajendwa ni la Jaji Mkuu wa Tanzania sio la Jaji Augustino Ramadhani.
2. Waliokadiria (budget) kwamba majengo hayo mawili la Jaji na la Mahakama ni hao hao.
3. Jaji mkuu anastaafu karibuni kwa tetesi za hapa jamvini... mwaka huu kama sikosei... hivyo hakuna masilahi kwake kujenga helo hekalu.
----> kilichofanyika ni changes of priority lakini majengo yote mawili yatajengwa... nothing special to me.
Karabati/ujenzi wa nyumba za serikali zilikuwa zinafanywa na Mkurugenzi wa Utumishi na Utawala (D.A.P) wa wizara mama ya idara husika. Hakupewa mtu hela mkononi akajenge paa mpya ya nyumba anayoishi. Na si vibaya, maana asiye mwongofu angeweza ziba nyufa za nyumba za serikali na kubakiza cha juu kuezekea nyumba ya mke mdogo; ulikuwa utaratibu mzuri.
Jaji Ramadhani alipewaje hela mkononi?
Jaji Ramadhani alipataje uhuru wa kujiamulia nyumba ipi aijenge kwa hela yetu?
Jaji Ramadhani atakapostaafu na kutoka kwenye nyumba hiyo iliyobaki mbovu atatoa hela za kumkarabatia nyumba mrithi wake? Maana sisi tulishatoa kodi yetu kukarabati nyumba ya Jaji Mkuu, sio ya Ramadhani au ya hero wa Ramadhani; ya Jaji Mkuu. Ramadhani atatulipa hela yetu?
Jaji Mkuu ni taasisi huru na una uwezo wa kuamua fedha gani ziende wapi.. Ni kama Spika au Rais katika mihimili yao ..
Nani amekuambia anaishi kwenye nyumba mbovu; ..
Nyie hamkosi cha kusema, wewe unayetoa maoni yako umesaidia nini.U just have big stinky mouth.
Wengi kumbe hamumjui huyu Jaji Mkuu. Huyu ni mwanasiasa. Hapa anacheza politics kwa sababu ana malengo yake ya kisiasa baada ya kustaafu mwisho wa mwaka. Sintashangaa mweiz Aprili akitoa hukumu ya kuruhusu wagombea binafsi. He is from Zanzibar. One time in the past aliwahi kugombea Urais kama sikosei.
Wengi kumbe hamumjui huyu Jaji Mkuu. Huyu ni mwanasiasa. Hapa anacheza politics kwa sababu ana malengo yake ya kisiasa baada ya kustaafu mwisho wa mwaka. Sintashangaa mweiz Aprili akitoa hukumu ya kuruhusu wagombea binafsi. He is from Zanzibar. One time in the past aliwahi kugombea Urais kama sikosei.
Karabati/ujenzi wa nyumba za serikali zilikuwa zinafanywa na Mkurugenzi wa Utumishi na Utawala (D.A.P) wa wizara mama ya idara husika. Hakupewa mtu hela mkononi akajenge paa mpya ya nyumba anayoishi. Na si vibaya, maana asiye mwongofu angeweza ziba nyufa za nyumba za serikali na kubakiza cha juu kuezekea nyumba ya mke mdogo; ulikuwa utaratibu mzuri.
Jaji Ramadhani alipewaje hela mkononi?
Jaji Ramadhani alipataje uhuru wa kujiamulia nyumba ipi aijenge kwa hela yetu?
Jaji Ramadhani atakapostaafu na kutoka kwenye nyumba hiyo iliyobaki mbovu atatoa hela za kumkarabatia nyumba mrithi wake? Maana sisi tulishatoa kodi yetu kukarabati nyumba ya Jaji Mkuu, sio ya Ramadhani au ya hero wa Ramadhani; ya Jaji Mkuu. Ramadhani atatulipa hela yetu?