Jaji Mkuu alijumuika Maria Space Dec.20

Jaji Mkuu alijumuika Maria Space Dec.20

amina. Mungu amemweka kama hazina

Kuna hatari kuwa hatuna spare. Muhimu pia kujiandaa kwenye hilo. Angalia kulivyopoa baada ya Mbowe.

Udhwaifu huu (kama asemavyo Prof. Assad) unaongeza vulnerability kwa makamanda wetu katika mapambano.
 
Iko recorded katika hoja zilizoongelewa katika Maria Space Dec. 20.

Katika maelfu ya wajumbe ya waliokuwapo, Mh. Jaji Mkuu naye alikuwa katika mahudhurio.

Kwamba katika maazimio, umuhimu wa kuwahusisha wananchi kwenye kupata tume huru ya uchaguzi na katiba mpya ulizingatiwa mno:

"Kwa uhakika ujumbe utakuwa umefika kote kunako husika (ikiwapendeza) kwa mustakabala mwema wa taifa hili."

----
Source:

Jaji Mkuu aliambatana na Jaji Siyani huko spesi
 
Back
Top Bottom