MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
Jopo la masuala ya uteuzi wa majaji limehitimisha kazi yake, baada ya baadhi ya Wakenya wenye sifa mbali mbali kujitokeza na kila mmoja kujieleleza jinsi angetumikia taifa kama jaji mkuu. Hatimaye amepatikana mmoja mwenye sifa zinazokidhi mahitaji na ameteuliwa anasubiri kutawazwa.
Kenya tumepiga hatua sana, zamani mambo kama haya tuliyaskia Ulaya lakini leo hii yapo hapa kwetu yanatendeka. Tulizoea kuona rais anachagua na kumtawaza jaji mkuu kama atakavyo wakati wowote na bila kumjali nani wala nini. Hongera jaji mteule, hongera Wakenya wenzangu tuliovumilia mapigo ya kila aina miaka ya hapo tisini tukipigania haya ya leo kila mahali.
Hatutapata haki kwa asilimia 100% lakini hatua hizi ni chanya
========================
Judge David Maraga has been nominated as the new Chief Justice of Kenya.
Maraga, 65, will take over from Willy Mutunga, who retired in June 2016 if approved by President Uhuru Kenyatta and the National Assembly.
The Bible and the law: Nominated Chief Justice David Maraga in profile
The Judicial Service Commission announced on Thursday that the CJ will assume office with immediate effect.
The Kisumu-based judge was the third to be interviewed for the position of the next Chief Justice.
He was among 11 judges shortlisted by the Judicial Service Commission.
During the interviews, Maraga found himself at pains to demonstrate his expertise in applying the law inconflicting suits.
Attorney General Githu Muigai, one of the panelists, put him to the test, seeking to know how he would pass judgment in suits where two or several laws were at conflict.
He used a case study of a surrogate mother who decided not to give a child to its separated biological parents, who were both seeking custody.
Maraga admitted that the question was tricky but answered: "In this scenario, the child's interest is paramount."
Judge David Maraga nominated Chief Justice
Kenya tumepiga hatua sana, zamani mambo kama haya tuliyaskia Ulaya lakini leo hii yapo hapa kwetu yanatendeka. Tulizoea kuona rais anachagua na kumtawaza jaji mkuu kama atakavyo wakati wowote na bila kumjali nani wala nini. Hongera jaji mteule, hongera Wakenya wenzangu tuliovumilia mapigo ya kila aina miaka ya hapo tisini tukipigania haya ya leo kila mahali.
Hatutapata haki kwa asilimia 100% lakini hatua hizi ni chanya
========================
Judge David Maraga has been nominated as the new Chief Justice of Kenya.
Maraga, 65, will take over from Willy Mutunga, who retired in June 2016 if approved by President Uhuru Kenyatta and the National Assembly.
The Bible and the law: Nominated Chief Justice David Maraga in profile
The Judicial Service Commission announced on Thursday that the CJ will assume office with immediate effect.
The Kisumu-based judge was the third to be interviewed for the position of the next Chief Justice.
He was among 11 judges shortlisted by the Judicial Service Commission.
During the interviews, Maraga found himself at pains to demonstrate his expertise in applying the law inconflicting suits.
Attorney General Githu Muigai, one of the panelists, put him to the test, seeking to know how he would pass judgment in suits where two or several laws were at conflict.
He used a case study of a surrogate mother who decided not to give a child to its separated biological parents, who were both seeking custody.
Maraga admitted that the question was tricky but answered: "In this scenario, the child's interest is paramount."
Judge David Maraga nominated Chief Justice