Jaji mkuu ateuliwa Kenya baada ya mchujo balaa

Jaji mkuu ateuliwa Kenya baada ya mchujo balaa

Hahaha wasimgomee tu 2017 na kuanza kumtaka ajiuzuru kwa sababu tu matokeo ya uchaguzi hayakwenda jinsi watu fulani wanavyotaka!

Hata hivyo hongera zake ni jambo jema kufaulu Mtihani, ingawaje ameniboa kuvaa wig kichwani nilifikiri yule aliyepita aliondoa huu ujinga!

Nyie makada wa CCM nafikiri mna la kujifunza kutoka Kenya. Umuhumu wa uhuru wa taasisi hapo kwenu Tanzania, usitoe hongera tu kwa Kenya ilhali kwenu mnabana.
 
Nyie makada wa CCM nafikiri mna la kujifunza kutoka Kenya. Umuhumu wa uhuru wa taasisi hapo kwenu Tanzania, usitoe hongera tu kwa Kenya ilhali kwenu mnabana.


Kenya siyo TZ usichanganye maembe na machungwa, kuna tofauti kubwa sana ya utamaduni, mentality hata mfumo wa maisha!
Kwa mfano Kenya sasa hivi Raisi Uhuru Kenya analaumiwa kwa kutowataja Mashujaa wa Kijaluo na analaumiwa na Wajaluo jambo ambalo kwetu TZ haliwezekani hauwezi hata kuimagine kwamba kundi fulani liseme shujaa wetu anabaguliwa!

Hivyo hiyo ni tofauti kubwa sana maana yake ni kwamba linalowezekana Kenya siyo lzm liwezekane kwetu TZ na kinyume chake!
 
Kenya siyo TZ usichanganye maembe na machungwa, kuna tofauti kubwa sana ya utamaduni, mentality hata mfumo wa maisha!
Kwa mfano Kenya sasa hivi Raisi Uhuru Kenya analaumiwa kwa kutowataja Mashujaa wa Kijaluo na analaumiwa na Wajaluo jambo ambalo kwetu TZ haliwezekani hauwezi hata kuimagine kwamba kundi fulani liseme shujaa wetu anabaguliwa!

Hivyo hiyo ni tofauti kubwa sana maana yake ni kwamba linalowezekana Kenya siyo lzm liwezekane kwetu TZ na kinyume chake!

Hamna kitu, ilmradi unatumia mifumo ya siasa ya wazungu kama bunge na katiba na upigaji kura, lazima ukamilishe hadi mwisho. Leo hii unatoa hongera kwa mfumo wa Kenya wa kuchagua jaji mkuu halafu kwenu unataka uendelee kubana.
 
Hamna kitu, ilmradi unatumia mifumo ya siasa ya wazungu kama bunge na katiba na upigaji kura, lazima ukamilishe hadi mwisho. Leo hii unatoa hongera kwa mfumo wa Kenya wa kuchagua jaji mkuu halafu kwenu unataka uendelee kubana.


Wakati haujafika wacha basi niseme hivyo si unajua tena Kenya iko mbele ya TZ kwa miaka mingi tu hivyo hata sisi tutawafuata Kenya siku moja usijali, sasa bado tunakimbizana na matatizo madogo madogo kama chakula, afya, maji, umeme n.k. !
 
Watanzania sisi ni wajiga sana ata katiba imetushinda mpaka leo tunatumia katiba ya kikoloni eti imefanyiwa mabadiliko ya kuwalinda viongonzi ata wakoloni wakifufuka watatuona sisi ni wajinga kwendelea kutumia katiba yao kwa hili la katiba namlaumu sana Jakaya katiba ya jopo la warioba ingewanyoosha viongonzi katiba ya Tanzania inampa mamlaka rais utafikiri Mungu ngoja tusubilie wakoloni waludi wanaweza labda kutubadilishia katiba
 
Back
Top Bottom