Jaji mkuu Maraga apokewa kishujaa na kwa shangwe Tanzania


Mapumbafu yapo mengi sana ,
Wataiga Na kuitumia hukumu ya cj Maraga km reference, hata km hakuna ushahidi kutosha kurudia uchaguzi.
 
Wakenya wa Jf mnapenda habari za kusifiana na kushangiliwa Tu.

Tupeni na updates za maaandamano ya Odinga wasee.

Au ndiyo uzalendo?
kuna theorie moja ya maendeleo inasema nchi au mtu maskini lazims atajilinhanisha na mwenzie mbona flani kafanya hivi
 

Namuona Jaji moja anawaza jinsi atakavyo soma hukumu ya kutengua uchaguzi 2020.
Wa Africa kwa copy and paste hawako nyuma.
 
Hata Diamond anashangiliwa akija Nairobi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…