Jaji Mkuu: Matumizi ya Akili Bandia (Artificial Intelligence) Mahakamani yataharakisha utoaji wa haki kwa wakati

Jaji Mkuu: Matumizi ya Akili Bandia (Artificial Intelligence) Mahakamani yataharakisha utoaji wa haki kwa wakati

zandrano

JF-Expert Member
Joined
Jan 24, 2017
Posts
7,893
Reaction score
8,816
Jaji Mkuu Prof. Ibrahim Hamis Juma ameyasema hayo leo hii trh 1/2/2023 katika maadhimisho ya wiki ya sheria.
amesema Serikali ilitoa fedha za kununua "software" ambayo imesha nunuliwa na sasa zitafungwa mahakamani ili kutafsiri kutoka kimombo kwenda kiswahili, hili ni jambo jema kwani litrahisisha kupatikana kwa haki za wananchi kwa haraka na wakati.

Ombi letu sisi waanaanchi; tunaomba vifaa hivyo vifungwe kwenye mahakama za chini sio mahakama za juu tu, tunaomba vifaa hivyo vianze kutumiwa kwenye mahakama za wilaya na mikoa.
 
Nyaya za server zitakuwa zinakatwa kila siku ilimradi watu watoe hukumu za milungula
 
Akili bandia Ni artificial intelligence nilidhani matumizi ya mawakili bandia
 
Jaji Mkuu Prof. Ibrahim Hamis Juma ameyasema hayo leo hii trh 1/2/2023 katika maadhimisho ya wiki ya sheria.
amesema Serikali ilitoa fedha za kununua "software" ambayo imesha nunuliwa na sasa zitafungwa mahakamani ili kutafsiri kutoka kimombo kwenda kiswahili, hili ni jambo jema kwani litrahisisha kupatikana kwa haki za wananchi kwa haraka na wakati.

Ombi letu sisi waanaanchi; tunaomba vifaa hivyo vifungwe kwenye mahakama za chini sio mahakama za juu tu, tunaomba vifaa hivyo vianze kutumiwa kwenye mahakama za wilaya na mikoa.
Huu ni upumbavu mkubwa sana yaani majaji wenye English Utopolo kabisa wanashindwa kuandika hukumu za English Kwa wakati wanashindwa kutoa hukumu Kwa kiswahili huu ni ushetani tunahitaji vifaa vya kutafsiri kiingereza kwenda kwenye kiswahili.

Mashauri ya mtanzania Kwa mtanzania ni aibu sana.

Huu ni utumwa kabisa, ushamba gani huu.
 
Kiswahili chake sasa ni ile kiswahili ya kikuyu ya kenya.
 
Nani atakata?
Na kwanini uhisi zitakatwa?
Huna Imani na mahakama zetu tukufu?

Be careful mdomo uliponza kichwa
Kila mabadiliko huleta hofu kwa waliozoea mambo fulani Fulani,na juhudi za kukwamisha mabadiliko hufanyika,angalia tulipoingia kutumia mashine za EFD wafanyabishara walifanyaje?angalia serikali ilipoanza kutumia POS nini kinatokea hadi leo,angalia wenye mabasi walipoambiwa waanze kutumia mashine kukatia tiketi walifanya nini na mpaka sasa wangapi wanacomply ndio utajua kwanini nimesema hivyo.

Halafu hii ni JF jenga hoja zako habari za be careful peleka Facebook huko.
 
Kila mabadiliko huleta hofu kwa waliozoea mambo fulani Fulani,na juhudi za kukwamisha mabadiliko hufanyika,angalia tulipoingia kutumia mashine za EFD wafanyabishara walifanyaje?angalia serikali ilipoanza kutumia POS nini kinatokea hadi leo,angalia wenye mabasi walipoambiwa waanze kutumia mashine kukatia tiketi walifanya nini na mpaka sasa wangapi wanacomply ndio utajua kwanini nimesema hivyo.

Halafu hii ni JF jenga hoja zako habari za be careful peleka Facebook huko.
Sawa mkuu,ila Facebook ni mtandao mkubwa kuliko jamiiforum
 
Kwann hizo sheria na vitabu havikuandikwa kwa kiswahili tangu hapo awali?
hilo swali linapswa lijibiwe na waziri wa katiba na sheria.

Hata hivyo Wizara ya Sheria na Katiba inapaswa isimamie kwa karibu zoezi hili la ufungaji wa hivi vifaa katika mahakama zote na wahahikishe kweli zinaanza kutumiwa haswa mahakama za wilaya na mikoa ambapo ndipo wananchi wengi wanapo anzia kutafuta haki zao
 
Serikali Inapigwa Sana Vingine Vinanunuliwa Hata Kama Havitafanya Kazi Tanzania
 
Kiswahili chake sasa ni ile kiswahili ya kikuyu ya kenya.
bora kuliko sisi tulio wengi hatuambulii chochote kwenye kimombo.

sasa tuone utekelezaji sio maneno matupu.
 
kama kweli mahakama inataka ionekane kuwa imepiga hatua katika suala la TEHAMA basi ni kuhakikisha kuwa zoezi la kufunga au kuweka software hii ya akili bandia kwenye mahakama zote za wilaya na mikoa.
 
Back
Top Bottom