Jaji Mkuu Mstaafu, Chande Othman amewataka majaji wa Mahakama Kuu kumaliza haraka kesi wanazopangiwa, ili kuondoa wasiwasi kwa jamii

Jaji Mkuu Mstaafu, Chande Othman amewataka majaji wa Mahakama Kuu kumaliza haraka kesi wanazopangiwa, ili kuondoa wasiwasi kwa jamii

Lady Whistledown

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2021
Posts
1,147
Reaction score
2,008
Jaji Mkuu mstaafu, Chande Othman amewataka majaji wa Mahakama Kuu kumaliza haraka kesi wanazopangiwa, ili kuondoa wasiwasi kwa jamii na wao kujiweka huru.

Amesema ucheleweshaji wa kesi zikiwamo zenye mvuto huku akiitolea mfano kesi ya wabunge- Halima Mdee na wenzake 18 wanaopinga kuvuliwa uanachama wa Chadema, mbali na kuwapa wasiwasi wananchi, pia zinatoa nafasi kwa vyombo vya habari kuandika mengi.

Alitoa rai hiyo juzi wakati wa ufunguzi wa mafunzo elekezi ya majaji 22 wapya wa Mahakama Kuu ya Tanzania na Zanzibar inayofanyika Chuo cha Uongozi wa Mahakama Lushoto (IJA).

Alisema kutokana na muundo wa Mahakama, jaji ndiye anayejipangia ratiba ya usikilizaji wa mashauri aliyopangiwa, kwa hivyo hana sababu ya kuchelewesha utoaji wa hukumu na kuwapa nakala ya hukumu walalamikaji ili kama hawajaridhika wakate rufaa.

“Jambo la msingi ni kuwa kila jaji wa Mahakama Kuu anajiendesha mwenywe kwa mashauri aliyopangiwa na siyo mawakili au wenye mashauri,” alisema Jaji Chande.

Alisisitiza kitu ambacho kinaweza kuwaacha huru majaji ni kutoa hukumu kwa haraka katika kesi au mashauri yenye mvuto ikiwamo kesi ya wabunge 19.

“Kesi yenye mvuto kwa jamii kama ya wabunge 19 ikisikilizwa haraka, hukumu ikatolewa na nakala ya hukumu ikaharakishwa, itatoa nafasi kwa upande ambao haujaridhika kukata rufaa,” alisema.

“Hii inaondoa wasiwasi kwa wananchi na presha kwa jaji aliyepangiwa kuisikiliza inaondoka,” aliongeza Jaji Chande.

Chanzo: Mwananchi
 
Mahakama na sheria hazipo kwa ajili ya kutoa haki. Madhumuni yake, kwa maoni yangu, ni kuhakikisha nchi inatawalika.
 
Huyo Jaji mkuu mstaafu anafurahisha genge. Mahakama zinafanya kazi kwa kufuata maagizo ya walioko madarakani hasa inapokuwa kesi ya kisiasa inayohusu wapinzani.
 
Mtutuwandei said:
Mahakama na sheria hazipo kwa ajili ya kutoa haki. Madhumuni yake, kwa maoni yangu, ni kuhakikisha nchi inatawalika.
Kwa bahati mbaya huko Mahakama Kuu hatuna majaji huru. Majaji wetu wanawajibika kwa yule anayewateua, mwenyekiti wa CCM.

Ni sawa na jeshi la polisi na vyombo vyote vya dola hapa nchini, majaji wetu jukumu lao kuu ni kulinda haki za chama tawala, CCM!

Kilby said:
Jaji akiondolewa kwenye kifungo cha kumtegemea aliyemteua uhuru kamili utaanzia hapo.

Hapo ndipo uoga wa Katiba Mpya unapoanzia, Majaji wetu kuwa na uhuru wa kutoa haki bila kusubiri Maagizo toka juu...kwa mteuzi!
 
Jaji Mkuu mstaafu, Chande Othman amewataka majaji wa Mahakama Kuu kumaliza haraka kesi wanazopangiwa, ili kuondoa wasiwasi kwa jamii na wao kujiweka huru.

Amesema ucheleweshaji wa kesi zikiwamo zenye mvuto huku akiitolea mfano kesi ya wabunge- Halima Mdee na wenzake 18 wanaopinga kuvuliwa uanachama wa Chadema, mbali na kuwapa wasiwasi wananchi, pia zinatoa nafasi kwa vyombo vya habari kuandika mengi.

Alitoa rai hiyo juzi wakati wa ufunguzi wa mafunzo elekezi ya majaji 22 wapya wa Mahakama Kuu ya Tanzania na Zanzibar inayofanyika Chuo cha Uongozi wa Mahakama Lushoto (IJA).

Alisema kutokana na muundo wa Mahakama, jaji ndiye anayejipangia ratiba ya usikilizaji wa mashauri aliyopangiwa, kwa hivyo hana sababu ya kuchelewesha utoaji wa hukumu na kuwapa nakala ya hukumu walalamikaji ili kama hawajaridhika wakate rufaa.

“Jambo la msingi ni kuwa kila jaji wa Mahakama Kuu anajiendesha mwenywe kwa mashauri aliyopangiwa na siyo mawakili au wenye mashauri,” alisema Jaji Chande.

Alisisitiza kitu ambacho kinaweza kuwaacha huru majaji ni kutoa hukumu kwa haraka katika kesi au mashauri yenye mvuto ikiwamo kesi ya wabunge 19.

“Kesi yenye mvuto kwa jamii kama ya wabunge 19 ikisikilizwa haraka, hukumu ikatolewa na nakala ya hukumu ikaharakishwa, itatoa nafasi kwa upande ambao haujaridhika kukata rufaa,” alisema.

“Hii inaondoa wasiwasi kwa wananchi na presha kwa jaji aliyepangiwa kuisikiliza inaondoka,” aliongeza Jaji Chande.

Chanzo: Mwananchi
Wamalize kwanza ya covid 19 maana wazolipwa ni wizi mtupu.
 
Jaji Mkuu mstaafu, Chande Othman amewataka majaji wa Mahakama Kuu kumaliza haraka kesi wanazopangiwa, ili kuondoa wasiwasi kwa jamii na wao kujiweka huru.

Amesema ucheleweshaji wa kesi zikiwamo zenye mvuto huku akiitolea mfano kesi ya wabunge- Halima Mdee na wenzake 18 wanaopinga kuvuliwa uanachama wa Chadema, mbali na kuwapa wasiwasi wananchi, pia zinatoa nafasi kwa vyombo vya habari kuandika mengi.

Alitoa rai hiyo juzi wakati wa ufunguzi wa mafunzo elekezi ya majaji 22 wapya wa Mahakama Kuu ya Tanzania na Zanzibar inayofanyika Chuo cha Uongozi wa Mahakama Lushoto (IJA).

Alisema kutokana na muundo wa Mahakama, jaji ndiye anayejipangia ratiba ya usikilizaji wa mashauri aliyopangiwa, kwa hivyo hana sababu ya kuchelewesha utoaji wa hukumu na kuwapa nakala ya hukumu walalamikaji ili kama hawajaridhika wakate rufaa.

“Jambo la msingi ni kuwa kila jaji wa Mahakama Kuu anajiendesha mwenywe kwa mashauri aliyopangiwa na siyo mawakili au wenye mashauri,” alisema Jaji Chande.

Alisisitiza kitu ambacho kinaweza kuwaacha huru majaji ni kutoa hukumu kwa haraka katika kesi au mashauri yenye mvuto ikiwamo kesi ya wabunge 19.

“Kesi yenye mvuto kwa jamii kama ya wabunge 19 ikisikilizwa haraka, hukumu ikatolewa na nakala ya hukumu ikaharakishwa, itatoa nafasi kwa upande ambao haujaridhika kukata rufaa,” alisema.

“Hii inaondoa wasiwasi kwa wananchi na presha kwa jaji aliyepangiwa kuisikiliza inaondoka,” aliongeza Jaji Chande.

Chanzo: Mwananchi
TATIZO LINAANZIA HAPO. MANENO MANENO MANENO TU! You were the CJ, you ought to have put into place mechanisms to speed up cases; for example what were to be the consequences for judges of not meeting the set deadlines
haya mapambio wameshayazoea.....
 
Sasa hivi majaji hawatoi haki, wanaangalia vimakosa vidogo vidogo, wanalalia hapo. Njia pekee ya kuwapima sio mashauri wanayomaliza tu, je wanamaliza kesi on merit kwa maana ya kwamba kama ni jambo lililompeleka mwananchi ndilo linaamuliwa? Muda kama huu ndio muda wa Jaji kujiibulia visababu vya kisheria ili kufuta mwenendo wa shauri na kuagiza lianze upya, anajua mwaka umekaribia kuisha hajafanya kitu.

Namshauri Jaji Mkuu aanze kuwahesabia kesi zinazoisha on merit, sio technicalties. Kama ni ya shamba, yale maamuzi yanayosema shamba la nani ndio yaingie katika hesabu ya kesi alizopangiwa

Kama ni murder hivyohivyo.

Zile kesi za vipengele vya kiufundi zisihesabiwe, maana hizo ndio wanatumia kutesa wananchi.
 
Sasa hivi majaji hawatoi haki, wanaangalia vimakosa vidogo vidogo, wanalalia hapo. Njia pekee ya kuwapima sio mashauri wanayomaliza tu, je wanamaliza kesi on merit kwa maana ya kwamba kama ni jambo lililompeleka mwananchi ndilo linaamuliwa? Muda kama huu ndio muda wa Jaji kujiibulia visababu vya kisheria ili kufuta mwenendo wa shauri na kuagiza lianze upya, anajua mwaka umekaribia kuisha hajafanya kitu.

Namshauri Jaji Mkuu aanze kuwahesabia kesi zinazoisha on merit, sio technicalties. Kama ni ya shamba, yale maamuzi yanayosema shamba la nani ndio yaingie katika hesabu ya kesi alizopangiwa

Kama ni murder hivyohivyo.

Zile kesi za vipengele vya kiufundi zisihesabiwe, maana hizo ndio wanatumia kutesa wananchi.
GT!!!!!!?

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Kesi ni biashara huna pesa itakula tarehe hadi ujiongeze, yeye anaongea ngonjera kama CAG yanatokea kushoto tu
 
Hawa wazee wakisha staafu wanaanza kuongea mambo meengi.

Wasitupotezee muda.

Kama hawawezi fanya lolote wakiwa na hizo nafasi wasitusumbue na maneno yao wakishastaafu.
 
Hawa wazee wakisha staafu wanaanza kuongea mambo meengi.

Wasitupotezee muda.

Kama hawawezi fanya lolote wakiwa na hizo nafasi wasitusumbue na maneno yao wakishastaafu.
Tukiwaambia viongozi wa CCM huwa wanapata akili wakitoka madarakani muwe mnaelewa.
 
Nina kesi dhidi ya Jeshi la Polisi kuwa walinikamata na kunishikilia isivyo halali (false imprisonment), nilifungua mwezi Aprili 2019, ikarushwa rushwa wee na imekuja kusikilizwa mwaka huu, hukumu itasomwa tarehe 07 Oktoba 2022.
 
Back
Top Bottom