Jaji Mkuu Mstaafu, Chande Othman amewataka majaji wa Mahakama Kuu kumaliza haraka kesi wanazopangiwa, ili kuondoa wasiwasi kwa jamii

Jaji Mkuu Mstaafu, Chande Othman amewataka majaji wa Mahakama Kuu kumaliza haraka kesi wanazopangiwa, ili kuondoa wasiwasi kwa jamii

Mahakama na sheria hazipo kwa ajili ya kutoa haki. Madhumuni yake, kwa maoni yangu, ni kuhakikisha nchi inatawalika.
Naam na ndipo utaona umuhimu wa kutawaliwa na Sheria iliyotoka kwa muumba na sio hizi za kutungwa na wanadamu kwa matamanio ya nafsi zao
 
Back
Top Bottom