Jaji Mkuu wa Kenya, David Maraga amemtuhum IGP Joseph Boinett kwa kupuuzia usalama wa majaji

Jaji Mkuu wa Kenya, David Maraga amemtuhum IGP Joseph Boinett kwa kupuuzia usalama wa majaji

View attachment 591693

Jaji Mkuu wa Kenya, David Maraga amemtuhumu Inspekta Jenerali wa Polisi(IGP), Joseph Boinett kwa kupuuzia usalama wa majaji na kwamba anahatarisha maisha yao.

Pamoja na kutoa tuhuma hizo katika tamko la Tume ya Majaji, Maraga amesema hilo halitawarudisha nyuma katika kuilinda katiba na pia wapo tayari kulipia kwa gharama yoyote.

Mtandao wa Gazeti la Daily Nation unamnukuu Maraga akisema: “We are ready to pay the ultimate price for defending the Constitution and the rule of law” (Tupo tayari kulipa gharama yoyote kutetea katiba na utawala wa sheria).

Tamko hilo linamlaumu Boinett kwa kupuuzia wito wa majaji kutaka wapewe ulinzi jambo ambalo linawaweka wao na mali zao katika hatari.

Lilifafanua kuwa mahakama ni mkono wa Serikali kama Bunge na Rais hivyo wanastahili kupewa ulinzi pale wanapoona

“Kama viongozi wamechoka kuwa na mahakama imara, waitishe kura ya maoni iondolewe. Lakini kabla hilo halijafanyika, mahakama itaendelea kufanya kazi yake kama inavyostahili kwa kuzingatia katiba,” ilisisitiza taarifa hiyo

View attachment 591794 View attachment 591795 View attachment 591796 View attachment 591693

Chanzo: Mwananchi

Ehe, Uhuru angalia sana, utaishia Diheig
 
Hakukuwa na amani iliyotamalaki MIOYONI mwa wananchi, bali mitaani palitamalaki askari wengi sana, mabomu ya machozi mengi mno, pamoja na magari ya washawasha kibao...!!!

Yote hayo yasingekuwepo, ndo ungeweza kujudge kma kulikuwa na amani ya kweli.
Wenye mawasha washa ndo walionyang'anywa ushindi, kwahiyo wasingeongeza miwasho miwili kwa wakati mmoja
 
Mada hizi huwa nadra Sana kuletwa huku na wakenya wenyewe wao huleta zile za kumsifia Kenyatta Tu.

Baba WA demokrasia anatishia uhai WA majaji!

Kwenye demokrasia Africa yote haichekani,hakuna mwenye afadhali.
Role model wa chadema !
 
Back
Top Bottom