Mzuka wanajamvi!
Wakenya bana sometimes wanachekeshaga Sana. Kuna Jaji mmoja kati ya wale saba anaitwa Smokin Wanjala unajiuliza what's this? Hata kama kuiga huku ni kuvuka mpaka.
Afadhali bongo tunaiga lakini siyo kivileee, mfano Dodoma kuna msela flan anaitwa Wolfgang Mponeja angalau.
Kuna huyu mbunge alichaguliwa majuzi kwenye kura za marudio anaitwa Fernandez Barasa dah! Pia nilishawahi kusikia Mkenya mwengine anaitwa Flagpost Wainaina na mwengine Joao Pinto Onyango, unabaki kushangaa tu.
Wakenya bana sometimes wanachekeshaga Sana. Kuna Jaji mmoja kati ya wale saba anaitwa Smokin Wanjala unajiuliza what's this? Hata kama kuiga huku ni kuvuka mpaka.
Afadhali bongo tunaiga lakini siyo kivileee, mfano Dodoma kuna msela flan anaitwa Wolfgang Mponeja angalau.
Kuna huyu mbunge alichaguliwa majuzi kwenye kura za marudio anaitwa Fernandez Barasa dah! Pia nilishawahi kusikia Mkenya mwengine anaitwa Flagpost Wainaina na mwengine Joao Pinto Onyango, unabaki kushangaa tu.