Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
So what?Watetezitv
tSp1gosn1sohrfesd ·
"Katiba haiwezi kuwa juu ya Mwenyezi Mungu....."
"Watanzania hawakutaka mfumo wa vyama vingi,Nyerere ndio alitaka"-Jaji Mstaafu,Robert Makalamba katika semina ya mawakili wanaotetea Haki za Binadamu Zanzibar,iliyoandaliwa na THRDC.
Tuna hatari snSasa kipindi waulizwe tena kupitia Referendum kama wanataka vyama vingi, katiba mpya na serikali mbili/tatu/moja.
Yuko sahihi asilimia 80 walikataa vyama vingi.Katiba haiwezi kuwa juu ya Mwenyezi Mungu....."
"Watanzania hawakutaka mfumo wa vyama vingi,Nyerere ndio alitaka"-Jaji Mstaafu,Robert Makalamba katika semina ya mawakili wanaotetea Haki za Binadamu Zanzibar,iliyoandaliwa na THRDC.
Wakati huo elimu ya uraia ilikuwa inatolewa na Nani na wapi? Navyojua elimu ya siasa, nyimbo za kuabudu, kutukana ubaguzi wa rangi ndiyo ilitawala. Unategemea niniYuko sahihi asilimia 80 walikataa vyama vingi.
Lakini hao 80 walitaka baadhi yamabadiliko ambayo kimsingi hayakwepeki kuwa na vyama vingi. Prof. Haroub OthmanYuko sahihi asilimia 80 walikataa vyama vingi.
Kwani haziibiwi?Matokeo yakitoka hamtakawia kusema kura zimeibiwa