Yuko sahihi asilimia 80 walikataa vyama vingi.
..Na asilimia 90% ya Watanzania hawajui katiba ni kitu gani.
..Pia katiba haileti maji, barabara, shule, wala chakula.
..Sasa unajiuliza kwanini CCM waliandika katiba mwaka 1977?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yuko sahihi asilimia 80 walikataa vyama vingi.
Watanzania hata chanjo ya Corona hawataki. Hata Katiba iliyopo haikuombwa na hawa watanzania kwa uwingi tunaotaka. Wanaamua wachache kwa faida ya wengi.Katiba haiwezi kuwa juu ya Mwenyezi Mungu....."
"Watanzania hawakutaka mfumo wa vyama vingi,Nyerere ndio alitaka"-Jaji Mstaafu,Robert Makalamba katika semina ya mawakili wanaotetea Haki za Binadamu Zanzibar,iliyoandaliwa na THRDC.
Watanzania wengi walikuwa wanajibu kile ambacho walidhani viongozi wao wanataka.
Amandla....
..maelezo ya Jaji haya hapa.
..muanzisha mada amechukua sehemu ndogo sana ya maelezo aliyotoa Jaji Makaramba.
Fundi Mchundo, Omusolopogasi
Naungana na ww, kama wanaamini kuwa Katiba haileti shule, Barabara wala maji, kwa nini iliandikwa, na kwa makusudi gani, kutoka kwa Nani kwenda kwa Nani...Na asilimia 90% ya Watanzania hawajui katiba ni kitu gani.
..Pia katiba haileti maji, barabara, shule, wala chakula.
..Sasa unajiuliza kwanini CCM waliandika katiba mwaka 1977?
Hawakutaka au walikuwa wanaogopa kusema ukweli? Kwanza Zanzibar asilimia kubwa walitaka vyama vingi, pili Nyerere alitambua hilo ndiyo maana akageuza hoja na kusema watanzania wapewe vyama vingi.Yale yake kwenye nchi ya watanganyika,mtu mmoja akatuamlia tuingie kwenye mfumo wa vyama vingi wakati majority ya watanganyika hawakutaka mfumo huu,na majaji njaa wakawa kimya tu
Mwaka jana nini kilitokea?Ingekuwa ni kweli zingeibiwa za Pemba na za Kilimanjaro
SawaHakuna kura iliibiwa wala kupatikana kwa wizi