Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
Kitendo cha kuvitaka vyama vya siasa vikutane na jeshi la polisi kupata usuluhishi kuhusu haki ya kufanya siasa ni kukwepa wajibu wako, vyama husika vipo kisheria na viliposajiriwa vilipata maelekezo yote ya kikatiba, sidhani kama vilipata maelekezo ya kutokufanya siasa bila ya makubaliano na jeshi la polisi.
Hata hivyo kama ulipovisajiri sheria ya kufanya siasa ulivyovipa ni moja ni vipi Chama Cha Mapinduzi kinafanya siasa kwa sheria ulizowapa hakina msuguano na polisi na vingine vinafuata sheria hizohizo vinamsuguano na polisi!
Wewe ni Jaji na unajua fika kuwa endapo vikundi viwili vinamsuguano wa kisheria wewe hautakiwi kuvipatanisha nje ya sheria bali mahakama ndiyo inayotakiwa kutoa suluhisho, suluhu nje ya mahakama ni jambo la hiari ambapo kutekeleza si lazima.
Hata hivyo kama ulipovisajiri sheria ya kufanya siasa ulivyovipa ni moja ni vipi Chama Cha Mapinduzi kinafanya siasa kwa sheria ulizowapa hakina msuguano na polisi na vingine vinafuata sheria hizohizo vinamsuguano na polisi!
Wewe ni Jaji na unajua fika kuwa endapo vikundi viwili vinamsuguano wa kisheria wewe hautakiwi kuvipatanisha nje ya sheria bali mahakama ndiyo inayotakiwa kutoa suluhisho, suluhu nje ya mahakama ni jambo la hiari ambapo kutekeleza si lazima.