Shujaa Mwendazake
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 4,016
- 6,759
Baada ya purukushani za mitandaoni wiki nzima kati ya wanaharakati, wanasiasa na Serikali kuhusiana malalamiko mbalimbali ya kisheria na kikatiba. Hili lilipelekea matamko, vitisho, kejeli na kashfa mbalimbali kutoka katika majukwaa mbalimbali na hata kufikia jana tulijionea kuwa Kada wa Chama cha Chadema mkoani Njombe kushikiliwa na jeshi la polisi kwa kauli zake mtandaoni.
Kiini cha hili suala kiko wazi, na labda inaonekana kuna Mtu au mamlaka fulani ndo inayopaswa kuangazia hili.
Nami pasi na kuchelea Namuasa MSAJILI WA VYAMA vya siasa Jaji Mutungi kujitokeza hadharani na kumwambia mama kuwa hana Mamlaka ya kikatiba kupiga marufuku shughuli za kisiasa hususan mikutano ya hadhara. Anapaswa kutoa muongozo wa kikatiba na kisheria na ikibidi kushauri Mamlaka nyingine kuhsiana na Taratibu na kanuni zinzoendesha shughuli za vyama vya siasa,
Jaji Mutungi akumbuke kuwa yeye ni mlezi wa vyama hivi, na pale haki zao zinapominywa Kisheria au kikatiba anapaswa kuingilia na kutoa Miongozo. Anapaswa kulikemea Jeshi la polisi pale linapozuia Mikutano hii bila sababu za Msingi, n.k
JAJI Mutungi mwambie Mama Ukweli Uwe Huru. Hizo kelele zote na chokochoko zinaanziaga hapo.
www.bbc.com
www.mwananchi.co.tz
www.voaswahili.com
Kiini cha hili suala kiko wazi, na labda inaonekana kuna Mtu au mamlaka fulani ndo inayopaswa kuangazia hili.
Nami pasi na kuchelea Namuasa MSAJILI WA VYAMA vya siasa Jaji Mutungi kujitokeza hadharani na kumwambia mama kuwa hana Mamlaka ya kikatiba kupiga marufuku shughuli za kisiasa hususan mikutano ya hadhara. Anapaswa kutoa muongozo wa kikatiba na kisheria na ikibidi kushauri Mamlaka nyingine kuhsiana na Taratibu na kanuni zinzoendesha shughuli za vyama vya siasa,
Jaji Mutungi akumbuke kuwa yeye ni mlezi wa vyama hivi, na pale haki zao zinapominywa Kisheria au kikatiba anapaswa kuingilia na kutoa Miongozo. Anapaswa kulikemea Jeshi la polisi pale linapozuia Mikutano hii bila sababu za Msingi, n.k
JAJI Mutungi mwambie Mama Ukweli Uwe Huru. Hizo kelele zote na chokochoko zinaanziaga hapo.
Mahakama yasema rais Uhuru Kenyatta alikiuka katiba katika kuanzisha mchakato wa BBI Kenya - BBC News Swahili
Rais Uhuru Kenyatta alitumia nguvu zaidi ya uwezo wake kikatiba alipoanzisha mchakato wa kubadilisha katiba kupitia mpango wa BBI , mahakama kuu mjini Nairobi imeamuru
Mahakama yamvua Kenyatta mamlaka kuteua Jaji Mkuu
Mahakama Kuu ya Kenya imebatilisha marekebisho ya sheria yaliyompa Rais mamlaka ya kuteua Jaji Mkuu kinyume na Katiba, uamuzi ambao umeelezewa na wanasheria wa Tanzania kuwa umechelewa kufanywa...
Jaji mkuu wa Kenya amtaka rais kuvunja bunge
Katika barua kwa Rais Kenyatta, Maraga alisema kwamba ingawa hatua hiyo itaigharimu serikali, ni muhimu ichukuliwe, ili kuonyesha kwamba viongozi wa kisiasa wanafuata na kuheshimu katiba ya nchi.
www.voaswahili.com