TANZIA Jaji Projest Rugazia afariki dunia. Kuzikwa Ijumaa Agosti 9, 2019 Kijiji cha Rwamashonga, Kata ya Mugana wilaya ya Missenyi

TANZIA Jaji Projest Rugazia afariki dunia. Kuzikwa Ijumaa Agosti 9, 2019 Kijiji cha Rwamashonga, Kata ya Mugana wilaya ya Missenyi

Kuna mwenye taarifa zake? Kuna maneno yanasambazwa kwamba hatunaye. Naomba kujuzwa.

=====

Tunapokwenda Kanisani naomba tuiombee Roho ya ndugu yetu na rafiki wetu mpendwa Judge Projestus Rugazia. Ameaga dunia. Mwenyezi Mungu aitakase Roho yake ampe uzima wa milele. Ni majonzi makubwa sana.
R.I.P Justice Rugazia

Manyerere Jackton uliwahi kusema siku moja kwamba hayati Mwalimu Nyerere alikusahihisha kiswahili kwa kukwambia hakuna "masaa" bali "saa"

Na mimi nakwambia hii uliyoandika ni Taazia sio Tanziaa
 
Ndio Ni lugha ya kimataifa .Kupata ajira kwa wawekezaji wa kihindi popote duniani rahisi Kupata kazi Kama unajua lugha yao.India watu wanasoma kuanzia nursery hadi Phd kihindi .Wawekezaji wa kihindi na kichina wamesambaa dunia nzima Kupata ajira kwao rahisi Sana Kama unajua lugha zao wao na wawekezaji wafaransa,wahispania ,wareno na warusi.Wewe Kama kiingereza unaona deal endelea kukiongea na vitoto vyako peleka only English medium tu viongee Hadi kwenye daladala Lakini usije piga yowe kuwa ajira hazipo pamoja na vitoto vyako kutiririka kiingereza kuliko malkia
Kwa wachina hakuna kazi, kuna vibarua! Siwezi kutoka Marian nikaenda kufanya vibarua kwa wachina!
 
Back
Top Bottom