Jaji Rwegasira: Nimeagizwa na ngazi ya juu kuulinda mkataba wa LUGUMI

"Jaji"!?
 
Huo ndio utaratibu issue za kiusalama sio kila mtu anapaswa kuziangalia na kujitafutia umaarufu kama hawa wajumbe wa PAC
ni kazi yao wala hapo amna suala la usalama, usipotoshe jamii
 
Ivi wakuu, kuna evidence yoyote inayo onyesha serekali iliwahi kuwahukumu au kuwafunga hawa watu wenye amjina kama linalo fanan na la prince (Mafisadi)?.
 
Lugumi ni kipimo cha tatu kigumu kwa Magu

  1. Cha kwanza ni Home Shopping Center (bado hatujajua nini kinaendelea kwani jamaa wanajipambanua kivingine)
  2. Ya pili ni sakala la Bandari (bado tunasubiri kama mtu yeyote wa "maana" ataumia)
  3. Sakata la tatu ni hili la Lugumi/Kitwanga/Mwema (tunaona watu wanabinuka-binuka tu)

Mengine mbwembwe...
 
Serikali ya tzania haijawahi shinda kesi zidi yake kwa mtuhumiwa yeyote.hvyo msijisumbue kwamba wanapigana na mafisadi wala nin na kama hamuamini subir kesi za wakina masamaki,wazee wastaafu wa tra muone kama hawatashinda na serikali kutakiwa kuwalipa.
 
Unamshauri hivyo JPM wakati umeambiwa mamalaka za juu zimezuia mkataba kuwa public!
 

Hao ni 'fanatics' wala wasikupe shida kwani dunia nzima wapo na sifa yao kuu moja ni kuwa 'they are just clouded by self-justification.'
 
Safi kabisa katibu mkuu....kiukweli masuala ya jeshi hayafai kuanikwa .....ikumbukwe masuala ya jeshi si kama taasisi zingine za Mkonge....
 
Pole sana Kama ni mmojawapo Wa wale wanaodhani Sasa amepatijana mkombozi, wapi watakaotolewa kafara Ila wengi watalindwa kwa nguvu zote ili kulinda heshima ya chama
 
kuna siku mtasema kununua kofia za ccm ni swala la kiusalama mbona zipo madukani izo mashine four ways hapo zipo za kumwaga tuu..
 
Mmmmh!!!
Utasikia Lugumi ashinda kesi sasa kuishitaki serikali
ni kweli mkuu, kama alivyoachiliwa huru Mhando wa Tanesco leo.na takukuru wanajifaragua ati watakata rufaa kuficha aibu.tusubiri madai ya mamilioni ya fidia. tutakoma!
 
hili move linaitwaje vile,THE BLACK NINJA,mtuhumiwa anachagua watu wa kumshughulikia balaa,tanzania nchi yangu umekonda kwa kunyonywa usiku na mchana na ndama wa kila aina
 
Hapo ndo mtajua pombe siyo chai!! Eti kutumbua majipu? Tumbua hilo hapo basi tukusikie, mbona unaishia kutumbu vichunusi nawe unajitapa unatumbua majipu? Ila na wewe mleta mada naomba nikutukane basi japo kidogo, mamamaeeeeee unaletaje habari bila chanzo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…