| Published By: | LYDIA CHURI |
|---|
.... duh! Mahakama imepigika haswa na Covid-19.RIP JUDGE WILLIAM MAINA
JAJI MKUU PROF JUMA AONGOZA KUAGA MWILI WA JAJI MSTAAFU WILLIAM MAINA
24-02-2021 0
Published By: Mary C. Gwera
- Ibada ya kuaga mwili yafanyika katika Kanisa Katoliki la Mtakatifu Petro Oysterbay
- Mwili wake wazikwa katika Makaburi ya Kinondoni Dar es Salaam
- Jaji Maina atakumbukwa kwa Uadilifu, uchapakazi na uzalendo
- Ibada ya kuaga mwili yafanyika katika Kanisa Katoliki la Mtakatifu Petro Oysterbay
- Mwili wake wazikwa katika Makaburi ya Kinondoni Dar es Salaam
- Jaji Maina atakumbukwa kwa Uadilifu, uchapakazi na uzalendo
- source : Judiciary of Tanzania | Home
.... duh! Mahakama imepigika haswa na Covid-19.
Shida iko wapi?Naona jamii forums imekuwa chombo cha kutangazia misiba...R.I.P
Yupi?Ivi malehem anaundugu na yule mwalimu karua
Usisahau kunialika kuja kula mpunga hiyo siku ikifika.Kwa tutakao olewa mwaka huu ukikuta familiya ina wakwe mshukuru Mungu.
R.I.P Mh jaji.
Wewe! Mnatuombea sie, si ajabu nanyi msioane hapa dunianiKwa tutakao olewa mwaka huu ukikuta familiya ina wakwe mshukuru Mungu.
R.I.P Mh jaji.
Alikuwa anaishi majengo awei fundisha shulen ya msingi IKutiYupi?
... Idara ya Mahakama miongoni mwa maeneo yaliyoahirka sana na Covid-19 na sekta ya elimu ya juu; maprofesa wamepigwa sana na Corona. RIP.
Yes, ni ndugu yakeUlikuwa anaishi majengo awei fundisha shulen ya msingi IKuti
Ina lilahi waina ilayhi rajiuunFamilia ya Jaji Samuel Victor Gibson Karua Kwa masikitiko makubwa inawatangazia ndugu, jamaa na marafiki, Kifo cha mpendwa wao Jaji Samuel Victor Gibson Karua kilichotokea leo tarehe 26/02/2021 saa moja na nusu asubuhi (1:30) asubuhi, katika hospitali ya Saifee.
Msiba utakuwepo nyumbani kwa marehemu Jaji Samuel Victor Gibson Karua Kijitonyama. Ndugu wapendwa kutokana na janga linaloendelea hivi sasa ,familia inawapenda sana ila tunaomba kwa sasa familia pekee ndio ijumuike hapa nyumbani Kijitonyama na kuwaomba ndugu, jamaa na marafiki tujumuike pamoja siku ya jumatatu kwa ajili ya kumuaga na mazishi yatakayofanyika siku hiyo nyumbani kwake Goba Michigani pia tunasisitiza uvaaji wa barakoa na kunawa mikono na kukaa mbali mbali.
Bwana Ametoa, Bwana Ametwaa, Jina lake lihimidiwe.
Familia ya Jaji Samuel Victor Gibson Karua.
R.I.P. Jaji Karua.Familia ya Jaji Samuel Victor Gibson Karua Kwa masikitiko makubwa inawatangazia ndugu, jamaa na marafiki, Kifo cha mpendwa wao Jaji Samuel Victor Gibson Karua kilichotokea leo tarehe 26/02/2021 saa moja na nusu asubuhi (1:30) asubuhi, katika hospitali ya Saifee.
Msiba utakuwepo nyumbani kwa marehemu Jaji Samuel Victor Gibson Karua Kijitonyama. Ndugu wapendwa kutokana na janga linaloendelea hivi sasa ,familia inawapenda sana ila tunaomba kwa sasa familia pekee ndio ijumuike hapa nyumbani Kijitonyama na kuwaomba ndugu, jamaa na marafiki tujumuike pamoja siku ya jumatatu kwa ajili ya kumuaga na mazishi yatakayofanyika siku hiyo nyumbani kwake Goba Michigani pia tunasisitiza uvaaji wa barakoa na kunawa mikono na kukaa mbali mbali.
Bwana Ametoa, Bwana Ametwaa, Jina lake lihimidiwe.
Familia ya Jaji Samuel Victor Gibson Karua.
Kama sijakosea ana binti aitwaye Lilian...
Namjua bint yke mmoja anaitwa "m"Kama sijakosea ana binti aitwaye Lilian...
Upo sahihiNamjua bint yke mmoja anaitwa "m"
Alizaa na mwanamke ambaye mm nlikuwa namjua...
Jaji alikuwa na mdg wake anaitwa michael tulikuwa tunapigaga wote mitungi sema naye alitanguliaa
Alikuwa anakaa kama unaelekea shule ya salma kikwete knyama
Ova
Alizaliwa Mbeya mwanzoni mwa 1950.Tunapeleka Soko Matola, Mtaa wa Nonde nyumba namba sita au tutazika hukuhuku Kijitonyama?View attachment 1712422