TANZIA Jaji Samuel Victor Gibson Karua afariki dunia

TANZIA Jaji Samuel Victor Gibson Karua afariki dunia

RIP JAJI WILLIAM JOHN MAINA​

JAJI MSTAAFU WA MAHAKAMA KUU YA TANZANIA MHE. WILLIAM MAINA AMEFARIKI DUNIA

22-02-2021 0
JAJI_MAINA21-02-22.jpg

JAJI WILLIAM JOHN MAINA

Published By:LYDIA CHURI

Source: JAJI MSTAAFU WA MAHAKAMA KUU YA TANZANIA MHE. WILLIAM MAINA AMEFARIKI DUNIA
Jaji Mstaafu wa Mahakama Kuu ya Tanzania Mhe. William John Maina amefariki dunia jana Februari 21, 2021 saa 1:30 usiku katika Hospitali ya Lugalo jijini Dar es salaam.
Mipango ya mazishi inaendelea nyumbani kwake Oystebay jijini Dar es salaam.
Mahakama ya Tanzania inatoa pole kwa familia ya marehemu, ndugu, jamaa na marafiki kufuatia msiba huu.
BWANA ALITOA NA BWANA AMETWAA, JINA LAKE LIHIMIDIWE
 

RIP JUDGE WILLIAM MAINA​

JAJI MKUU PROF JUMA AONGOZA KUAGA MWILI WA JAJI MSTAAFU WILLIAM MAINA​

24-02-2021 0
815A187321-02-24.jpg

CJ21-02-24.jpg

815A183421-02-24.jpg

815A175721-02-24.jpg

815A170921-02-24.jpg

Published By:Mary C. Gwera


  • Ibada ya kuaga mwili yafanyika katika Kanisa Katoliki la Mtakatifu Petro Oysterbay
  • Mwili wake wazikwa katika Makaburi ya Kinondoni Dar es Salaam
  • Jaji Maina atakumbukwa kwa Uadilifu, uchapakazi na uzalendo
  • Ibada ya kuaga mwili yafanyika katika Kanisa Katoliki la Mtakatifu Petro Oysterbay
  • Mwili wake wazikwa katika Makaburi ya Kinondoni Dar es Salaam
  • Jaji Maina atakumbukwa kwa Uadilifu, uchapakazi na uzalendo
  • source : Judiciary of Tanzania | Home
.... duh! Mahakama imepigika haswa na Covid-19.
 
.... duh! Mahakama imepigika haswa na Covid-19.

Hatari sana watu kama mstaafu Jaji William John Maina katika judiciary ya Tanzania ni watu wazito sana ambao hata baada ya kustaafu ilikuwa kimbilio la kwenda kuvuna hekima na uzoefu wake wa miaka mingi kama jaji mmojawapo imara sana. RIP Jaji William John Maina.

RIP RETIRED JUDGE WILLIAM JOHN MAINA
 
Kisukari,presha uzito mkubwa.
Kutoboa ni ngumu.
... Idara ya Mahakama miongoni mwa maeneo yaliyoahirka sana na Covid-19 na sekta ya elimu ya juu; maprofesa wamepigwa sana na Corona. RIP.
 
Familia ya Jaji Samuel Victor Gibson Karua Kwa masikitiko makubwa inawatangazia ndugu, jamaa na marafiki, Kifo cha mpendwa wao Jaji Samuel Victor Gibson Karua kilichotokea leo tarehe 26/02/2021 saa moja na nusu asubuhi (1:30) asubuhi, katika hospitali ya Saifee.

Msiba utakuwepo nyumbani kwa marehemu Jaji Samuel Victor Gibson Karua Kijitonyama. Ndugu wapendwa kutokana na janga linaloendelea hivi sasa ,familia inawapenda sana ila tunaomba kwa sasa familia pekee ndio ijumuike hapa nyumbani Kijitonyama na kuwaomba ndugu, jamaa na marafiki tujumuike pamoja siku ya jumatatu kwa ajili ya kumuaga na mazishi yatakayofanyika siku hiyo nyumbani kwake Goba Michigani pia tunasisitiza uvaaji wa barakoa na kunawa mikono na kukaa mbali mbali.

Bwana Ametoa, Bwana Ametwaa, Jina lake lihimidiwe.

Familia ya Jaji Samuel Victor Gibson Karua.
Ina lilahi waina ilayhi rajiuun
 
Familia ya Jaji Samuel Victor Gibson Karua Kwa masikitiko makubwa inawatangazia ndugu, jamaa na marafiki, Kifo cha mpendwa wao Jaji Samuel Victor Gibson Karua kilichotokea leo tarehe 26/02/2021 saa moja na nusu asubuhi (1:30) asubuhi, katika hospitali ya Saifee.

Msiba utakuwepo nyumbani kwa marehemu Jaji Samuel Victor Gibson Karua Kijitonyama. Ndugu wapendwa kutokana na janga linaloendelea hivi sasa ,familia inawapenda sana ila tunaomba kwa sasa familia pekee ndio ijumuike hapa nyumbani Kijitonyama na kuwaomba ndugu, jamaa na marafiki tujumuike pamoja siku ya jumatatu kwa ajili ya kumuaga na mazishi yatakayofanyika siku hiyo nyumbani kwake Goba Michigani pia tunasisitiza uvaaji wa barakoa na kunawa mikono na kukaa mbali mbali.

Bwana Ametoa, Bwana Ametwaa, Jina lake lihimidiwe.

Familia ya Jaji Samuel Victor Gibson Karua.
R.I.P. Jaji Karua.
 
Kama sijakosea ana binti aitwaye Lilian...
Namjua bint yke mmoja anaitwa "m"
Alizaa na mwanamke ambaye mm nlikuwa namjua...
Jaji alikuwa na mdg wake anaitwa michael tulikuwa tunapigaga wote mitungi sema naye alitanguliaa
Alikuwa anakaa kama unaelekea shule ya salma kikwete knyama

Ova
 
Zamu yake na yeye akaomewe hukumu kwa muumba wake.
R.i.p jaji
 
Namjua bint yke mmoja anaitwa "m"
Alizaa na mwanamke ambaye mm nlikuwa namjua...
Jaji alikuwa na mdg wake anaitwa michael tulikuwa tunapigaga wote mitungi sema naye alitanguliaa
Alikuwa anakaa kama unaelekea shule ya salma kikwete knyama

Ova
Upo sahihi
 
Ni ushauri tu wasee wa 70+ waondoke mjini fasta..watapukutika wote. Hii changamoto si rafiki kwa kweli.

Poleni wafiwa!!
 
Back
Top Bottom