KennedyMmari
JF-Expert Member
- Dec 12, 2012
- 979
- 187
kabisa ndugu,naunga mkono hoja
Uandaliwe utaratibu maalumu
wa kumwajibisha Judge aliyetoa
hukumu katika kesi ya Mbunge
Godbless Lema mahakama kuu
ya Arusha.Wajibisho hilo laweza
kuwa la kitaaluma,kisheria,kinidhamu au
kimaadili kwasababu yote
yalikiukwa katika kutoa hukumu
hiyo ........
Nawasilisha wanajamvi
Uandaliwe utaratibu maalumu wa kumwajibisha Judge aliyetoa hukumu katika kesi ya Mbunge Godbless Lema mahakama kuu ya Arusha.Wajibisho hilo laweza kuwa la kitaaluma,kisheria,kinidhamu au kimaadili kwasababu yote yalikiukwa katika kutoa hukumu hiyo.
Nawasilisha wanajamvi
By walcot
napata wasiwasi na elimu yako mkuu
Haiwezekani, analindwa na hako hapo juu(yohanakomaga ameongea)By yohanakomaga
judicial immunity.
Aisee! Hivi wewe ndiye yule Walcot wa Arsenal?napata wasiwasi na elimu yako mkuu