KennedyMmari
JF-Expert Member
- Dec 12, 2012
- 979
- 187
Uandaliwe utaratibu maalumu wa kumwajibisha Judge aliyetoa hukumu katika kesi ya Mbunge Godbless Lema mahakama kuu ya Arusha.Wajibisho hilo laweza kuwa la kitaaluma,kisheria,kinidhamu au kimaadili kwasababu yote yalikiukwa katika kutoa hukumu hiyo.
Nawasilisha wanajamvi
Nawasilisha wanajamvi