Jaji Warioba afunguka kasoro za Uchaguzi Serikali za Mitaa, atahadharisha vyombo vya usalama kujihusisha na Siasa

Jaji Warioba afunguka kasoro za Uchaguzi Serikali za Mitaa, atahadharisha vyombo vya usalama kujihusisha na Siasa

Warioba akisema huwa hasikilizwi...

Ukizoea dhuluma na usifanywe kitu hutakaa uache...
Nilisema hapa kuhusu mambo ya uongozi ni kwamba viongozi wapumbavu uchaguana wapumbavu kwa wapumbavu hili kuongoza na viongozi wenye Akili uchaguana wenye akili hili kuongoza ...hivyo ni ngumu SAMIA kumsikiliza mtu yoyote asiye mpumbavu ...hivyo wenye akili kumshauri samia ni kupoteza muda bure ...kwanza huyo samia bushiri kalaanika tayari ni mjalaana wa ibilisi ...damu nyingi sana inakwenda kumwagika tz . Genius sibahatishi kwa ninacho sema.....nilisema hapa kua mwanamke hafai kuwa kiongozi na sababu mwanamke kamwe awezi kuwa na akili ya kiuongozi ...pia nilionya hapa kuwa waislamu awafai kuwa viongozi kwa hapa tz viongozi waislamu wamethibitika kuwa na upumbavu ulio tukuka sana ...pia nilionya kuwa wazanzibar wanazo akili finyu sana hivyo ni hatari sana kuongozwa na wazanzibar ..

Kwa sasa tanzania tunaongozwa na mtu mwenye sifa hizo zote 3
1)mwanamke
2)mzanzibari
3)muislamu
 
Serikali inajitengaje na Chama? Anatoa mfano wa Katibu Mkuu wa chama wakati viongozi wengi tu wa chama na jumuia zake yanachangia hali hii. Ni wanachama ( au mashabiki wake) ndio wanaoshusha bendera za vyama vingine, ndio wanaowapiga matofali wapinzani, ndio wanaosema wazi kuwa dola ni yao, ndio wanaosema wakiwapoteza watu dola wala isihangaike, ndio wanajisifia kuwa sehemu ya kundi la kuwashughulikia wapinzani n.k. Yote hayo yanafanyika bila wahusika kuchukuliwa hatua. Alipaswa kukikemea chama chake na kukitaka kuchukua hatua kuwa matukio kama haya yanakoma.

Amandla....
 
Akiongea na Waandishi wa habari Makamu wa kwanza wa Rais na Waziri Mkuu mstaafu Mzee Warioba amesema Hawa Polisi ni Binadamu wa kawaida kabisa hivyo Wana utashi binafsi

Ni hatari sana kuwaingiza Polisi Kwenye Siasa kwa sababu wakigawanyika suluhu yake ni ngumu sana kuidhibiti kisiasa, amesisitiza Jaji

Kwako Lucas Mwashambwa - Makongolosi Chunya
 
Waziri Mkuu na Makamu wa Pili wa Rais Mstaafu, Jaji Joseph Sinde Warioba anazungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, huhusu Uchaguzi Serikali za Mitaa

Mchakato tulioumaliza sasa hivi (Uchaguzi wa Serikali za Mitaa) yametokea yale yale ya mwaka 2019/20 na chanzo chake ni wasimamizi wenyewe wa Uchaguzi, kama tukiendelea na utaratibu huu tunajenga mazingira yakuja kulea vurugu ambayo itahatarisha amani yetu.

Nimesikiliza maelezo ya Serikali lakini hayakutosha, haiwezekani kwamba wananchi waamini kwamba walioenguliwa walikosea tena kwa marefu, lakini wanaoenguliwa ni waupande mmoja, kwamba kuna vyama ambavyo wanachama wake wanajua wanafuata manasharti na kuna vyama hawafuati, tunazungumzia watanzania wakawaida.

Haiwezekani na wala tusijedanganyika kwamba kuna maelezo, sababu kuu ya watu kuenguliwa ni kwamba hawakufuata masharti, tutakuwa tunajidanganya kama tukiamini hivyo. Haiwezekani kwamba inatoka kura bandia.

Jaji Warioba amesema matatizo ya uchaguzi wa mwaka 2000 yaliyotokea Zanzibar na kusababisha maandamano na vurugu kubwa na kusababisha vifo na majeruhi, anaona hayo yakijirudia.

Ilikuwa hali ngumu kushawishi CUF na CCM kufanya mazungumzo na kuwa kitu kimoja. Tusipopata njia ya kumaliza matatizo ya hayo tutafikia hali ya kama Zanzibar ya mwaka 2000, Tuna wasiwasi mkubwa haya matatizo sio ya CCM bali Serikali ambayo imejitenga na CCM, si mmeona matamko ya katibu mkuu? Msimamo wa CCM sio kama ambavyo wamefanya wasimamizi wa uchaguzi.

Nazungumza kutokana na uzoefu, tuliporudisha mfumo wa vyama vingi uchaguzi wa kwanza ulifanyika mwaka 1995, kwenye uchaguzi huo yalitokea matatizo makubwa sana Zanzibar, yakaleta mgawanyiko Zanziba, kukawa na uadui, kukawa na chuki baadhi yetu tukaona hilo, tukaona tujaribu kutoa ushauri kwamba viongozi wasiache ile hali iendelee.

Nikaanza kujaribu kushawishi viongozi, hali hii ni mbaya Zanzibar, watu wanachukiana hata ndugu wanasusiana, haikiuwa kazi rahisi, Jumuiya ya Madola (commonwealth) walikuja wakajaribu ikashindikana wakaondoka, baadae mwaka 1998 Jumuiya ya Madola wakaombwa kurudi kujaribu kusaidia.

Kuhusu Uchaguzi Mkuu 2025, Jaji Warioba ameonya Jeshi la Polisi:

Tangu Uhuru watu wa Kongo, Burundi, Rwanda wamekuwa na machafuko, wananchi wa huko walikuwa wakikimbilia huku na wengine wakitaka kuendeleza harakati zao kutoka ndani ya nchi yetu, jeshi letu lilidhibiti mikoa mbalimbali hasa ile ya mipakani kuanzia Katavi, Kigoma, Kagera kukawa salama kabisa.

Mnajua chokochoko iliyotokea Uganda, na mnajua kazi iliyofanywa na jeshi, tulipoteza vijana wengi sana, wale wameapa kuifia nchi na waliifia nchi, tusije tukawaingiza kwenye haya matatizo ya kisiasa, wananchi wakaanza kuwaona nao wanapendelea upande mmoja. Mimi ninaomba kabisa jeshi la ulinzi lisije likaingizwa kwenye mambo ya siasa, siyo kazi yake, kazi yake ni kulinda usalama wa nchi.


Katika miaka michache iliyopita tumeliingiza Jeshi la Polisi kwenye siasa, linatoa matamko ya kisiasa na hii italeta mgawanyiko.

Wananchi watagawanyika. Kuna wale watakaoona, Jeshi la Polisi ni adui, tusifike huko. Tuliache Jeshi la Polisi lifanye kazi zake za kawaida.

Amesema kwa bahati nzuri Rais (Samia Suluhu Hassan) alipoingia madarakani alisikia malalamiko ya wananchi kuhusu suala hilo na kuunda Tume ya Haki Jinai.

Tume ikaleta mapendekezo mazuri na ikapendekeza, Jeshi la Polisi liachwe lifanye kazi zake, lakini sasa hivi tumeliingiza Jeshi la Polisi kwenye siasa, lakini ujue polisi wale ni raia wa kawaida, ikifika kwenye mambo ya siasa wana mawazo yao, wakienda kupiga kura kila mmoja ana mapenzi yake, tukianza kuwaliza mle mle watagawanyika.

Chombo kikubwa kama polisi kugawanyika kuna hatari

Pointi kubwa sana ni hii "POLISI NI RAIA WA KAWAIDA NA KILA MMOJA ANA MAONI YAKE IPO SIKU WATAGANYIKA"

Nikiwahi kufanya kazi Sudani Kusini kule POLISI waligawanyika kukawa na POLISI wa upande wa Serikali na Chama na kukawa na POLISI wa wananchi . Siraha zikagawanywa pia mpaka leo vita ya Sudani Kusini haitaisha hivi karibuni
 
Kila akijitokeza kusema lolote kuna impact? wanaomsikiliza nadhani ni punguani!
Impact kwako wewe ni nini haswa? Mfano kila siku unajisifu kupiga mswaki mara 3 kwa siku mbele za watu ( kushinda kwa kuingiza kura zilizopigwa ndani ya masanduku ya kura na kujinasibu kwamba chama cha majambazi kinakubalika kwa wananchi) siku anatokea mtu mmoja miongoni mwa unaowambia unapiga mswaki mara tatu kwa siku.
Hata kama hutajibu hapo impact itakuwepo au hamna tu kwakuwa hawatakufanya lolote. ???
Ulichoandika wewe ni ishara ya mtu aliyevimbiwa, kujawa na kiburi na aliyevxwa AKILI
 
Impact kwako wewe ni nini haswa? Mfano kila siku unajisifu kupiga mswaki mara 3 kwa siku mbele za watu ( kushinda kwa kuingiza kura zilizopigwa ndani ya masanduku ya kura na kujinasibu kwamba chama cha majambazi kinakubalika kwa wananchi) siku anatokea mtu mmoja miongoni mwa unaowambia unapiga mswaki mara tatu kwa siku.
Hata kama hutajibu hapo impact itakuwepo au hamna tu kwakuwa hawatakufanya lolote. ???
Ulichoandika wewe ni ishara ya mtu aliyevimbiwa, kujawa na kiburi na aliyevxwa AKILI
Matokeo..! kwa hadhi yake hapaswi kuongea km analaumu..haitoshi, achukue hatua inayolingana na hadhi yake ili tuone matokeo ya anayosema!
 
Matokeo..! kwa hadhi yake hapaswi kuongea km analaumu..haitoshi, achukue hatua inayolingana na hadhi yake ili tuone matokeo ya anayosema!
Hadhi yake inamzuiya kutoa maoni yake? Ni kwa mujibu wa kifungu gani cha katiba? Impact unayoizungumzia hapa ni ipi? Watu walisema pana mizengwe kwenye kuengua wagombea wa upinzani. Chawa wakauliza " una ushahidi" leo huyu kasema ni uthibitisho Toshiba kwamba kweli palikuwa na mizengwe.
Kuhusu policcm nao kawataja.
Kuhusu mauaji nayo kasema sasa hizo impacts unazotaka wewe ni zipi. Mana hata kutamka kasoro toka kwenye kinywa cha mtu mzito kama warioba nazo ni impact. Ndo mana akaita wandishi nyumban kwake wakaenda mbona wasije kwako au kwangu???
 
Hadhi yake inamzuiya kutoa maoni yake? Ni kwa mujibu wa kifungu gani cha katiba? Impact unayoizungumzia hapa ni ipi? Watu walisema pana mizengwe kwenye kuengua wagombea wa upinzani. Chawa wakauliza " una ushahidi" leo huyu kasema ni uthibitisho Toshiba kwamba kweli palikuwa na mizengwe.
Kuhusu policcm nao kawataja.
Kuhusu mauaji nayo kasema sasa hizo impacts unazotaka wewe ni zipi. Mana hata kutamka kasoro toka kwenye kinywa cha mtu mzito kama warioba nazo ni impact. Ndo mana akaita wandishi nyumban kwake wakaenda mbona wasije kwako au kwangu???
Ameanza leo kusema mambo ya uchaguzi au ukiukwaji wa mambo mbali mbali ya kiutawala? kuna badiliko lolote akisema..km hakuna, kuna haja gani ya kumsikiliza..?
 
Ameanza leo kusema mambo ya uchaguzi au ukiukwaji wa mambo mbali mbali ya kiutawala? kuna badiliko lolote akisema..km hakuna, kuna haja gani ya kumsikiliza..?
kusema ni muhimu kuliko kukaa kimya.hao ambao hawafanyii kazi anayoyaongea hawatakaa kwenye hizo nafasi milele.iko siku atakuja mwingine atayafanyia kazi maneno yake.lakini pia katoa tahadhari kwasababu amani tunayoichezea siku ikivurugika itamkumba kila mtu.au kwako wewe ilo halina impact?
 
Ameanza leo kusema mambo ya uchaguzi au ukiukwaji wa mambo mbali mbali ya kiutawala? kuna badiliko lolote akisema..km hakuna, kuna haja gani ya kumsikiliza..?
Kwa kuwa ana uthubutu wa kusema, na hajavunja sheria mwache aseme. Kama amesema uongo apelekwe mahakamani kwa kuichafua serikali na chama. Kwamba ameanza kusema zamani na hasikilizwi hapo shida ni wenye dhamana ya uongozi waliogoma.na kuziba masikio.
 
kusema ni muhimu kuliko kukaa kimya.hao ambao hawafanyii kazi anayoyaongea hawatakaa kwenye hizo nafasi milele.iko siku atakuja mwingine atayafanyia kazi maneno yake.lakini pia katoa tahadhari kwasababu amani tunayoichezea siku ikivurugika itamkumba kila mtu.au kwako wewe ilo halina impact?
Hakuna impact ya postmortem..kwa nini hafanyi hivi kabla uharibifu haujafanyika? na anakaa nao kwenye vikao vya chama chake..ni Tanzania pekee mkubwa anamuogopa mdogo aliyemfundisha kazi..yametokea matukio mabaya kabisa km lile la Marehemu Mzee Kibao, sijasikia sauti yake.. mengine km ya kiongozi wa nchi anaumwa wahusika hawataki kusema wakati anayeumwa na wao wanaokaa kimya wako hapo kwa kodi zetu..wanamfanyia kiburi nani? then anapokufa ndio wanakuja kutangaza kifo..huyu Mzee anaona kilichofanyika ni sawa? Hatukumsikia kusema upuuzi huu ulifanyika! Ustaafu wao una faida gani kwa nchi km ktk umri huo walio nao hawawezi kukemea nonsense za namna hii..! Si bora anyamaze!
 
Kwa kuwa ana uthubutu wa kusema, na hajavunja sheria mwache aseme. Kama amesema uongo apelekwe mahakamani kwa kuichafua serikali na chama. Kwamba ameanza kusema zamani na hasikilizwi hapo shida ni wenye dhamana ya uongozi waliogoma.na kuziba masikio.
Muulize kwa nini hawezi kusema kabla uharibifu haujafanyika?
 
Back
Top Bottom