Hizi sasa jaji Waryoba yupo kwenye kipindi cha dakika 45 kinachorushwa Itv.
Amewambia viongozi kuacha kuzungumzia masuala yanayohusu power na kuwaasa kujibu kero zinazowagusa wananchi moja kwa moja.
Kwa maelezo yake anasema maoni ya watu wengi yalijikita kuondoa matatizo yanayowakabili, elimu, umasikini, kuhusu gharama za serikali ya shirikisho la muungano anasema ni bora ziwepo kuliko kuvunjika kwake anasema hayo ndio maoni ya wananchi.
Kuhusu maadili ya viongozi anadai wananchi wengi wanataka hatua zichukuliwe ili kudhibiti maadili ya viongozi wao.