Pre GE2025 Jaji Warioba: Jeshi la Polisi limeingizwa kwenye Siasa, linatoa matamko ya Kisiasa, liachwe lifanye kazi yake

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Acha kusingizia demokrasia kwa ujinga wetu wakushindwa kujisimamia.
 
demokrasia ya kazi gani?, CHINA wamepiga hatua kimaendeleo kwa kufuata misingi ya demokrasia za magharibi?, FIKIRI NJE YA BOX, usikariri,
Tanzania hakuna demokrasia. Ni mfumo ule ule wa China lakini mbona haijaendelea kama China?
 
demokrasia ya kazi gani?, CHINA wamepiga hatua kimaendeleo kwa kufuata misingi ya demokrasia za magharibi?, FIKIRI NJE YA BOX, usikariri,
Tofautisha kwanza akili na uwezo wa kujisimamia wa wachina na sisi.maendeleo hayaji kwasababu eti hamfwati au mnafwata demokrasia kwasababu nchi ambazo zinaongozana kidemokrasia nazina maendeleo ni nyingi kuliko hiyo china yako na korea unayoitolea mifano.Hadi hapo utana demokrasia ni muhimu zaidi kwasababu inatoa wigo mpana wakusimamiana kwa misingi ya haki na sheria.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…