Jaji warioba : Maridhiano ya kitaifa ndio yatakayoleta katiba bora kwa taifa.....

Jaji warioba : Maridhiano ya kitaifa ndio yatakayoleta katiba bora kwa taifa.....

only83

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2010
Posts
5,343
Reaction score
2,527
Mwenyekiti wa tume ya mabadiliko ya katiba amesema kuwa maridhiano ya kitaifa ndio yatakayoipa hii nchi katiba bora. Amesema lazima tofauto zote zipatikane kwenye meza ya mazungumzo. Kasema katiba ni lazima iwe ya wananchi wote na sio ya watu wachache. Ushauri wake, KUKAA PAMOJA NDIO SUHULU YA MWISHO. Na ameomba kuwa bunge likae upya kujadili kwanini TUME yake ivunjwe baada ya kuwasilisha katiba kwa bunge maalum la katiba?

Source: Channel Ten
 
Maccm wanataka katiba iwe yao,wanafikiria Tz ni ya ccm.hawajui ni ya watanzania.

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
safi sana mzee wetu Warioba. Nape ulisema wazee wenye maoni tofauti na miccm wanakaribia kufa je waona busara za mzee huyu? akili hiyo unayo?
 
mzee Warioba Mungu akulinde wasije kukungoa meno, kucha na macho
 
Tuombe wanasiasa na wenye vyama wasikie ushauri huu ili watuache tutengeneze katiba ya nchi, siyo ya vyama vyao au ya kulinda masilahi Yao binafsi.
 
Hawa ndio wazee ambao ni tunu ya Taifa waliosalia,

Taifa linawategemea kwa leo lakini ccm inawapuuza
 
Ni vema mzee huyu akasimama imara kuhakikisha Tanzania inapata katiba bora, tena iliyoridhiwa na wananchi wote ili alinde heshima aliyojijengea kwa taifa hili.
KOMAA MZEE!
 
Huyu mzee mungu mpe nguvu na afya hatutamsahau watanzania ila tatizo ni ccm jamani wanataka katiba ya kuweka mambo yao sawa sio watanzania
 
Ni ushauri mzuri sana.Katiba lazima iwe ya wananchi wote,iwe katiba inayoweza kuishi kwa miaka mingine 50 hata 100 ijayo. So sad kwamba kuna watu wanataka kuuteka mchakato mzima kwa manufaa ya chama chao!!
 
lumumba-jangaa wapo kwenye kukusanya hela ya kukodi fuso ili kusomba wananchi kujaza tamasha zao.
 
Mwenyekiti wa tume ya mabadiliko ya katiba amesema kuwa maridhiano ya kitaifa ndio yatakayoipa hii nchi katiba bora. Amesema lazima tofauto zote zipatikane kwenye meza ya mazungumzo. Kasema katiba ni lazima iwe ya wananchi wote na sio ya watu wachache. Ushauri wake, KUKAA PAMOJA NDIO SUHULU YA MWISHO. Na ameomba kuwa bunge likae upya kujadili kwanini TUME yake ivunjwe baada ya kuwasilisha katiba kwa bunge maalum la katiba?

Source: Channel Ten
Jaji warioba wapashe hao magamba a. Katiba ni ya watoto wetu na wajukuu zetu. Sio ya kina le mutuz.
 
Busara ishinde mabavu, Warioba si mnafiki,anaitakia mema Tanzania ijayo,yeye kamaliza kazi yake,Mungu amjaalie afya njema.
 
Asante warioba , uwe makini sana na vitu vyenye ncha kali , usije ukadondoka nyuma ya mic wakasema bp !
 
mzee Warioba Mungu akulinde wasije kukungoa meno, kucha na macho
Mzee Warioba amaliza muda wake kuitumikia Tanzania hivyo yeye hana cha KUPOTEZA. Aendelee tu na nia yake njema na atakuwa salama. Mungu ambariki sana.
 
Mzee Warioba amaliza muda wake kuitumikia Tanzania hivyo yeye hana cha KUPOTEZA. Aendelee tu na nia yake njema na atakuwa salama. Mungu ambariki sana.
Lowasa atawaelewa? Katumia pesa mingi sana Kama vipi mrudishe mzigo wa jamaa vinginevyo ni kuchakachua kwenda mbele
 
Back
Top Bottom