Jaji Warioba nakutuma kwa kadinali na askofu waulize juu ya mpendwa wetu Membe

Jaji Warioba nakutuma kwa kadinali na askofu waulize juu ya mpendwa wetu Membe

Ngungenge

JF-Expert Member
Joined
Jun 11, 2016
Posts
2,914
Reaction score
3,386
Kutokana na kifo cha ndugu yetu Benard Membe maswali ni Mengi hatakama utawala wa mama umeamua kukalia kimya

Nakutuma kwa Kadinali aliyetuma ujumbe kumsihi Membe amsamehe Musiba baada ya hukumu ya mahakama kutoka
Pia nakutuma kwa askofu aliyetuma ujumbe kwa Membe siku chache kabla ya kifo chake.
Watu hawa walisubiri kusuluhisha baada ya hukumu kutoka lakini hawakujihusisha kumaliza mgogoro kabla wala kumkanya Musiba asiendelee kumhujumu Membe enzi za mwendazake

Kwa kuwa wewe umejaaliwa na kupendwa na Mungu Muumba wa Mbingu na nchi basi nenda ukawaulize hawa wakuu wa dini kuwa wanadhani sisi tunawaonaje kwa jambo hili

Pia waulize kama hawataki Mama atawale kwa amani, au kama wanavinyongo kwa utawala wa Mama. Usisahau kuwauliza walifanya nini miili ilipookotwa kwenye viroba, wafanyabiashara kuporwa fedha zao, waandishi na wakosoaji kupotezwa na mengine

Waulize kama ni sawa kuwa na double standard hio Duniani na mbinguni
 
Kwanza unatakiwa ujue hawa viongozi waliagizwa, wao wala hawakutaka kujihusisha na hayo mambo. Wakuu waliona wakiwatuma hao viongozi wa kanisa labda Membe atawasikiliza. Ila sababu ya kiburi akazama shimoni.
 
Kutokana na kifo cha ndugu yetu Benard Membe maswali ni Mengi hatakama utawala wa mama umeamua kukalia kimya

Nakutuma kwa Kadinali aliyetuma ujumbe kumsihi Membe amsamehe Musiba baada ya hukumu ya mahakama kutoka
Pia nakutuma kwa askofu aliyetuma ujumbe kwa Membe siku chache kabla ya kifo chake.
Watu hawa walisubiri kusuluhisha baada ya hukumu kutoka lakini hawakujihusisha kumaliza mgogoro kabla wala kumkanya Musiba asiendelee kumhujumu Membe enzi za mwendazake

Kwa kuwa wewe umejaaliwa na kupendwa na Mungu Muumba wa Mbingu na nchi basi nenda ukawaulize hawa wakuu wa dini kuwa wanadhani sisi tunawaonaje kwa jambo hili

Pia waulize kama hawataki Mama atawale kwa amani, au kama wanavinyongo kwa utawala wa Mama. Usisahau kuwauliza walifanya nini miili ilipookotwa kwenye viroba, wafanyabiashara kuporwa fedha zao, waandishi na wakosoaji kupotezwa na mengine

Waulize kama ni sawa kuwa na double standard hio Duniani na mbinguni
Ukifa hujasamehe ni moja kwa moja motoni. Membe yupo motoni
 
Back
Top Bottom