SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Yaani magu anatakiwa awe kuni za kuwachomea waovu wenzakeMagu asihusike kwenye kusamehewa .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani magu anatakiwa awe kuni za kuwachomea waovu wenzakeMagu asihusike kwenye kusamehewa .
Usiwahusishe Chadema kwenye ugomvi wa maccm,sisi tunatamani haya maccm yauane na yatoweke kwenye uso wa nchi ili Taifa lipone.CDm huwa wanawqtukana pale wanapokuwa hawapo upande wao utasikia viongozi wa dini wanafiki , wamchongo, huwa waankuwa busy kushanglia well mwamkuya ..mw..
Mkwere amesema ,kwasasa mambo yote ambayo membe angetakiwa kuyafanya yatakuwa chini yake yeye mkwere (familia yote yeye ndo baba na ndo baba Yao mkubwa)Kwahiyo Deni la musiba ndio imeisha ama atailipa familia??
Inadaiwa Tiss !Kama TISS inalipa madeni siku hizi basi watalipwa.
Magazeti ya Musiba yalokuwa yakimdhalilisha na kumchamfua Membe...yalikuwa yakichapishwa wapi?!Inadaiwa Tiss !
Uko sahihi mke wa Malaika Israeli mtoa roho na mlinzi wa lango la motoni.Ukifa hujasamehe ni moja kwa moja motoni. Membe yupo motoni
Kardilali atakwambia , kwanza piga magoti utubu dhambi zako, baada ya hapo atakwambia usiwahesabie haki binadamu wenzako.Kutokana na kifo cha ndugu yetu Benard Membe maswali ni Mengi hatakama utawala wa mama umeamua kukalia kimya
Nakutuma kwa Kadinali aliyetuma ujumbe kumsihi Membe amsamehe Musiba baada ya hukumu ya mahakama kutoka
Pia nakutuma kwa askofu aliyetuma ujumbe kwa Membe siku chache kabla ya kifo chake.
Watu hawa walisubiri kusuluhisha baada ya hukumu kutoka lakini hawakujihusisha kumaliza mgogoro kabla wala kumkanya Musiba asiendelee kumhujumu Membe enzi za mwendazake
Kwa kuwa wewe umejaaliwa na kupendwa na Mungu Muumba wa Mbingu na nchi basi nenda ukawaulize hawa wakuu wa dini kuwa wanadhani sisi tunawaonaje kwa jambo hili
Pia waulize kama hawataki Mama atawale kwa amani, au kama wanavinyongo kwa utawala wa Mama. Usisahau kuwauliza walifanya nini miili ilipookotwa kwenye viroba, wafanyabiashara kuporwa fedha zao, waandishi na wakosoaji kupotezwa na mengine
Waulize kama ni sawa kuwa na double standard hio Duniani na mbinguni
Kila mtu ataubeba na ameubeba msalaba wa dhambi zake. Kiongozi wa dini hawezi kubeba msalaba wako.Suluhu ni kielelezo cha maisha ya kristo.
Waacheni watumishi waubebe msalaba wa dhambi zetu
Viongozi wa diji ni wezi wa mali za raia kiroho hawana jingine mungu wala hana haja ya sadaka ya yeyote ila anapenda tusaidiane sisi kwa sisi ni hivyo tu.Hawa voongozi wa dini ni kuwa nao makini sana
Dini siyo propaganda, ni imani.Nina is his nao hawa watu, kwa mambo halisi huwa siwapi chance ya kuingiza propaganda za dini
Please asiende kwani kuna uwezekano akirudi huenda asikae hata siku kadhaa naye atakufaKutokana na kifo cha ndugu yetu Benard Membe maswali ni Mengi hatakama utawala wa mama umeamua kukalia kimya
Nakutuma kwa Kadinali aliyetuma ujumbe kumsihi Membe amsamehe Musiba baada ya hukumu ya mahakama kutoka
Pia nakutuma kwa askofu aliyetuma ujumbe kwa Membe siku chache kabla ya kifo chake.
Watu hawa walisubiri kusuluhisha baada ya hukumu kutoka lakini hawakujihusisha kumaliza mgogoro kabla wala kumkanya Musiba asiendelee kumhujumu Membe enzi za mwendazake
Kwa kuwa wewe umejaaliwa na kupendwa na Mungu Muumba wa Mbingu na nchi basi nenda ukawaulize hawa wakuu wa dini kuwa wanadhani sisi tunawaonaje kwa jambo hili
Pia waulize kama hawataki Mama atawale kwa amani, au kama wanavinyongo kwa utawala wa Mama. Usisahau kuwauliza walifanya nini miili ilipookotwa kwenye viroba, wafanyabiashara kuporwa fedha zao, waandishi na wakosoaji kupotezwa na mengine
Waulize kama ni sawa kuwa na double standard hio Duniani na mbinguni
Kutokana na kifo cha ndugu yetu Benard Membe maswali ni Mengi hatakama utawala wa mama umeamua kukalia kimya
Nakutuma kwa Kadinali aliyetuma ujumbe kumsihi Membe amsamehe Musiba baada ya hukumu ya mahakama kutoka
Pia nakutuma kwa askofu aliyetuma ujumbe kwa Membe siku chache kabla ya kifo chake.
Watu hawa walisubiri kusuluhisha baada ya hukumu kutoka lakini hawakujihusisha kumaliza mgogoro kabla wala kumkanya Musiba asiendelee kumhujumu Membe enzi za mwendazake
Kwa kuwa wewe umejaaliwa na kupendwa na Mungu Muumba wa Mbingu na nchi basi nenda ukawaulize hawa wakuu wa dini kuwa wanadhani sisi tunawaonaje kwa jambo hili
Pia waulize kama hawataki Mama atawale kwa amani, au kama wanavinyongo kwa utawala wa Mama. Usisahau kuwauliza walifanya nini miili ilipookotwa kwenye viroba, wafanyabiashara kuporwa fedha zao, waandishi na wakosoaji kupotezwa na mengine
Waulize kama ni sawa kuwa na double standard hio Duniani na mbinguni
Kutokana na kifo cha ndugu yetu Benard Membe maswali ni Mengi hatakama utawala wa mama umeamua kukalia kimya
Nakutuma kwa Kadinali aliyetuma ujumbe kumsihi Membe amsamehe Musiba baada ya hukumu ya mahakama kutoka
Pia nakutuma kwa askofu aliyetuma ujumbe kwa Membe siku chache kabla ya kifo chake.
Watu hawa walisubiri kusuluhisha baada ya hukumu kutoka lakini hawakujihusisha kumaliza mgogoro kabla wala kumkanya Musiba asiendelee kumhujumu Membe enzi za mwendazake
Kwa kuwa wewe umejaaliwa na kupendwa na Mungu Muumba wa Mbingu na nchi basi nenda ukawaulize hawa wakuu wa dini kuwa wanadhani sisi tunawaonaje kwa jambo hili
Pia waulize kama hawataki Mama atawale kwa amani, au kama wanavinyongo kwa utawala wa Mama. Usisahau kuwauliza walifanya nini miili ilipookotwa kwenye viroba, wafanyabiashara kuporwa fedha zao, waandishi na wakosoaji kupotezwa na mengine
Waulize kama ni sawa kuwa na double standard hio Duniani na mbinguni
Ulikuwepo alipokuwa akipigania PUMZI ya mwisho?Ukifa hujasamehe ni moja kwa moja motoni. Membe yupo motoni
Nenda kawaulize wazee wa kijijini kwake walishasema wanajua kila kitu hapa hautapata majibu unahangaika tu.Kutokana na kifo cha ndugu yetu Benard Membe maswali ni Mengi hatakama utawala wa mama umeamua kukalia kimya
Nakutuma kwa Kadinali aliyetuma ujumbe kumsihi Membe amsamehe Musiba baada ya hukumu ya mahakama kutoka
Pia nakutuma kwa askofu aliyetuma ujumbe kwa Membe siku chache kabla ya kifo chake.
Watu hawa walisubiri kusuluhisha baada ya hukumu kutoka lakini hawakujihusisha kumaliza mgogoro kabla wala kumkanya Musiba asiendelee kumhujumu Membe enzi za mwendazake
Kwa kuwa wewe umejaaliwa na kupendwa na Mungu Muumba wa Mbingu na nchi basi nenda ukawaulize hawa wakuu wa dini kuwa wanadhani sisi tunawaonaje kwa jambo hili
Pia waulize kama hawataki Mama atawale kwa amani, au kama wanavinyongo kwa utawala wa Mama. Usisahau kuwauliza walifanya nini miili ilipookotwa kwenye viroba, wafanyabiashara kuporwa fedha zao, waandishi na wakosoaji kupotezwa na mengine
Waulize kama ni sawa kuwa na double standard hio Duniani na mbinguni