Jaji Warioba nakutuma kwa kadinali na askofu waulize juu ya mpendwa wetu Membe

Jaji Warioba nakutuma kwa kadinali na askofu waulize juu ya mpendwa wetu Membe

Kwahiyo Deni la musiba ndio imeisha ama atailipa familia??
Mkwere amesema ,kwasasa mambo yote ambayo membe angetakiwa kuyafanya yatakuwa chini yake yeye mkwere (familia yote yeye ndo baba na ndo baba Yao mkubwa)

Isipokuwa labda shemeji kujaneishwa na yeye,Kwa uelewa wangu

Swala la msiba litakua palepale
 
Mimi viongozi wa dini nilishaacha kuwaamini kitambo. Wengi ni wachumia tumbo, wasiosimamia haki, na vibaraka wa watawala. Ndo maana French Revolutinaries (akina Voltaire na Robespierre) waliwadeal sana viongozi wa dini;hasa wale wa lile kanisa kubwa la Kadinali Pengo. Wengi wao ni masnitch.
 
Kutokana na kifo cha ndugu yetu Benard Membe maswali ni Mengi hatakama utawala wa mama umeamua kukalia kimya

Nakutuma kwa Kadinali aliyetuma ujumbe kumsihi Membe amsamehe Musiba baada ya hukumu ya mahakama kutoka
Pia nakutuma kwa askofu aliyetuma ujumbe kwa Membe siku chache kabla ya kifo chake.
Watu hawa walisubiri kusuluhisha baada ya hukumu kutoka lakini hawakujihusisha kumaliza mgogoro kabla wala kumkanya Musiba asiendelee kumhujumu Membe enzi za mwendazake

Kwa kuwa wewe umejaaliwa na kupendwa na Mungu Muumba wa Mbingu na nchi basi nenda ukawaulize hawa wakuu wa dini kuwa wanadhani sisi tunawaonaje kwa jambo hili

Pia waulize kama hawataki Mama atawale kwa amani, au kama wanavinyongo kwa utawala wa Mama. Usisahau kuwauliza walifanya nini miili ilipookotwa kwenye viroba, wafanyabiashara kuporwa fedha zao, waandishi na wakosoaji kupotezwa na mengine

Waulize kama ni sawa kuwa na double standard hio Duniani na mbinguni
Kardilali atakwambia , kwanza piga magoti utubu dhambi zako, baada ya hapo atakwambia usiwahesabie haki binadamu wenzako.
 
Kutokana na kifo cha ndugu yetu Benard Membe maswali ni Mengi hatakama utawala wa mama umeamua kukalia kimya

Nakutuma kwa Kadinali aliyetuma ujumbe kumsihi Membe amsamehe Musiba baada ya hukumu ya mahakama kutoka
Pia nakutuma kwa askofu aliyetuma ujumbe kwa Membe siku chache kabla ya kifo chake.
Watu hawa walisubiri kusuluhisha baada ya hukumu kutoka lakini hawakujihusisha kumaliza mgogoro kabla wala kumkanya Musiba asiendelee kumhujumu Membe enzi za mwendazake

Kwa kuwa wewe umejaaliwa na kupendwa na Mungu Muumba wa Mbingu na nchi basi nenda ukawaulize hawa wakuu wa dini kuwa wanadhani sisi tunawaonaje kwa jambo hili

Pia waulize kama hawataki Mama atawale kwa amani, au kama wanavinyongo kwa utawala wa Mama. Usisahau kuwauliza walifanya nini miili ilipookotwa kwenye viroba, wafanyabiashara kuporwa fedha zao, waandishi na wakosoaji kupotezwa na mengine

Waulize kama ni sawa kuwa na double standard hio Duniani na mbinguni
Please asiende kwani kuna uwezekano akirudi huenda asikae hata siku kadhaa naye atakufa
 
Kutokana na kifo cha ndugu yetu Benard Membe maswali ni Mengi hatakama utawala wa mama umeamua kukalia kimya

Nakutuma kwa Kadinali aliyetuma ujumbe kumsihi Membe amsamehe Musiba baada ya hukumu ya mahakama kutoka
Pia nakutuma kwa askofu aliyetuma ujumbe kwa Membe siku chache kabla ya kifo chake.
Watu hawa walisubiri kusuluhisha baada ya hukumu kutoka lakini hawakujihusisha kumaliza mgogoro kabla wala kumkanya Musiba asiendelee kumhujumu Membe enzi za mwendazake

Kwa kuwa wewe umejaaliwa na kupendwa na Mungu Muumba wa Mbingu na nchi basi nenda ukawaulize hawa wakuu wa dini kuwa wanadhani sisi tunawaonaje kwa jambo hili

Pia waulize kama hawataki Mama atawale kwa amani, au kama wanavinyongo kwa utawala wa Mama. Usisahau kuwauliza walifanya nini miili ilipookotwa kwenye viroba, wafanyabiashara kuporwa fedha zao, waandishi na wakosoaji kupotezwa na mengine

Waulize kama ni sawa kuwa na double standard hio Duniani na mbinguni

Mwenyezi Mungu ndio ana hati miliki ya maisha yetu.
Membe alikuwa mwanadamu kama wengine. Tusijisahau kuwa tunakufa. Iweje kufa kuwe na maneno mengi?
Kuna mtu akiwa Mtama aliwahi kusema Mungu aliingilia kati...kwanini isiwe sasa Mungu huyo huyo aingilie kati?
 
Kutokana na kifo cha ndugu yetu Benard Membe maswali ni Mengi hatakama utawala wa mama umeamua kukalia kimya

Nakutuma kwa Kadinali aliyetuma ujumbe kumsihi Membe amsamehe Musiba baada ya hukumu ya mahakama kutoka
Pia nakutuma kwa askofu aliyetuma ujumbe kwa Membe siku chache kabla ya kifo chake.
Watu hawa walisubiri kusuluhisha baada ya hukumu kutoka lakini hawakujihusisha kumaliza mgogoro kabla wala kumkanya Musiba asiendelee kumhujumu Membe enzi za mwendazake

Kwa kuwa wewe umejaaliwa na kupendwa na Mungu Muumba wa Mbingu na nchi basi nenda ukawaulize hawa wakuu wa dini kuwa wanadhani sisi tunawaonaje kwa jambo hili

Pia waulize kama hawataki Mama atawale kwa amani, au kama wanavinyongo kwa utawala wa Mama. Usisahau kuwauliza walifanya nini miili ilipookotwa kwenye viroba, wafanyabiashara kuporwa fedha zao, waandishi na wakosoaji kupotezwa na mengine

Waulize kama ni sawa kuwa na double standard hio Duniani na mbinguni
 
Kutokana na kifo cha ndugu yetu Benard Membe maswali ni Mengi hatakama utawala wa mama umeamua kukalia kimya

Nakutuma kwa Kadinali aliyetuma ujumbe kumsihi Membe amsamehe Musiba baada ya hukumu ya mahakama kutoka
Pia nakutuma kwa askofu aliyetuma ujumbe kwa Membe siku chache kabla ya kifo chake.
Watu hawa walisubiri kusuluhisha baada ya hukumu kutoka lakini hawakujihusisha kumaliza mgogoro kabla wala kumkanya Musiba asiendelee kumhujumu Membe enzi za mwendazake

Kwa kuwa wewe umejaaliwa na kupendwa na Mungu Muumba wa Mbingu na nchi basi nenda ukawaulize hawa wakuu wa dini kuwa wanadhani sisi tunawaonaje kwa jambo hili

Pia waulize kama hawataki Mama atawale kwa amani, au kama wanavinyongo kwa utawala wa Mama. Usisahau kuwauliza walifanya nini miili ilipookotwa kwenye viroba, wafanyabiashara kuporwa fedha zao, waandishi na wakosoaji kupotezwa na mengine

Waulize kama ni sawa kuwa na double standard hio Duniani na mbinguni
Nenda kawaulize wazee wa kijijini kwake walishasema wanajua kila kitu hapa hautapata majibu unahangaika tu.
 
Back
Top Bottom