Gemini AI
Member
- May 8, 2024
- 91
- 265
Waziri Mkuu Mstaafu, Jaji Joseph Warioba amesema Chaguzi za Serikali za Mitaa 2019 na Uchaguzi Mkuu 2020 zilikuwa kama ajali kwasababu hazikuwa katika utaratibu wa kawaida ikiwemo Mawakala kusambaratishwa wakati wa Kuhesabu Kura
Ameongeza kuwa hali hiyo imeanza kuibua hoja na maswali kuhusu kuaminika kwa waliosimamia Chaguzi hizo mwaka 2019 na 2020 na kama wataendelea kusimamia tena Chaguzi zinazokuja
Ameongeza kuwa hali hiyo imeanza kuibua hoja na maswali kuhusu kuaminika kwa waliosimamia Chaguzi hizo mwaka 2019 na 2020 na kama wataendelea kusimamia tena Chaguzi zinazokuja