Jaji Werema ampongeza Lissu akubali ni kifua kipana

Jaji Werema ampongeza Lissu akubali ni kifua kipana

Lissu anatumiwa na CCM kama ZZK,

Kama mnakumbuka ZZK alianza kutumiwa na Serikali ya CCM kipindi alipochaguliwa kwenye tume ya nishati ya madini, na amekuwa akitumiwa since then.

Hapa TL ametumiwa kwenye kamati ya kutunga kanuni za bunge la katiba, sasa kila mtu wa CCM anamsifia baada ya kutumiwa, TL anatumiwa na CCM, afukuzwe tu kama ZZK

Hahaha, haya CDM fukuzeni na huyu....hahahahaha!!!!!!

Humjui Lisssu hata kidogo. Huyo si mchumia tumbo, ni mwanaharakati kwa asaili yake na mpigania haki daima. Ameanza cheche hizi tangu akiwa shule ya msingi Mahambe.
Taratibu watu watamwelewa Lissu na kuupenda uzalendo wake. Ni kichwa kizuri sana na ana ujasiri bila ya kuwa na tamaa ya mali.

Mbunge wangu litumikie taifa letu kwa akili yako yote...mlipaji ni Mungu na wala si CDM wala CCM.
 
Wewe utakuwa miongoni mwa mazuzu kanjanja wa siasa za nchi hii. Ondoa ujinga wako hapa.
 
Lissu anatumiwa na CCM kama ZZK,

Kama mnakumbuka ZZK alianza kutumiwa na Serikali ya CCM kipindi alipochaguliwa kwenye tume ya nishati ya madini, na amekuwa akitumiwa since then.

Hapa TL ametumiwa kwenye kamati ya kutunga kanuni za bunge la katiba, sasa kila mtu wa CCM anamsifia baada ya kutumiwa, TL anatumiwa na CCM, afukuzwe tu kama ZZK

Hahaha, haya CDM fukuzeni na huyu....hahahahaha!!!!!!

Wewe utakuwa miongoni mwa mazuzu kanjanja wa siasa za nchi hii. Ondoa ujinga wako hapa
 
Mada ni nzuri, mtoa hoja ameeleza vizuri, tatizo mjadala umevamiwa na cdm na ccm kwa hiyo maana iliyokuwa imekusudiwa na mtoa hoja imetekwa nyara na wanasiasa, na mbaya zaidi mjadala wenyewe unaelekea kwenye uchochezi na matusi.
 
"Tufanye kazi ya kukubaliana na kutunga Katiba yetu, tuache ushabiki wa vyama katika mambo ya msingi kama haya, lakini nawataka wajumbe waangalie mfano wa Tundu Lissu, si kawaida yake kufanya mambo ya hekima kama aliyoyafanya lakini amegeuka na kuwa ngome imara ya maridhiano ya kuzitengeneza Kanuni," alisema Jaji Werema.


Sr. Magdalena,

..binafsi sijapendezwa na kauli ya mwanasheria mkuu wa serikali.

..sidhani kama Jaji Werema alikuwa na nia ya dhati ya ku-appreciate na kupongeza mchango wa Tundu Lissu.

..ukiisoma kauli Jaji Werema unaona kama vile amelazimika tu kumpongeza Mh.Lissu; hakuwa na njia nyingine ndiyo maana ameanza kwa kumsema vibaya Mh.Tundu Lissu.




 
Lissu anatumiwa na CCM kama ZZK,

Kama mnakumbuka ZZK alianza kutumiwa na Serikali ya CCM kipindi alipochaguliwa kwenye tume ya nishati ya madini, na amekuwa akitumiwa since then.

Hapa TL ametumiwa kwenye kamati ya kutunga kanuni za bunge la katiba, sasa kila mtu wa CCM anamsifia baada ya kutumiwa, TL anatumiwa na CCM, afukuzwe tu kama ZZK

Hahaha, haya CDM fukuzeni na huyu....hahahahaha!!!!!!
Wewe ndio umetumwa na pia ---------.
 
Lissu anatumiwa na CCM kama ZZK,

Kama mnakumbuka ZZK alianza kutumiwa na Serikali ya CCM kipindi alipochaguliwa kwenye tume ya nishati ya madini, na amekuwa akitumiwa since then.

Hapa TL ametumiwa kwenye kamati ya kutunga kanuni za bunge la katiba, sasa kila mtu wa CCM anamsifia baada ya kutumiwa, TL anatumiwa na CCM, afukuzwe tu kama ZZK

Hahaha, haya CDM fukuzeni na huyu....hahahahaha!!!!!!

Shame upon you,
 
Back
Top Bottom