Jaji Werema

Jaji Werema

CHUAKACHARA

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2011
Posts
12,357
Reaction score
6,424
Jaji Werema mbona unatia mashaka na professionalism yako. Leo umejibu swali na Tundu Lissu (kuhusu mamlaka ya kuhamisha fedha bila mamlaka ya bunge) kama hakimu wa mahakama ya Mwanzo, and not as a judge. Acha U-CCM, unaiaibisha taaluma ya sheria na majaji. kama majaji wako hivi, basi tumekwisha. Nadhani wengi walikosa haki kwa kesi zilizopitia kwako. It is a pity!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Werema ni Kilaza sana na takwimu zinaonyesha kesi nyingi sana amekuwa akihukumu sivyo. mi wala simuiti tena jaji ni hakimu wa mahakama ya mwanzo tena ya kawe
 
Naamini hayo ni ya kweli kwani hata maoni yake kuhusu sheria ianayoruhusu maandamano yanatia mashaka.
 
Back
Top Bottom