Jakaya aliamini meza akaweza, Magufuli akaamini chuma akafeli. Samia anaamini jela?

Mpaka sasa amebaki historia tu.
Mbona tunasoma historia za watu wengi tu hadi za mitume, kifo hakikimbiwi ni lazima kwa kila mtu ila sio kila mtu lazima awe kilema hivyo pamoja na jamaa kutiwa ulemavu ila bado kifo hakitomuonea huruma itafika muda nae ataenda tu hakuna ujanja hata huyo Jiwe alikoswa kwenye sumu aka survive ila mwisho wa siku kifo kipo palepale hakikimbiwi.
 
Uchambuzi kama huu uwe unahifadhiwa ili siku moja ukiwa umevurugwa unafungua ukurasa unasoma akili inatulia. Hongera sana Yeriko Nyerere kwa bandiko safi.
 
Sema msimamo kwenye hicho chama ni changamoto kubwa sana... leo hii mnasahau mlivyotoka kwenye mazungumzo jinsi mlivyoendelea KUMSHAMBULIA? au ulikua bado hujajiunga na chama?
 
Wewe una uhakika utakufa bila kuwa kilema!? Bila shaka atakufa, ila yule aliyetaka kumuua katangulia yeye. 50 cent anakwambia kuhusu jamaa aliyempiga risasi "he got hit like i got hit but he ain't f_cking breathin". Kwani yeye pia hatakufa!?
 
Ujinga wa siasa za Tz hakuna anayepigania maslahi ya wananchi, wote wanapambania maslahi ya familia zao tu..........hata uone sisiemu au chadema mishipa inamtoka kwa kuongea....anatafuta kula ya wanae tu ndiyo maana wamejaa unafiki tu na ujanja ujanja
 
Kichwa cha habari kimeandikwa kwa mbwembwe nyingi kumbe ni habari ya Mbowe!.
 
Sauti ya Gaidi iliyopakwa asali; maneno ya mchana na wazi yanayopishana na matendo ya gizani.
Yeriko mwambie Mbowe kabla hajafungwa akupe
1. HABARI ZA KUIBA TRAVELLERS CHEQUE BOT
2. CLIP YA BOMU LILILIPULIWA KWENYE MKUTANO WA CHADEMA ARUSHA
3. CLIP YA MLIPUKO WA MABOMU KANISA KATOLIKI OLASITI (Mripuko kanisani Arusha wauwa watu - BBC News Swahili)
4. MAELEZO KWA NINI ALIMZUIA DREVA WA LISSU ASIHOJIWE NA POLISI
 
Yaan kati ya vyama hovyoo vyema watu wa hovyo kutokea tanzania..aisee chadema ni chama cha hovyoo chenye watu hovyo..
Uhovyoo huo ni upi?
1:kumtukana lowasa na kumkejel kwamba ni fisadi mwisho wa siku wakampokea kwa mikono 50!
2:kumuita kikwete ni rais dhaifu kisha kumpongeza kwa kuweza nchi kama anavyofanya huyuu kijana wa hovyo hapa!
 
Ataweza wapi? Huyu asipobadilika hafiki mbali hizo pesa anazokopa kopa hata ona hata zilipoishia.
 
Unaandikaga ndaro tu wala sisomi. Kazi kuzungusha maneno halafu unajidai mwandishi😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…