Jakaya Kikwete atakuwa hajapendezwa na ujenzi wa daraja la mto Pangani. Akiwa Rais alikataa lisijengwe kuhofia Chalinze kupooza

Jakaya Kikwete atakuwa hajapendezwa na ujenzi wa daraja la mto Pangani. Akiwa Rais alikataa lisijengwe kuhofia Chalinze kupooza

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
20,925
Reaction score
51,688
Mwaka 1994 nilitumia wiki nzima kutoka Dar mpaka Chidya secondary, mwaka uliofuata nikahama shule, mto rufiji ilikuwa balaa, Mkapa aluvyoingia madarakani akajenga daraja.

JPM kwa kinywa chake anadai chupuchupu afe kwenye ajali ya boti kivuko cha busisi, kilichomsaidia machale yalimcheza akaendesha pikipiki akavukia Kamanga, baadae akasikia ike boti aliyotaka kupanda ilizama, ni miaka ya 1980s huko. Alipoingia madarakani akajenga daraja la busisi, kilometa za kutosha.

Pia soma: Pre GE2025 - Rais aweka jiwe la msingi ujenzi wa daraja la Mto Pangani la Bilioni 107, Urefu wa Mita 525

Jakaya Kikwete alipapenda sana Tanga, bila yeye Makamba family wangekuwa wapi sijui, kuna watu wengi toka Tanga aliwabeba kipindi chake.

Kikwete ana nyumba bagamoyo mjini karibu na Magomeni ila permanent address yake ni Msoga Chalinze.

Daraja la mto Pangani linaenda kuififisha Chalinze, magari toka Kenya, Arusha, Moshi yataanua kupitia hiyo njia.

Kikwete aliliona hili mapema na hakuwa tayari kuona jimbo lake linadumaa kisa daraja la mto Pangani, alivyoletewa hili wazo alilikataa macho makavu.

Hongera mama Samia kwa kumkosesha raha JK kwa maslahi ya wengi.
 
Siwezi kukukatalia.

Hii inawezekana kabisa.

Viongozi wetu wengi ni wabinasfi.

Hata magu alikataa ujenzi wa bandari ya Bagamoyo kwa kibwagizo cha kichaa tu ndiye atakayekubali masharti ya mkataba wake.

Baada ya hapo akafunga kabisa faili na akutaka tena kuskia habari za bandari ya Bagamoyo mpaka suala lake lilipokuja kuibuliwa tena na Samia.

Lakini magu huyo huyo alipoambiwa kwamba Chato haina hadhi ya kujengwa benki(CRDB)na wataalamu aligoma kabisa akamwambia mkurugenzi wewe na timu yako hamjui kufanya utafiti.

Akatuma watu wake kutoka ikulu na Majibu yakarudi chato panastahili kujengwa tawi la benki na kweli likajengwa.
 
Siwezi kukukatalia.

Hii inawezekana kabisa.

Viongozi wetu wengi ni wabinasfi.

Hata magu alikataa ujenzi wa bandari ya Bagamoyo kwa kibwagizo cha kichaa tu ndiye atakayekubali masharti ya mkataba wake.

Baada ya hapo akafunga kabisa faili na akutaka tena kuskia habari za bandari ya Bagamoyo mpaka suala lake lilipokuja kuibuliwa tena na Samia.

Lakini magu huyo huyo alipoambiwa kwamba Chato haina hadhi ya kujengwa benki(CRDB)na wataalamu aligoma kabisa akamwambia mkurugenzi wewe na timu yako hamjui kufanya utafiti.

Akatuma watu wake kutoka ikulu na Majibu yakarudi chato panastahili kujengwa tawi la benki na kweli likajengwa.
Bora wewe umeelewa dhima ya huu uzi,viongozi ni wabinafsi sana
 
Siwezi kukukatalia.

Hii inawezekana kabisa.

Viongozi wetu wengi ni wabinasfi.

Hata magu alikataa ujenzi wa bandari ya Bagamoyo kwa kibwagizo cha kichaa tu ndiye atakayekubali masharti ya mkataba wake.

Baada ya hapo akafunga kabisa faili na akutaka tena kuskia habari za bandari ya Bagamoyo mpaka suala lake lilipokuja kuibuliwa tena na Samia.

Lakini magu huyo huyo alipoambiwa kwamba Chato haina hadhi ya kujengwa benki(CRDB)na wataalamu aligoma kabisa akamwambia mkurugenzi wewe na timu yako hamjui kufanya utafiti.

Akatuma watu wake kutoka ikulu na Majibu yakarudi chato panastahili kujengwa tawi la benki na kweli likajengwa.
Sir apples and oranges taste different, but they are all called fruits
Ingawa umeandika "kisomi" kidogo lakini mmmmmmmmmmmmm
 
Mwaka 1994 nilitumia wiki nzima kutoka Dar mpaka Chidya secondary, mwaka uliofuata nikahama shule, mto rufiji ilikuwa balaa, Mkapa aluvyoingia madarakani akajenga daraja.

JPM kwa kinywa chake anadai chupuchupu afe kwenye ajali ya boti kivuko cha busisi, kilichomsaidia machale yalimcheza akaendesha pikipiki akavukia Kamanga, baadae akasikia ike boti aliyotaka kupanda ilizama, ni miaka ya 1980s huko. Alipoingia madarakani akajenga daraja la busisi, kilometa za kutosha.

Pia soma: Pre GE2025 - Rais aweka jiwe la msingi ujenzi wa daraja la Mto Pangani la Bilioni 107, Urefu wa Mita 525

Jakaya Kikwete alipapenda sana Tanga, bila yeye Makamba family wangekuwa wapi sijui, kuna watu wengi toka Tanga aliwabeba kipindi chake.

Kikwete ana nyumba bagamoyo mjini karibu na Magomeni ila permanent address yake ni Msoga Chalinze.

Daraja la mto Pangani linaenda kuififisha Chalinze, magari toka Kenya, Arusha, Moshi yataanua kupitia hiyo njia.

Kikwete aliliona hili mapema na hakuwa tayari kuona jimbo lake linadumaa kisa daraja la mto Pangani, alivyoletewa hili wazo alilikataa macho makavu.

Hongera mama Samia kwa kumkosesha raha JK kwa maslahi ya wengi.
Chalinze inayopitwa na magari yote ya Nyanda za Juu kusini, Kanda ya Ziwa, Kanda ya Kati, Magharibi, DRC, Rwanda, Zambia, Burundi, South, ififie?
Chalinze yenye zile quarrying za Lugoba ndio ififie?
Magari ya Arusha na Moshi yakapite Pangani na sio Msata?
 
Mwaka 1994 nilitumia wiki nzima kutoka Dar mpaka Chidya secondary, mwaka uliofuata nikahama shule, mto rufiji ilikuwa balaa, Mkapa aluvyoingia madarakani akajenga daraja.

JPM kwa kinywa chake anadai chupuchupu afe kwenye ajali ya boti kivuko cha busisi, kilichomsaidia machale yalimcheza akaendesha pikipiki akavukia Kamanga, baadae akasikia ike boti aliyotaka kupanda ilizama, ni miaka ya 1980s huko. Alipoingia madarakani akajenga daraja la busisi, kilometa za kutosha.

Pia soma: Pre GE2025 - Rais aweka jiwe la msingi ujenzi wa daraja la Mto Pangani la Bilioni 107, Urefu wa Mita 525

Jakaya Kikwete alipapenda sana Tanga, bila yeye Makamba family wangekuwa wapi sijui, kuna watu wengi toka Tanga aliwabeba kipindi chake.

Kikwete ana nyumba bagamoyo mjini karibu na Magomeni ila permanent address yake ni Msoga Chalinze.

Daraja la mto Pangani linaenda kuififisha Chalinze, magari toka Kenya, Arusha, Moshi yataanua kupitia hiyo njia.

Kikwete aliliona hili mapema na hakuwa tayari kuona jimbo lake linadumaa kisa daraja la mto Pangani, alivyoletewa hili wazo alilikataa macho makavu.

Hongera mama Samia kwa kumkosesha raha JK kwa maslahi ya wengi.
Sidhani kama andiko hili lina ukweli wowote.
Uchonganishi tu!
 
Back
Top Bottom