Jakaya Kikwete atakuwa hajapendezwa na ujenzi wa daraja la mto Pangani. Akiwa Rais alikataa lisijengwe kuhofia Chalinze kupooza

Jakaya it seems ni punching bag nzuri sana ya wenye frustrations zao
Sio punching bag isipokuwa ni mnafiki sana na ni mtu wa majungu ndio maana alikuwa na bifu sana na marehemu Abdalla Kigoma enzi hizo akiwa Mbunge wa Handeni na Kikwete akiwa Bagamoyo! Hata alipofariki hakuhudhuria mazishi yake in spite of having been class and college mates😳😳
 
Ukiondoa mikoa ya kusini Lindi na Mtwara........... kwenda mikoa yote Tz ni LAZIMA utapitia Chalinze

So daraja la Pangani likijengwa ni sehemu ya mkoa wa Tanga pekee na magari kutoka Mombasa ndio ambayo hayata pitia Chalinze
Huwezi kutoka Moshi Arusha ukazungukia Tanga kwenda Dar

Kwa muktadha huo ni mjinga pekee ndio anaweza kufikiri kama unavyo fikiria wewe
 
Iko vile bandugu !
Kuna watu huwa wanajisahaulisha na hii Dunia !
Wanadhani hapa ndio wamefika !
Kumbe it’s nothing !
Hapa tunapita tu 😳😀🤣 hamna kitu !
 
Mbona mda mrefu tu Magari ya Kenya na Tanga hayapiti Chalinze? In short Kikwete ndio kajenga hio barabara ya Bagamoyo Msata.

Pia Arusha Doesn't make sense Kupitia Tanga hata hilo daraja likijengwa, Dar pangani km 200 + km 40 pangani Tanga + Km 70 toka Tanga Segera hizo ni zaidi ya KM 300, haitofautiani na Dar Segera.
 
Ni kweli lakini uhenda baadhi yakapita hiyo route kuokota wateja wa Muheza,Tanga mjini ,Pangani na Bagamoyo
 
Una ushahidi upi kwamba Kikwete alikataa hilo daraja kujengwa?
 
no sio kweli gari nyingi zinazokwnda arusha na moshi bado zitatumia Chalinze to Segera,ila za Tanga moja kwa moja toka dar ndio zitapita ruti hiyo pia huwa wanaangalia na umbali pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…