Jakaya Kikwete: Mikopo zaidi itachochea ukuaji wa Uchumi

Mikopo ya riba ya 20%, hata siku moja haiwezi kumsaidia mwekezaji au Taifa hata siku moja.

Mikopo ya wenzetu, riba huwa haizidi 5%. Mikopo ya hapa kwetu ni kuutafuta umaskimi kwa nguvu. Wengi wa wanaochukua mikopo, vijumba vyao vinaishia kupigwa mnada.

Unaenda kufanya biashara ya kukopa faida ya 20% ukalipe mkopo, halafu ibakie na faida ya kubakia kwa mkopaji?
 
Huyu Mzee hatutaki tena kumsikiliza awamu yake ishapita hatumtaki Tena kwa sababu ya madudu yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…