Jakaya Kikwete ni nguli na mwamba wa historia wa Tanzania na Afrika

Uvivu wa kufanya utafiti kwani mambo yote haya lazima yatakuwemo kwenye ARCHIVES za nchi!!! Hao vijana wake wanaomuandikia speech wanayatoa wapi kwani?
Waliosoma nae wanasema alipokuwa hapo UDSM akisomea uchumi alikuwa kiazi sana!!!
Udsm nacho chuo?
Ni utumbo gani unafundishwa udsm?
 
Kikwete alikuwa Raisi Bora sana na aliruhusu Demokrasia kustawi Chini ya Utawala wake.
 
Na yeye apo alienda ku dig deeper kabla ya hotuba
 
Mashambulio dhidi ya Tanzania kutoka kwa Makabulu yamefanywa mengi tu, kuna kipindi walishawahi kushambulia sehemu za Dar es salaam kutoka baharini. Mara nyingine walijificha kwenye mabehewa ya treni inayoingia Tanzania ili wafanye yao.

Kuna mtandao wa Kijasusi ulikuwa unaitwa THE SAFARI CLUB, uliundwa na mashirika ya kijasusi ya Uajemi, Misri, Moroko, Saudi Arabia, Ufaransa, Afrika Kusini, Marekani na Israeli. Hawa ndiyo walikuwa wanafanya hujuma dhidi ya Afrika kwa kutumia migongo ya waafrika wengine kama RENAMO, UNITA, KENYA na ZAIRE.
 
Hakika inapendeza... JK ana ki-smati waungwana husema...
 
Subiri akifa ndo watu wataanza unafiki.Naomba kahawa na karanga mbichi hapa ukweni
 
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…